Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,972
- 5,170
Nafikiri usiwapangie watu namna ya kutafuta namna ya kusurvive.Siwakawaida wanapokea misada kutoka USA kama wadangaji wa bongo Wana uspecial gani.
Siwatafute pesa zao tujue wao ni watabe.
Hata hao wengine kwani wao wamezuiwa kutafuta njia za kutafuta namna ya kujiimalisha.?