UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

UVCCM wamekengeuka, kumkomalia Spika kujiuzulu ni dalili kuwa hampendi bunge kufanya kazi zake za kuisimamia Serikali. Mnatumika bila kufikiri

Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Wanapigana vikumbo walau kwenye mkeka wa wakuu wa Wilaya/mkoa wakumbukwe.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Hawa madogo hawana akili ,wao ni bendera fata upepo.
 
Madhambi yake ndiyo yametufanya tusimtetee ni shetani pekee anaweza kumtetea Ndugai
Mbona chadema ilizunguka nchi nzima kwa miaka 8 kusema Lowasa no fisadi ila mbowe alipomfanya gwajima kuwa mshenga wa kumleta LOwasa chamani ukaunga mkono bila maswali?
Tena si huyo tu kuna Nyarandu, sumaye na wengine wengi tu?
 
Mbona chadema ilizunguka nchi nzima kwa miaka 8 kusema Lowasa no fisadi ila mbowe alipomfanya gwajima kuwa mshenga wa kumleta LOwasa chamani ukaunga mkono bila maswali?
Tena si huyo tu kuna Nyarandu, sumaye na wengine wengi tu?
Lowasa yupo wapi sahivi?
 
Mkuu Ndugai alijijengea uadui kila kona bila yeye kujua. Sasa ndiyo anaelewa kumbe bora ya wapinzani huongea hadharani muda wowote ila ccm ni kama kikulacho ki nguoni mwako.
Aliendesha bunge kama mali yake binafsi na ubabe wa kijinga sn alaaniwe yeye na kizazi chake chote
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Uvccm mko sahihi nyokeni na dungayembe..

Amekuwa akitoa kauli za kuzingua na kuudhi Sana,mara aseme toka Mwendazake kafa eti umuhimu wa Dodoma haupo wakati anafahamu Mama katoa zaidi ya bil.600 za kuendelea na ujenzi wa Makao makuu awamu ya pili.

Kuendelea kuwa na mtu kama huyu haifai,kila Rais anaweka watu watakomsaidia kuanzia Spika hadi wateule wengine wote ndani ya serikali hadi kwenye chama.
 
Mi nadhani anayekaa kimya kwenye hili sakata ndo smarter than all.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Unataka wawe kinyume na mwenyekiti wa wa CCM Taifa, inakuingia akilini.
 
Na kwanini Samia awachukie wanaoutaka urais 2025?
Hata hayati Magufuli aliwachukia watu waliotaka urais .Membe alibaki ndani ya chama au aliondoka? . Hakuna Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm amewahi kuvumilia wanachama wenzake wanaotaka urais akiwa madarakani, hata Lowassa anajua.
 
Huu ni upuuzi usiofaa hata kidogo. Vijana wa Ccm wamegeuka nyumbu. Nyumbu huwa hatumii akili maana hufuata mkumbo kwa kila jambo. Akiona kundi la nyumbu wenzake wanavuka mto, naye anavuka bila kuangalia hatari au litalotokea.

Ndio hii Uvccm ya leo imekurupuka kama Nyumbu kutaka Spika Ndugai ajiuzulu. Je hawajui kuwa wanajipaka matope kuwa hawataki serikali kudhibitiwa na bunge jambo ambalo lipo kikatiba. Huu ni upuuzi kabisa.
Tatizo ni huyo mdhibiti mkuu wa bunge ndio kawachosha. Anaonyesha ubabe uliopitiliza.
 
Back
Top Bottom