Uwanja wa Benjamin Mkapa | Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC Vs Plateau United

10' Simba SC walipata kona kuelekea Plateau United ambayo hazikuzaa bao

Simba SC 0-0 Plateau United
 
Kwann simba huwa hachezi namna hii kwa Utopolo, ama utopolo ni ngumu sana kuichezea namna hii.??????? Naomba nijibiwe tafadhali
 
Ulipaswa uanze na kujiuliza Simba walivyoipokea na kuishangalia TP Mazembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…