Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Kuna watu huwa wanaota kuja kuwa TISS hivyo wamejitahidi Hata kuangalia movie za Ulaya za intelijensia na kuzihamishia kwetu ndio hawa ambao wanatusumbua kila siku kujifanya wanaijua idara. Laiti ungepata wasaa wa kukutana nao ni wafanyakazi wa kawaida kabisa ambao zamani tulidanganywa eti wanajua hata unafikiria nini. Cc genius Bia yetu Statesmann state agent na wengine wanaojiona kupitia ndotoni wameshakua TISS

Sent using Jamii Forums mobile app
 
...billion 1.4 imepigwa, na yawezekana kabisa hata huyo kigogo alikuwa miongoni mwa wanaomtafuta na aliipiga hiyo 1.4bn!
Huyo ni syndicate kubwa kama mtoa mada ulivyosema, na nadhani yupo ndani ya tiss huko huko!
Lakini pia inawezekana ikawa ni hadaa, kukamata baadhi ya watu wanaomkosoa meko! Hasa wale wanaompa kigg taarifa, wawe makini, anaweza kuwaponza wengi wakidhani yupo upande wao, kumbe ni trick tu! Akimaliza kazi yake anapotea huko twitter...
Lile group la wachungaji[emoji848]
Ni kweli kabisa mkuu
 
TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Sasa hao vichwa maji si watoke?
 
Siri gani za maana alizotoa kigogo 2014? Uliza kilichowakuta waliokuwa wakimpellekea kinachoitwa Siri mange kimambi !!! Hadi Leo wamebaki midomo wazi huku wanalia wakimtuhumu Mange Kimambi kuwa Ni TISS aliyewaanika!!!
Wewe una kg 60 utaweza kubeba kg 1000?
Wanadandia kukamata watu hewa wahusika hawawezi kuwapata
 
Kuna watu huwa wanaota kuja kuwa TISS hivyo wamejitahidi Hata kuangalia muvie za ulaya za intelijensia na kuzihamishia kwetu ndo hawa ambao wanatusumbua kila siku kujifanya wanaijua idara. Laiti ungepata wasaa wa kukutana nao ni wafanyakazi wa kawaida kabisa ambao zamani tulidanganywa eti wanajua ata unafikiria nini. Cc genius Bia yetu Statesmann state agent na wengine wanaojiona kupitia ndotoni wameshakua Tiss

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu state agent Covid -19 ilimbakiza kweli?
Siku hizi kapotea
 
TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Eti smart, wangekuwa smart wasiojulikana wasingekuwepo,wangewamaliza kimyakimya hata wao wasijue Nani kawamaliza.
Kuwapa ajira watoto wa makada ma uvccm ndio wawe intelligence unit.

Check wa wenzetu wako bize kuiba Siri za uchumi za nchi zingine mfano fursa,masoko, malighafi then wanazipenyeza kwa matajiri wa nchi zao Kisha nchi zao zinawapa sapoti wanaenda wekeza hizo nchi wanachuma wanajenga nchi zao.Sio Hawa wako bize kumdukua zito au mbowe na kukusanya umbea na majungu kuyapeleka.
 
Back
Top Bottom