Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Unafikiri nje ya box sana. Hongera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama story za Kigogo ni za kweli, sipati picha taharuki inayowakumba huko ofisini kwao. Anyway, zinaweza kusaidia kupunguza uzandiki, maana kama ni kweli Lijualikali alikuwa afanye press ya kumpa Mbowe kesi ya yule marehemu diwani, ndio hivyo tena inabidi warudi jikoni tena. Maana wakifanya, itaonekana Kigogo is right.
 
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanza tukubali hio ID ya kigogo haiendeshi na mtu mmoja sasa kuanzia apo tukiconnect dot na ilo wazo lako huenda ni sytem linaweza kuwa na uzito mana ingekuwa wa nje wangefahamika as unavyojua siri ni mtu mmoja tu
 
Tena kubwa sana kati ya WAKOROMIJE waliosukumiwa ndani ya TISS pamoja na kuwa hawana sifa na wale ambao walikuwepo tayari na wana sifa husika.

Wakoromije wanataka kutake over KIBABE na wakati mwingi kudharau taratibu za kiutendaji.

Huu mpasuko wa ndani ya TISS uendelee tu ili nyeti zenye uzito ziendelee kuvujishwa.

Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much. Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taharuki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni. Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.

Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza.

Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja?

Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama? pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
 
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nakubaliana na wewe kwa %100,kwasbb jamaa linajua kila kitu kinachofanyika jikoni kabxaa kwa mzee meko,,
Hata ma minista wakiwa na vikao vya Siri jamaa linawazingua hapo hapo[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!


Sent from my iPhone using JamiiForums
Nakubaliana na wewe upande mmoja kama ni mwenzao kimkakati sizani kama angekuwa anamdharirisha mkulu vile, labda kama mkulu yeye kama yeye hajuwi kinachoendelea nakubaliana na wewe! au ni mkakati wao pia kupiga pesa maana wameshajuwa udhaifu wa mkulu hapendi kukosolewa.
 
Nakubaliana na wewe upande mmoja kama ni mwenzao kimkakati sizani kama angekuwa anamdharirisha mkulu vile, labda kama mkulu yeye kama yeye hajuwi kinachoendelea nakubaliana na wewe! au ni mkakati wao pia kupiga pesa maana wameshajuwa udhaifu wa mkulu hapendi kukosolewa.
kama ungekuwa mkakati wasingetenga mafungu ya pesa kumsaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunaukweli pia kwamba kwa sasa recruitment ya TISS iko kikada zaidi. Tegemea incompetence na uvujaji wa siri
 
Back
Top Bottom