kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Unafikiri nje ya box sana. HongeraHuyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama una usingizi kalale usije anza kutukanaMange na siri au kigogo kumbe wewe jamaa ni kiwis mbatata kiasi hiki vihisia vaya mtu ndio siri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza tukubali hio ID ya kigogo haiendeshi na mtu mmoja sasa kuanzia apo tukiconnect dot na ilo wazo lako huenda ni sytem linaweza kuwa na uzito mana ingekuwa wa nje wangefahamika as unavyojua siri ni mtu mmoja tuHuyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fikiria nje ya boxMange wametumwa mpaka watu Marekani! Mahiga R. I. P kafanya transaction Mange kapoa ! we endelea kujifungia kwenye korido za lumumba huna unachojuwa!
Verified huwezi chambua chochoteSiri gani zinazovujaja za TISS ,ila kingine miaka saba ilopita ulikuwa ni member wa Jf ?
Ila watu dahTISS kwa Sasa inaendeshwa na jiwe peke yake ,Diwani amekaa tu kama kitumbua,yaani ili ccm isidondoke ,kwa kifupi TISS ni ya chama sio TAIFA
Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much. Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taharuki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni. Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.
Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza.
Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja?
Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama? pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
Nakubaliana na wewe kwa %100,kwasbb jamaa linajua kila kitu kinachofanyika jikoni kabxaa kwa mzee meko,,Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
AhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMzee unatype kama vile mtu anayejaribu kuongea huku anatafuna karanga.
Nakubaliana na wewe upande mmoja kama ni mwenzao kimkakati sizani kama angekuwa anamdharirisha mkulu vile, labda kama mkulu yeye kama yeye hajuwi kinachoendelea nakubaliana na wewe! au ni mkakati wao pia kupiga pesa maana wameshajuwa udhaifu wa mkulu hapendi kukosolewa.Huyu jamaa inawezekana anacheza na akili za watu tu!
Na siyo ajabu ikawa ni mbinu ya hao tiss kuwatafuta wale wanaompinga meko kwa kumtumia huyo mshikaji!
Ipo siku atawageuka wote wanaomshadadia, then ataishia kutukanwa!
Kuna wakati anageuza upepo na kuwafumua akina zitto, mbowe n.k! Hivyo inawezekana yupo kimkakati, na tunavyoaminishwa anatafutwa, ni moja wapo ya mbinu za kutekeleza mkakati mzima!
Huyo ni system kabisa huenda!
Sent from my iPhone using JamiiForums
kama ungekuwa mkakati wasingetenga mafungu ya pesa kumsakaNakubaliana na wewe upande mmoja kama ni mwenzao kimkakati sizani kama angekuwa anamdharirisha mkulu vile, labda kama mkulu yeye kama yeye hajuwi kinachoendelea nakubaliana na wewe! au ni mkakati wao pia kupiga pesa maana wameshajuwa udhaifu wa mkulu hapendi kukosolewa.
Kaka kaka kakaaaaaa!!!Wewe ni kilaza! Kama hawana madhara kwa nini watafutwe? kwa taarifa tu mpaka sasa zimeshatumiaka zaidi ya bil 2 kumtafuta kigogo kama ni hisia anatafutwa wa nini?
Wewe ni kilaza! Kama hawana madhara kwa nini watafutwe? kwa taarifa tu mpaka sasa zimeshatumiaka zaidi ya bil 2 kumtafuta kigogo kama ni hisia anatafutwa wa nini?
Kazi ipoMange wametumwa mpaka watu Marekani! Mahiga R. I. P kafanya transaction Mange kapoa ! we endelea kujifungia kwenye korido za lumumba huna unachojuwa!
Relax acha kutetemeka andika taratibu tu mkuuMange na siri au kigogo kumbe wewe jamaa ni kiwis mbatata kiasi hiki vihisia vaya mtu ndio siri
Sent using Jamii Forums mobile app