Uchaguzi 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam: Yaliyojiri mkutano wa kampeni wa Dkt. John Pombe Magufuli

Wabongo wanashangaza kweli,unakuta kaenda pale Asubuhi Hana hata Mia mchana anaanza kuunga unga nauli ya kurudi kwake
 
Wazee wa picha za drone mbona siwaoni leo asubuhi walikuwa na machachari kweli. Crimea ukowapi ndugu yangu utupie tupicha twa drones tuwafunge mdomo machadema..

Asubuhi kwenye uzi huu walikuwepo wote na aamsha amsha kama yote now siwaoni tena. Wangetest mbinu ya machadema ya kuchakata picha wananchi tupate burudani eti
 
Hivi leo lugha itakayotumika ni ipi...Kiswahili cha kijiji, Kiswahili cha taifa au Kiswahili cha dunia? Mimi ningemshauri atumie Kiswahili cha Dar es Salaam tu kama itawezekana na ajiepushe kuchomekea kile cha dunia.

mna lingine la kusema?
 
Kwahiyo watu wa mikoani kama huko Morogoro ndio mijinga sana kiasi kwamba hadi wanabebwa kuja kuangalia wasanii Dar?
Enyi wafuasi wa chama cha mbowe, Pengine siku moja mkiacha kuwaza na ?kunena upuuzi labda mnaweza mkajitahidi kuongeza viasilimia vya ushindani. Maana sasa hivi hamna ushindani bali mna upinzani. Mmechelewa sana yani
 
Enyi wafuasi wa chama cha mbowe, Pengine siku moja mkiacha kuwaza na ?kunena upuuzi labda mnaweza mkajitahidi kuongeza viasilimia vya ushindani. Maana sasa hivi hamna ushindani bali mna upinzani. Mmechelewa sana yani
Magufuli alidai aambiwe ati dhambi yake nini hata asipewe tena Miaka Mitano.

Dhambi za Magufuli ni Nyingi sana Uwongo, Tamaa, Uuaji, Ukatili kutokuwa na Uaminifu, Uonevu na Wizi.

Kutaja tu chache.
 
Hakuna jipya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…