Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Pesa ni za wale waliohukumiwa siyo za chama! Pia kuna mabadiliko makubwa sana tangu wahukumiwe, covid-19, Mashinji ni DC na kadhalika!Wafanye wawezavyo waanze ujenzi wa ofisi ya kudumu ya CDM....350mil kiwanja na structure inaanza ....
Walichangiwa.....tuamue moja iwe mali ya chama watujenge ofisi....Pesa ni za wale waliohukumiwa siyo za chama! Pia kuna mabadiliko makubwa sana tangu wahukumiwe, covid-19, Mashinji ni DC na kadhalika!
Pesa huwa hairudi, na hata zile ndondogo za mayai tulizo changiaga, hazirudi! Wacha viongozi wetu wakajipooze pooze maumivu!Kiungwana Msigwa anatakiwa kurufisha ile pesa. Ni kama umechangiwa hela ya arusi halafu ukahairisha.
Za Mzee Halima na Bulaya utazijengeaje ofisi ya chama?!Walichangiwa.....tuamue moja iwe mali ya chama watujenge ofisi....
Mbona sioni tena kale ka Slogan kako ka Kazi iendelee!!..anyway zile za Tasaf za Mjane Mkuu wa Mkoa wa Dar Mstaafu mbona huombi zirejeshweJumapili njema!
Chadema sie watu wa haki,pesa iliyochangwa na wanachama nashauri iende kwenye account ya chama ile ya mwendazake aliotoa KWA ajili ya mh mchungaji Msigwa,irejeshwe serikalini, maana hakutoa mfukoni mwake, alichota kwenye pesa za walipakodi ,zirejeshweNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
HIYO MIL38 YA MAGU HAIPO KABISA KTK IDADI YA MIL350 NA WALA MSITUFANYE WAJINGANawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.
Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Afadhali ungesema uDEDBaada ya machungu ya kukosa uteuzi kwenye UDC Jo umerudi na post zako za uchuro dhidi ya CHADEMA!
Hivi hukomi tuu?
Hivi hujifunzi tuu?
Hizi ni dalili ya stress dume...!!! Haziishi harakaAfadhali ungesema uDED
Enzi za Nyerere uDC walipewa madereva wastaafu wa CCM.
Hahahaaaa....... hahahaaaa...... hahahaaaa....... Lijualikali oyeeee!
Kwani Msigwa alilipiwa na Hayati Rais wetu mpendwa?CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa tusichanganye mambo.Waliohukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.
Hivyo na marejesho yatafanyika Kwa mtu aliyelipa faini na sio Chama.
Sasa hizo za Jiwe atarudishiwa yule aliyelipiwa ie Msigwa
Wamkabidhi Joseph Magufuli kwa niaba ya familia.
Ilitumika kumtoa jela Mwamba!Acha kuupotosha ukweli hapa! Polepole alivurushwa na kina mdee pale segerea kwani alimfuata Msigwa kwenda mahakamani kumlipia faini! Kamdai Polepole hiyo pesa kwani hakuilipa mahakamani Kama ilivyokusudiwa! Kwa ushahidi zaidi nenda mahakama ya kisutu uiulizie hiyo risiti ya malipo ya Msigwa utapata majibu. Nasisitiza, kamuulize Polepole alikoipeleka hiyo pesa Kama kweli unautaka ukweli!
Hahahaaaa...... Muulize mwenyekiti wako alitokaje pale Segerea.Magufuli hakutoa hata shilingi kumtoa huyo Msigwa, kama hata kesi yenyewe yeye ndio alikuwa anapanga hukumu iweje, atatoaje 38m kwa watu alioagiza wafungwe ili kuwakomoa?
Hahahaaaa.... hahahaaaa..... !Hizi ni dalili ya stress dume...!!! Haziishi haraka
Kumbukumbu zangu zinanikumbusha offer ya Msigwa kutolewa kwa mchango huo chama na msigwa mwenyewe waliikataa.mwenye kumbukumbu nzuri atuletee kwa rejea.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!