Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Uungwana ni vitendo: Je, CHADEMA watarudisha Tsh. 38 milioni zilizotolewa na hayati Magufuli kumtoa Msigwa jela?

Swali langu ni jee wanafamilia wa Mswiga walikabidhi hizo pesa kwa Chadema au walilipa mojamoja kwa moja serikalini? Kama walikabidhi kwa Chadema, Chadema wanaweza kusema zilikuwa ni mchango wa pamoja wa kuwalipia faini wanachama wao na si mwanachama mmoja in particular. Ombi la Chadema lilikuwa ni kwa wanachama wao kwa ujumla wao na kila aliyechangia alijua hivyo. Kama ni hivyo Chadema watakuwa na haki ya kuzitumia kwa namna ambavyo wataona ina manufaa kwa chama. Ila wanafamilia wakidai warudishiwe basi bila shaka watawajibika kuwarudhia.

Lakini naona hapa tumeenda mbio sana. Wakina Yohana Mbatizaji wanataka watu waamini pesa zimeishatoka kama ilivyokuwa kwenye suala la ruzuku. Ni safari ndefu mpaka pesa zitoke. Na kuna uwezekano wasirudishiwe kabisa kama vile watumishi wanaoidai serikali wanavyofanyiwa. Wanataka tu kumwaga sumu.

Amandla....

..nilichokiona ni Gerson Msigwa toka Ikulu na kaka yake Mchungaji Msigwa wakiwa wameambatana na mpiga video Issa Michuzi walikwenda mahakama ya Kisuti na risiti waliyodai ni malipo ya familia kumtoa ndugu yao.

..pia ilidaiwa kwamba Magufuli kama mwanafamilia amechangia sehemu ya fedha hizo.

NB:

..hili ni jambo la AIBU sana kwamba dhuluma za kisiasa za Magufuli zimepelekea mpaka mkwe wake kutiwa jela. Na zaidi yeye mwenyewe kulazimika kumtoa jela mkwe wake.
 
Magufuli hakuwa na fedha waliotoa ni wananchi kupitia mkono wa Magufuli.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Wakirejesha 38M, na mimi wanirejeshee 500K zangu.

Otherwise, 350M zote zitakaporejeshwa zielekezwe mahsusi katika gharama zinazohusiana na kampeni ya kudai katiba mpya.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Mahakama ndiyo inawajibika kumrudishia magufuli hela zake siyo chadema.

Tumia akili angalau kidogo kufikiri.
 
Haikuwa pesa yake au mshahara wake. Alijichotea hazina pesa ya walipa kodi kwa hivi itarudi kwa walipa kodi aka wananchi
 
..nilichokiona ni Gerson Msigwa toka Ikulu na kaka yake Mchungaji Msigwa wakiwa wameambatana na mpiga video Issa Michuzi walikwenda mahakama ya Kisuti na risiti waliyodai ni malipo ya familia kumtoa ndugu yao.

..pia ilidaiwa kwamba Magufuli kama mwanafamilia amechangia sehemu ya fedha hizo.

NB:

..hili ni jambo la AIBU sana kwamba dhuluma za kisiasa za Magufuli zimepelekea mpaka mkwe wake kutiwa jela. Na zaidi yeye mwenyewe kulazimika kumtoa jela mkwe wake.
Kama ni hivyo pesa si atarudishiwa Gerson Msigwa kwa niaba ya familia? Tatizo analoliona Yohana Mbatizaji liko wapi kama hakulipiwa kabisa na Chadema. Ila nakumbuka kama vile wakina Msigwa walipoenda kulipa walikuta Chadema wameishalipa. Kama itakuwa hivi, hela yao itakuwa ilirudishwa zamani sana.

Amandla...
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Muongo sana wewe. Fedha walipewa CHADEMA au zililipwa mahakamani? Kama zililipwa aliyelipiwa si Mbowe, mtafute aliyelipa na aliyelipiwa akueleze vizuri. Uhakika ni kweli Msigwa alizikataa pesa za Magufuli kwa kisingizio cha undugu. Kama aliyelengwa alizikataa, kamuulize mwendazake alimlipia Mbowe kwa sababu gani?
Ila Mungu ni fundi sana kumuondoa mtu asiendelee na upuuzi wake.
 
Afadhali ungesema uDED

Enzi za Nyerere uDC walipewa madereva wastaafu wa CCM.

Hahahaaaa....... hahahaaaa...... hahahaaaa....... Lijualikali oyeeee!
Usitutajie kabisa huyo mtu, Uvccm hatuna hamu...nguvu, pesa na muda tuliotumia kukijenga na kupigania chama, leo mtu anaibuka tu anakuja kupewa udc, Uvccm tumepigwa....
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Kwani hizo fedha zilikabidhiwa nani? Mahakama au CHADEMA?
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Katika vitu vya kijinga ambavyo mtoa post huwa hutumii akili ni pamoja na hiyo post iliyojaa ushenzi wa kila aina,mjadala huu ukiufikiria kwa makini unatonesha vidonda kwa wanademokrasia,na hili ni jipu ambalo kutibika kwake ni kazi labda Yesu aje.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Ni waungwana

Watampa mjane wa marehemu
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.

Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.

Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?

Uungwana na Vitendo.

Jumapili njema!
Haziwezi kurudishwa kwani ile ilikuwa rushwa ya kumrubuni Mch. Msigwa aisaliti Chadema. Kwetu ile tunaihesabu kuwa ni nyara tuliyoiteka uwanja wa vita.
 
Back
Top Bottom