Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Wamtandike viboko [emoji23] [emoji23] [emoji23]Le mutuz ndiyo huwapa taarifa kigogo wamsake wamtandike viboko 12 atawambia ukweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamtandike viboko [emoji23] [emoji23] [emoji23]Le mutuz ndiyo huwapa taarifa kigogo wamsake wamtandike viboko 12 atawambia ukweli
Nadhani tatizo sio TISS, tatizo ni uongozi mzima wa serikali ya awamu ya tano.
Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mange wametumwa mpaka watu Marekani! Mahiga R. I. P kafanya transaction Mange kapoa ! we endelea kujifungia kwenye korido za lumumba huna unachojuwa!
Hakuna siri zinazovuja....Mnachezewa gemu tu hamjui.
Kwanza tukubali hio ID ya kigogo haiendeshi na mtu mmoja sasa kuanzia apo tukiconnect dot na ilo wazo lako huenda ni sytem linaweza kuwa na uzito mana ingekuwa wa nje wangefahamika as unavyojua siri ni mtu mmoja tu
Wewe ni mmoja wa wajingaKwa hiyo mimi leo nikila mandazi nikashiba nikaingia jf nikaandika TISS wamefanya kikao wameamua kumuua jingalao nami nakuwa nimevujisha siri za nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asalamalek! Mla jana kala leo mla jana kala nini?Kunaukweli pia kwamba kwa sasa recruitment ya TISS iko kikada zaidi. Tegemea incompetence na uvujaji wa siri
Utakua bado kijana SanaSio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.
Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.
Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.
Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo? hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza!
Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja? Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama?
Pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late! Kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
Ndo ipo hivyoWewe unajuaje