Uwanja wa Entebe kuchukuliwa na China kwa ajili ya Mkopo, Mashabiki wa Bagamoyo kaeni mkao wa kula

Uwanja wa Entebe kuchukuliwa na China kwa ajili ya Mkopo, Mashabiki wa Bagamoyo kaeni mkao wa kula

Hata ningesema 'mimi sina shida', kwa hulka yako hii ungesema sipaswi kuchangia chochote nikae kimya

Nimezunguza hivyo kwa maana

kwakuwa najua kinga zipatikanazo kwa watu hao na kipi ambacho siwezi kufanya wala kukibadili kwa wakati huu wala wewe na yeyote yule

Ila nafahamu kuwa mabiliko yapo karibu,na ni wakati kidogo mambo yatakua mambo kwakuwa mbegu ilipandwa
Okey.
 
Jisomeeni wenyewe


===

Faced with the need to expand the transport sector in tandem with regional infrastructural development, Uganda launched an aggressive and ambitious 20-year civil aviation masterplan which included the upgrade of its only international airport in Entebbe along the shores of Lake Victoria, 43km south of the capital Kampala.

The refurbished airport would handle about 150,000 operations a year, as the landlocked country looked at making its main gateway a regional hub.

On March 24, 2015, Finance minister Matia Kasaija asked Parliament to approve a $325 million (Ush1.1 trillion) loan from Exim Bank of China for the expansion works on the airport. The money was approved, and the works started in January the following year. Addressing the MPs, Mr Kasaija said it was the best offer available and that they had to take it very quickly.

The upgrade would see the modification and modernisation of the main terminal building to handle an expected increase in traffic, a new cargo centre, and multi-storey parking.
Red flags

However, as construction was ongoing, the Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) managers feeling uncomfortable with some clauses of the loan agreement raised red flags.
Related

Some 13 clauses were deemed unfriendly and as good as mortgaging the airport and eroding the country’s sovereignty. The most troubling for the aviation bosses was a clause that gave Exim Bank the sole authority to approve withdraws of funds from the UCAA accounts.

The bank also had the power to approve annual and monthly operating budgets, which it could reject, and the rights to inspect the government and UCCA books of accounts. The China International Economic and Trade Arbitration Commission (CIETAC) in Beijing also had the mandate to resolve disputes.

First to raise the alarm was the former UCAA managing director David Kakuba who warned that failure to amend the clauses could expose government assets to attachment and take over by China.

A team led by former envoy to China Dr Crispus Kiyonga in 2019 was told outrightly that there would not be any amendment to the loan agreement.
Stringent measures

Planning Minister Amos Lugoloobi admitted that the loan was poorly negotiated and signed but that the ministry has put in place stringent measures, including setting up an entire department to ensure loans are closely monitored so that the country does not slip into debt distress.

“We have restricted borrowing to only critical projects, and we ensure our loan ratio does not go beyond 50 percent of the GDP,” he said. Uganda’s current debt ratio to GDP is about 45.7 percent.

Read: Uganda joins neighbours in seeking $750m in new loans

Mr Lugoloobi ruled out any kickbacks during the negotiations, although President Yoweri Museveni has previously castigated technocrats seeking bribes, inflating projects’ costs, and influencing negotiations.
‘No cause for alarm’

Attorney General Kiwanuka Kiryowa playing down the fears of the airport takeover says there is no cause for alarm because no property of Uganda has been mortgaged. He added that the loan was a commercial contract with an obligation to both parties.

“When you borrow money, your obligation is to pay. If you do not pay, the other party can take you to court, in which case this would be CIETAC,” he said.

“Let everyone do their part. The airport makes money and will meet its obligations.”

The AG says the agreement is not unusual and requires no amendment.

Finance minister Kasaija said in case of a loan default, the government would intervene. “In the unlikely event that UCAA were to fail to generate sufficient revenue to service the loan, the central government will step in,” he said.
Kipindi fulani Wachina walilalamika hizo ni propaganda za USA,juzi ilikiwa Zambia uwanja wa ndege, jana Kenya mradi wa treni yao leo Uganda uwanja wa Entebbe, bila shaka kuna kitu Wachina wanatuficha kwenye maswala ya uwekezaji wao na Afrika wamepatolea macho.

Hii mikataba iwekwe wazi bungeni waijadili au kuwe na jopo la wanasheria waidiscuss then watudadavulie faida ni zipi na hasara ni zipi.
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
My friend you are totally misleading your people.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Unasema hakuna mkopo afu hapohapo unadai mkopaji ni Mchina!!!

Huo sio mkopo?

Mchina sio boya, lazima abadili mbinu.

Afu ukute watu kama nyie ndo mnamshauri mama!! So sad!
 
Ule uwanja wa Entebbe ndo ulicost mamilioni ya dola?

Duh Africa ni bara la giza!!
 
Tutamuamini vipi JPM ambaye mara nyingi tu alikuwa a lair.

Mfano kuna kipengele alisema kuwa tumewapa Wachina ardhi kwa miaka 99 kwenye huo mkataba wakati sheria za uwekezaji ndo zinasema hivyo hapa Tz..lakini yeye fastafasta tu kwa akatuambia tumepigwa..huyo ndo JPM.
Sheria za uwekezaji zinasemaje?
 
Shida ya watanzania ..wanadhani kwamba magufuri hakutaka huo mradi na wala haikumaanisha watanzania wanaohoji wanapinga philosophia ya mradi ie design..ijulikaen wote wanaohoji ni juu ya masharti ya huo uwekezaji wa dolla billion 10..je unakuja na masharti yapi..ndo suala ambalo serikali inabidi ijibu..Shida wale wanaoshabikia huo mradi hawataki kuhojiwa na ukihoji unonekana humtakii mema Samia , suala ambalo ni baya sana..Kwanini serikali na CCM na SAMIA HAWAWEKI HAYO MASHARTI WAZI ILI TUJUE TEAM INAYOENDA KUJADILI INAENDA KUPAMBANA NQ MLIMA KIASI GANI.NACHO AMINI HAIWEKEZEKANI UWEKEZAJI MKUBWA KIASI HICHO USIWE NA MASHARTI
 
KWA TUNAVYOJIJUA WATANZANIA HILI NALO LITAPITA NA BANDARI ITAJENGWA NA HAKUNA TUTAKACHOKIFANYA.....

CCM WAMEIFANYA HII NCHI NI KAMA SHAMBA LAO NA WATOTO WAO......

INGAWA WATANZANIA WAMESHINDWA KUJISIMAMIA LAKINI IPO SIKU MUNGU ATASIMAMA NA WATANZANIA KWANI KAMWE HAWEZI KUACHA DHURUMA NA UONEVU VIENDELEE MACHONI MWAKE.........
kwani bado tupo enzi za Mussa brother kwamba tutegemee kushushiwa mana ili tule au maji yapasuke pande mbili ili tuwakimbie maadui. Mungu huyu huyu aliacha biashara ya utumwa kwa karne na akaacha watu wageuzwe makoloni, wabaguliwe na wanyanyaswe hadi akili ilipowakaa sawa wakaanza kupigania maslahi na uhuru wao

yaani watanzania sijui tunajichukulia kama last borns wa sir God, tunamkimbilia kwa deko ili atuondolee tabu bila kuumia wala kudhurika. Na hata mimi ndo ningekuwa Mungu yaani nisingewadekeza, ningewaacha mteseke tu
 
Mnatufanya wote hatujui uchumi eeh! Yaani mtu aje kwako, akushauri mjenge nyumba kiwanjani kwako, we ukope na ye akope halafu useme Hakuna hata mia ya mkopo wa aliyekuja kuungana nawe?? Yaani China anakupenda kuliko unavyojipenda?

Hii miladi huja kwa sura nzuri nzuri ila ni wizi wa kalamu tu na mzigo wa kulipa uyawaumiza wananchi wa chini.

Matokeo Yake mafuta juu, Vifaa vya ujenzi juu, tozo za wizi wizi nk Vyote hivyo ni mzigo kwa mwananchi!
Mkuu, kama wewe sio mgeni sana hapa Tanzania, basi tutakubaliana pamoja kwamba mikataba karibia yote ya nchi huwa haiwekwi wazi.
(Sio mjadala wa leo juu ya suala la kutowekwa wazi kwa mikataba ni sahihi au sio sahihi).

Kwa sasa wananchi tumegawanyika katika makundi mawili kulingana na maneno tuliyoambiwa na viongozi wetu.

1. JPM alituambia mkataba ni wa hovyo, ni wa kinyonyaji na ni hauna tija kwetu kama nchi.

2. Serikali ya awamu ya sita (Mh. Samia) ametuambia bandari ya Bagamoyo ina tija na manufaa kwetu kama taifa hivyo mazungumzo yataendelea ili kutekeleza mradi huo.

Wote hao wawili hawajawahi kutuonyesha mkataba wenyewe.

Kwaiyo tunajadili "kiimani" tu.

Sijui ni nani mkweli na nani si mkweli baina ya viongozi wetu, wananchi tunayumbayumba tu.
 
Shida ya watanzania ..wanadhani kwamba magufuri hakutaka huo mradi na wala haikumaanisha watanzania wanaohoji wanapinga philosophia ya mradi ie design..ijulikaen wote wanaohoji ni juu ya masharti ya huo uwekezaji wa dolla billion 10..je unakuja na masharti yapi..ndo suala ambalo serikali inabidi ijibu..Shida wale wanaoshabikia huo mradi hawataki kuhojiwa na ukihoji unonekana humtakii mema Samia , suala ambalo ni baya sana..Kwanini serikali na CCM na SAMIA HAWAWEKI HAYO MASHARTI WAZI ILI TUJUE TEAM INAYOENDA KUJADILI INAENDA KUPAMBANA NQ MLIMA KIASI GANI.NACHO AMINI HAIWEKEZEKANI UWEKEZAJI MKUBWA KIASI HICHO USIWE NA MASHARTI
Kati ya wanaCCM watatu, Kikwete, Magufuli na Samia, hakuna hata mmoja amewahi kuweka huo mkataba wazi. Wote wanatupiga maneno tu na sisi tunataka kuuana huku.
 
Shida ya watanzania ..wanadhani kwamba magufuri hakutaka huo mradi na wala haikumaanisha watanzania wanaohoji wanapinga philosophia ya mradi ie design..ijulikaen wote wanaohoji ni juu ya masharti ya huo uwekezaji wa dolla billion 10..je unakuja na masharti yapi..ndo suala ambalo serikali inabidi ijibu..Shida wale wanaoshabikia huo mradi hawataki kuhojiwa na ukihoji unonekana humtakii mema Samia , suala ambalo ni baya sana..Kwanini serikali na CCM na SAMIA HAWAWEKI HAYO MASHARTI WAZI ILI TUJUE TEAM INAYOENDA KUJADILI INAENDA KUPAMBANA NQ MLIMA KIASI GANI.NACHO AMINI HAIWEKEZEKANI UWEKEZAJI MKUBWA KIASI HICHO USIWE NA MASHARTI
Tulia chawa wa mwendazake
640px-Female_human_head_louse.jpg
 
Mkuu, kama wewe sio mgeni sana hapa Tanzania, basi tutakubaliana pamoja kwamba mikataba karibia yote ya nchi huwa haiwekwi wazi.
(Sio mjadala wa leo juu ya suala la kutowekwa wazi kwa mikataba ni sahihi au sio sahihi).

Kwa sasa wananchi tumegawanyika katika makundi mawili kulingana na maneno tuliyoambiwa na viongozi wetu.

1. JPM alituambia mkataba ni wa hovyo, ni wa kinyonyaji na ni hauna tija kwetu kama nchi.

2. Serikali ya awamu ya sita (Mh. Samia) ametuambia bandari ya Bagamoyo ina tija na manufaa kwetu kama taifa hivyo mazungumzo yataendelea ili kutekeleza mradi huo.

Wote hao wawili hawajawahi kutuonyesha mkataba wenyewe.

Kwaiyo tunajadili "kiimani" tu.

Sijui ni nani mkweli na nani si mkweli baina ya viongozi wetu, wananchi tunayumbayumba tu.
"Usimwamini Mwanasiasa yeyote"-Zitto
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Naona wewe umeajiriwa na wake JK kama "attack dog". Wewe mkataba hujauona lakini unatueleza yaliyomo. Wewe na Magufuli ni nani alikuwa na nafasi ya kujuwa yaliyomo kwenye mkopo. Kuna mwingine anadai siyo mkopo bali uwekezaji. Hata kama ni uwekezaji kuna masharti yanayotakiwa kutimizwa kabla ya mwekezaji kuleta pesa yake. Je, kuna kwekezaji atayekubali kuwekeza kama anaona uwekezaji hautaleta faida. Je, kuna guarantee gani kuwa akiwekeza pesa yake itarudi. Wengine wanadhania uwekezaji huo ni kama ule wa mtu binafsi, asipopata faida hilo ni tatizo lake. BANDARI YA BAGAMOYO NI KAA LA MOTO> Hata SSH anapiga siasa tu, wala hatweka sahohio kasma watu wanavyodhania.
 
Jisomeeni wenyewe


===

Faced with the need to expand the transport sector in tandem with regional infrastructural development, Uganda launched an aggressive and ambitious 20-year civil aviation masterplan which included the upgrade of its only international airport in Entebbe along the shores of Lake Victoria, 43km south of the capital Kampala.

The refurbished airport would handle about 150,000 operations a year, as the landlocked country looked at making its main gateway a regional hub.

On March 24, 2015, Finance minister Matia Kasaija asked Parliament to approve a $325 million (Ush1.1 trillion) loan from Exim Bank of China for the expansion works on the airport. The money was approved, and the works started in January the following year. Addressing the MPs, Mr Kasaija said it was the best offer available and that they had to take it very quickly.

The upgrade would see the modification and modernisation of the main terminal building to handle an expected increase in traffic, a new cargo centre, and multi-storey parking.
Red flags

However, as construction was ongoing, the Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) managers feeling uncomfortable with some clauses of the loan agreement raised red flags.
Related

Some 13 clauses were deemed unfriendly and as good as mortgaging the airport and eroding the country’s sovereignty. The most troubling for the aviation bosses was a clause that gave Exim Bank the sole authority to approve withdraws of funds from the UCAA accounts.

The bank also had the power to approve annual and monthly operating budgets, which it could reject, and the rights to inspect the government and UCCA books of accounts. The China International Economic and Trade Arbitration Commission (CIETAC) in Beijing also had the mandate to resolve disputes.

First to raise the alarm was the former UCAA managing director David Kakuba who warned that failure to amend the clauses could expose government assets to attachment and take over by China.

A team led by former envoy to China Dr Crispus Kiyonga in 2019 was told outrightly that there would not be any amendment to the loan agreement.
Stringent measures

Planning Minister Amos Lugoloobi admitted that the loan was poorly negotiated and signed but that the ministry has put in place stringent measures, including setting up an entire department to ensure loans are closely monitored so that the country does not slip into debt distress.

“We have restricted borrowing to only critical projects, and we ensure our loan ratio does not go beyond 50 percent of the GDP,” he said. Uganda’s current debt ratio to GDP is about 45.7 percent.

Read: Uganda joins neighbours in seeking $750m in new loans

Mr Lugoloobi ruled out any kickbacks during the negotiations, although President Yoweri Museveni has previously castigated technocrats seeking bribes, inflating projects’ costs, and influencing negotiations.
‘No cause for alarm’

Attorney General Kiwanuka Kiryowa playing down the fears of the airport takeover says there is no cause for alarm because no property of Uganda has been mortgaged. He added that the loan was a commercial contract with an obligation to both parties.

“When you borrow money, your obligation is to pay. If you do not pay, the other party can take you to court, in which case this would be CIETAC,” he said.

“Let everyone do their part. The airport makes money and will meet its obligations.”

The AG says the agreement is not unusual and requires no amendment.

Finance minister Kasaija said in case of a loan default, the government would intervene. “In the unlikely event that UCAA were to fail to generate sufficient revenue to service the loan, the central government will step in,” he said.
Hamna ya kiswahili na sisi tuambulie hoja za kutolea makasiriko
 
Eeeh ...bhn eeeeh semeni mnavyo sema ila MKULU alishatutahadharisha mapema sana kuwa tukijichanganya kidogo tu tuta kucha gegedwa vibaya sana na hao matapeli na wezi yaani ni wa swahili kuliko waswahili wenyewe. [emoji18][emoji115] alie wahi kufanya kazi na wa china aje atoe ushahidi hapa.[emoji847] Bagamoyo ni michongo ya watu ile tuacheni kihere here.[emoji419]
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Kwanini huo mkopo tusikope wenyewe tujijengee hiyo bandari wenyewe na hilo deni tulipe wenyewe.
 
Back
Top Bottom