Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

Uwanja mkubwa wa mpira Chato wa nini?

kwamba wao hawana ham ya kua na maendeleo ama? hio ni logic simple tu imetumika apo: we unachotaka kufanya ni kukusanya uchumi sehem moja which isnt ok at all: lazma mechi zichezeke na uko chato pia isogeze biashara zao pia
Hivi tangu uwanja wa ndege wa Chato kukamilika kuna ndege za biashara zinatua hapo?
 
Mkuu chato bado sana, unakumbuka alivyo mlazimisha kimei apeleke tawi la crdb chato ikabidi crdb washushe mjengo pale? Mwisho wa siku ikawa kwa siku linahudumia mtu mmoja au hakuna kabisa na navyoandika hapa lile tawi lilikwishafungwa
Economically kujenga kiwanja ni kusaidia chato kusogea: wale watu wa chato watapata pa kuuza endapo mechi zitakua zinachezeka apo: Tanzania Sio Dar tu, Raisi angekua ana mawazo kama yako ndo yale ya kenya nairobi uchumi mkubwa wakati turkana watu mil 1 wamekufa kwa njaa: Tunashukuru raisi hana akili kama yako
 
Mkuu chato bado sana, unakumbuka alivyo mlazimisha kimei apeleke tawi la crdb chato ikabidi crdb washushe mjengo pale? Mwisho wa siku ikawa kwa siku linahudumia mtu mmoja au hakuna kabisa na navyoandika hapa lile tawi lilikwishafungwa

Sasa ndo inavotakiwa ili chato isogee mbele: lasivo chato itaendelea kua ivo ivo always kusipokua na haya mageuzi watu watendelea na mawazo yale yale
 
Uwanja kama wa Taifa, unachukua watu elfu 60. Wakazi wa Dar ni milioni 5 na ndio wenye wastani mkubwa zaidi wa kipato ukilinganisha na miji mingine lkn kuujaza huo uwanja ni mara chache mno. Sasa mji wa Chato wenye wakazi wasiofika laki moja na miongoni mwa watu wenye kipato kidogo zaidi nchini, wanahitaji kweli uwanja mkubwa kama huo unaotajwa?

Vv

sasa hivo ndio inatakiwa uzungushe uchumi wa nchi: haiwezekan uweke viwanja vyote dar ata kama ni cha ndege: yule mtu ambae anauza chakula si ina maana soko lake la chakula limeongezeka: na wtu wanaofanya huduma za hotel na lodges je? mbna simple tu: hio ni moja serikali inatakiwa iendelee kuongeza nguvu zaidi kwenye hii miji midogo ili tufike uchumi mzuri
 
Kuna Watu ni ' Mapopoma ' hapa duniani hadi najiuliza ni kwanini hata Mwenyezi Mungu alipoteza muda wake muhimu Kuwaumbeni. Uwanja wa Mpira haujengwi kwa Kigezo cha eneo husika kuwa mbali au kwamba halina Watu wengi au halina Michezo. Ujenzi wa Uwanja unaweza ukawa sasa ndiyo chachu kubwa ya muamko wa Kimichezo katika eneo husika lakini pia Ujenzi wa huo huo Uwanja unaweza pia kuwa ni Chanzo cha Mapato kwa Halmashauri na Serikali husika ya Mkoa. Kama haitoshi Uwanja huo huo mkubwa wa hapo unaweza kuwa ni Chanzo cha Kiuchumi hasa kwa Wakazi kwani wanaweza wakawa wanauza bidhaa zao pale Michuano ikiwa inachezwa hapo. Baada ya Ujenzi wa huo Uwanja wenye Mamlaka nao wanaweza wakawa wanautumia kwa Kuukodisha kwa Timu Kubwa Kubwa nchini au hata wakawa Wanaandaa Mashindano ambayo yatazikutanisha hizi Klabu Kubwa hivyo Mapato Kuongezeka lakini hata na Hamasa ya Kimpira na Kimichezo eneo husika nayo ikaongezeka. Na Viwanja havijengwi kwa matumizi tu ya sasa basi Viwanja vinajengwa hata kwa matumizi ya baadae na kwa Vizazi vijavyo. Na Kinachofanya Uwanja Kujaa siyo Watu ( Wakazi ) husika wa hapo bali ni ' Hamasa ' na ' Mwamko ' unaojengwa na Wahusika wa Kimichezo kutokana na Mipango yao waliyonayo katika Kuendeleza Mchezo wa Mpira wa Miguu hapo. Na hakuna mahala popote pale nchini Tanzania pameandikwa kwamba ndiyo pawe na Uwanja wa Mpira na pengine pasiwepo. Umeleta Mada hii Kiuanaharakati / Kisiasa zaidi kwakuwa tu una Chuki zako na Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwa kuwa nae anatokea hilo eneo la Chato na huenda pia na Chama Cha Mapinduzi ( CCM ) na hii Serikali ila nina uhakika Uwanja huu huu ungesikia Unajengwa eneo jingine wala usingekuja na haya ' Majungu ' yako. Kwani sehemu atokayo Rais ikiwa na Maendeleo ni Kosa au Dhambi? Mnafiki na Mshamba mkubwa Wewe!

Sisi ni wafrika, hua tunaangalia cons instead of pros: sasa sjui wangekua wanakaa nchi kama Marekani ambao wana budget zaidi ya $500B kwenye jeshi tu wangekua wanalalmikaje: ni kawaida yetu kuponda kile kitu, so wachukulie poa tu: wakikua wataelewa
 
Ndo yale yale ya kutaka kusikia kila kitu kinafanyika dar ndo mfurahi wacha Rais Magufuli afanye yake ilimradi hajavunja sheria maana huo uwanja unajengwa ndani ya Tanzania.
Na siku zote mwamba ngoma uvutia upande wake. Jiulize Uwanja wa Mpira wa Kaitaba, Bukoba una mkeka safi lakini Kaitaba haipo ndani ya jiji.

Je, ni majiji mangapi hapa Tanzania yana viwanja vya mpira lakini havina nyasi bandia? Nadhani utajua ni kwanini Kaitaba waliwekewa mkeka safi na hakuna mtu alielalamika maana alieshikilia mpini kwa wakati huo alikuwa anajulikana.
Uwanja wa kaitaba huko bukoba Una uwezo wa kubeba watazamaji 25000 Tu na unafaa Sana Kwa mji wa bukoba.ndo maana watu hawalalamiki.


Na ulijengwa Kwa sababu viwanja vingi nchini ni Mali ya CCM mfano CCM kirumba,abeid karume nk lakin kaitaba ulikuwa wa manispaa ya bukoba
 
Ndo yale yale ya kutaka kusikia kila kitu kinafanyika dar ndo mfurahi wacha Rais Magufuli afanye yake ilimradi hajavunja sheria maana huo uwanja unajengwa ndani ya Tanzania.
Na siku zote mwamba ngoma uvutia upande wake. Jiulize Uwanja wa Mpira wa Kaitaba, Bukoba una mkeka safi lakini Kaitaba haipo ndani ya jiji.

Je, ni majiji mangapi hapa Tanzania yana viwanja vya mpira lakini havina nyasi bandia? Nadhani utajua ni kwanini Kaitaba waliwekewa mkeka safi na hakuna mtu alielalamika maana alieshikilia mpini kwa wakati huo alikuwa anajulikana.
Kama ingekuwa malinzi anapendelea kwao basi angeujenga huko kyaka wilaya ya misenyi mbali na bukoba lakin aliujenga bukoba ambapo panafaaa sana
 
Mkuu, sisi hatushindani na Rwanda wala inchi yoyote.
Kama chato ipo ndani ya eneo ya United Republic of Tz kwani kuna tatizo gani mkuu??

Mbona SGR inajengwa From Dar to morogoro watu wa mtwara na Tanga hawajalalamika??

Binafsi sioni tatizo, maana kiwanja cha chato sio ndio kitakuwa cha mwisho kujèngwa... Mwanźa, Arusha, Mbeya, Kigoma vitajengwa tu mkuu, tujipe muda boss
Pointless kabisa ujui maana ya resource allocation and locus yaan tujenge uwanja badala ya mambo ya Muhim? Tena on bias bases???
 
Usiropoke, kama hujui kaa kimya. Kaitaba ni uwanja unaomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba na ndo wameweka nyasi bandia. Usihusishe huo uwanja na mtu yeyote!
Kama malinzi angapendelea kwake basi angeujenga misenyi huko wala sio bukoba .
 
Lengo la kujenga huo uwanja ni kutaka ndani ya hii miaka 10, tuwe na timu imara ya mpira wa miguu (Chato city fc au Chato United fc), ambayo itaiwakilisha nchi kwenye klabu bingwa au kombe la shirikisho Afrika.

Chato oyeeeee!
 
Umimi (uDar es Salaam) ni moja ya sababu nyingine kubwa kutoendelea kwa taifa la Tanzania.
 
Mwalimu Nyerere angekuwa na fikra kama za jiwe na washangiliaji wake, leo hii Butiama (Mwintongo) kungekuwa kama Paris! Huyu jamaa ni mbinafsi sana....
 
Ni bora wangejenga Geita kuliko chato Kyle bado sana kwanza idadi ya watu ni wachache
 
Rubish,... kuna mchezo gani maarufu unatamba huko CHATO, kuna mchezaji gani maarufu anatokea CHATO..

Kuna Mchezo unaitwa ' Chabuso Game ' na pia kuna Mchezaji Mmoja maarufu sana anaitwa ' Popoma Chabuso ' wa hapo Chato.
 
Kwamba wao hawana hamu ya kuwa na maendeleo ama? Hiyo ni logic simple tu imetumika apo. We unachotaka kufanya ni kukusanya uchumi sehem moja, which isn't okay at all. Lazma mechi zichezeke na huko Chato isogeze biashara zao pia.
Bado una komenti pumba mkuu umiza kichwa kidogo
 
Back
Top Bottom