Hakuna unachokijua dada angu wewe nyamaza
Kwani huyo Dr. Samia mwanamke mwenzako amekukosea nini?Hakuna unachokijua dada angu wewe nyamaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna unachokijua dada angu wewe nyamaza
Kwani huyo Dr. Samia mwanamke mwenzako amekukosea nini?Hakuna unachokijua dada angu wewe nyamaza
VumiliaKwani huyo Dr. Samia mwanamke mwenzako amekukosea nini?
Au wauite royal tour stadiumKwanini uitwe na Dr Samia badala hata ya Ngorogoro?
Hatari snAu wauite royal tour stadium
Kwa hiyo upumbavu wao unaujua leo? Umechelewa sana.SELIKALI YA CCM NA VIONGOZI NI WAPUMBAVU SANA.........
LENGO NI KUWEKEZA KWENYE MICHEZO.
HATA KUJENGA UWANJA WENYE MASHABIKI ELFU 70 BAADQ YA MIAKA 17 WANASHINDWA.
SHAME
Mungu yu pamoja na wenye kuvumilia, ndiyo maana nikaitwa Vumilika.Vumilia
Basi UWT kuna shidaMungu yu pamoja na wenye kuvumilia, ndiyo maana nikaitwa Vumilika.
Kwani walikukosesha uwenyekiti?Basi UWT kuna shida
Anatoa mfukoni mwake?Ndio anaye toa pesa.. hujasikia haya mambo
Muda ndio tatizoMbona huu uwanja utajengwa Kwa gharama kubwa kuliko ule wa mkapa na huu ukubwa wake ni nusu tu
Anatoa mfukoni mwake!!??Ndio anaye toa pesa.. hujasikia haya mambo
Hata wa mkapa ungeitwa mzizimaUngeitwa Masai ungependeza san
Kuna na mkapa, nyrere, karume nk nkKwanin uwanja uitwe Dr samia nchi haina wana michezo wakongwe?
Samia aliwahi kuwa mchezaji wa nini??
Kwanin uchawa na kujipendekeza ni silaha