Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes! ikiwa hayo yatatokeaKwa hiyo mimi leo nkila mandazi nkashiba nkaingia jf nkaandika TISS wamefanya kikao wameamua kumuua jingalao nami nakuwa nimecujisha siri za nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unaweza kucheka hadi ukaanguka chiniWewe ni kilaza sana eti billion 2 hahahahahahah
Senti bai yuzingi tecno T301
Huwa naangalia vi-post vyake nacheka kimbwa halafu mashudu wenzie sasa wanavyosapotiNi taarifa gani ambazo kigogo kavujisha zenye kutishia usalama wa nchi? Au ni umbea umbea tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana aisee.Kwa hiyo mimi leo nkila mandazi nkashiba nkaingia jf nkaandika TISS wamefanya kikao wameamua kumuua jingalao nami nakuwa nimecujisha siri za nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwapa BAVICHA itakuwa poa sana eeh?Wewe unategemea uwape hawa vijana hovyo wa CCM kazi za TISS unategemea nini?
Unajua kusoma? Wapi nimesema wapewe BAVICHA?
I believe soHuyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao TISS kuwatafuta wale wanaompinga Magufuli kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina Zitto, Mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa jamaa ana kigugumizi cha mikonoMzee unatype kama vile mtu anayejaribu kuongea huku anatafuna karanga.
Kwamba Mange alipewa muamala ?Mange wametumwa mpaka watu Marekani! Mahiga R. I. P kafanya transaction Mange kapoa ! we endelea kujifungia kwenye korido za lumumba huna unachojuwa!
Acha kauli chafu....Wamegundua walimptisha jiwe badala ya mtu, So wanatoa frustrations zao mtandaoni...
Tatizo kubwa Awamu hii ya Tano Mkuu kawachomeka Mamluki kibao ndani ya TISS bila kupitia kwenye chungu kupikwa kwanza. Ndiyo maana wanashindwa kujitofautisha na Polisi. Rejea wale waliomvamia Mfanyabiashara wa Mara Bw. Zakaria.TISS kwa Sasa inaendeshwa na jiwe peke yake ,Diwani amekaa tu kama kitumbua,yaani ili ccm isidondoke ,kwa kifupi TISS ni ya chama sio TAIFA