UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

UVCCM yalaani Vikali Mauaji ya Michael Kalinga Mohammed Kawaida kwenda Mkoani Mbeya Kushiriki Mazishi yake hapo kesho

Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Kichwa anachekesha kama siyo ndugu yako.
 
Matukio kama haya yatuunganishe kama Taifa na siyo kutugawa kwa kuangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Kifo hakipaswi kuangaliwa kwa sura ya uchama.

Ni lazima tukemee na kupinga Umwagaji wa Damu ya watanzania au mtanzania yeyote yule asiye na hatia.
Wewe Mwashambwa, usingekuwa unatamka kebehi na kashfa kwa vifo vya wenzako basi. Damu ya watanzania bila kujali vyama sasa ni kama maji ya taka yasiyo na thamani. Huyu aliyekufa ni mwana ccm mwenzetu aliyeacha wategemezi na majukumu ya kifamilia. Na Chadema nao wanaouwawa kila siku,, ni watu, wana wazazi watoto na ndugu wa kuwategemea. Wasiwasi wangu ni malipizi yanayopandwa kwa jamii mbili tofauti. Ukiuwa mtu ukaacha ndugu, watatunza visasi na vinyongo hata kwa miaka. Tungejiepusha na damu za Watanzania
 
Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
wauwaji wamefanya kazi nzuri ya kutukuka. Wacha tugawane mbao tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Shiiii! Msipige kelele sana, mwacheni alale pema, kelele zenu zinamsumbua.
Kawaida kifo ni kitu cha kawaida.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Wauaji eti wanaua fulu badala ya sangala.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi UVCCM umelaani vikali mauaji ya ndugu Michael Kalinga.

Ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa UVCCM Tawi La Machinjioni Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya .Ambaye mwili wake umekutwa umetelekezwa .baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.

Ambapo jumuiya hiyo ya vijana umeliomba Jeshi la Polisi kufuatilia tukio hilo na mengine ya aina hiyo na kuwakamata watu wote wanaohusika na uhalifu huo na matukio mengine ya aina hiyo.

Katika hatua nyingine jumuiya hiyo katika taarifa yake imesema ya kuwa Mwenyekiti wake Wa UVCCM Taifa ndugu Mohammedi Kawaida atashiriki mazishi ya Ndugu Michael Kalinga.yatakayofanyika siku ya kesho nyumbani kwake Marehemu Makongorosi Wilayani Chunya Mkoani MbeyaView attachment 3168383
Nawapongeza sana watekelezaji wa jambo hili. Ingependeza kama wangeanza na wewe uliyepandisha huu uzi. RIP
BEN SANANE
ANZORY GWANDA
AKWILINA AKWILIN
ALPHONSO MAWAZO
Na wengine mliouwawa chini ya utawala huu wa chama cha mafisi
 
Tusipokuwa makini tutajikuta kwenye mpasuko na msukosuko mkubwa sana Kama Taifa.
 
Kulaani Kuna faida gani
UVCCM na CCM yote kwa ujumla wake imekuwa ikilaani na kukemea matukio ya aina hiyo.

Majuzi tu hapa Mwenezi wetu na msemaji mkuu wa chama chetu cha CCM Taifa Ndugu CPA Amos Gabriel Makalla amelaani vifo vya watu vilivyotokea wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hata Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia amekuwa akilaani sana mauji ya watu na kuagiza kufanyika kwa Uchunguzi
 
Matukio kama haya yatuunganishe kama Taifa na siyo kutugawa kwa kuangalia aliyekufa ni kutoka chama gani.

Kifo hakipaswi kuangaliwa kwa sura ya uchama.

Ni lazima tukemee na kupinga Umwagaji wa Damu ya watanzania au mtanzania yeyote yule asiye na hatia.
Saa hizi ndio umeona umuhimu wa kuungana eh?

Wewe si ndio ulikuwa ukifurahia humu watu wa vyama vingine kutekwa na kuuwawa ukisema hawana adabu kwa kumtukana Samia.

Basi kaungane na chawa wenzio wa mama Abdul.

Kifo ni kifo.
IMG-20240628-WA0014.jpg
 
Tusipokuwa makini tutajikuta kwenye mpasuko na msukosuko mkubwa sana Kama Taifa.
Mwaka 1995 uchaguzi wa kwanza wa vyamq vingi tz ilikuwa kila baada ya taarifa ya habari saa 2 kupitia its yanawekwa mauaji [picha] za mauji ya Rwanda na Burundi kuwatisha watu wasichague upinzani. Leo wanakuja na ngonjera za kuuwa watu ili kuwatisha kwamba upinzani ni mauji.
We know the truth
 
Back
Top Bottom