Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Duh ngoja nchungulieKibaha wameweka viwanja bei kubwa sana..
Nimeona hadi kiwanja cha 7B ππ
Vya makazi nimeona 1SQM ni 12,000 TZS, maeneo ya viwanda 1SQM kwa 30,000TZSKibaha wameweka viwanja bei kubwa sana..
Nimeona hadi kiwanja cha 7B ππ
Viwanja kibaha bei kubwa zaid ya dodomaVya makazi nimeona 1SQM ni 12,000 TZS, maeneo ya viwanda 1SQM kwa 30,000TZS
Usjali vitarud sokon vingi tu, vunauzwa bei kubwa na mda wa kulipia ni mdogo. Hiyo fujo uliona Dodoma na Mbeya.Hivi viwanja vya Kibaha wamefanya uhuni. Imagine siku moja viwanja vyote vimeuzwa ndani ya masaa machache sana
Dah nomaHivi viwanja vya Kibaha wamefanya uhuni. Imagine siku moja viwanja vyote vimeuzwa ndani ya masaa machache sana
Kimerudi. Oi wazee kiwanja kikichukuliwa alafu kikarudi hakiwezi leta shida ukikinunua? Yuele mnunuaji wa mwanzo hawezi kuwa amaenda kuongea nao physically ofisini kwao, au nichukueKimechukuliwa tena, dah!
Tumbelea site yao Tausi tamisemi alafu utachagua land sales utaona viwanja vilivyowekwa na halmashauri. Kununua inabidi uwe na account yakoHio app ya viwanja inaitwaje