Uwanja wa Entebe kuchukuliwa na China kwa ajili ya Mkopo, Mashabiki wa Bagamoyo kaeni mkao wa kula

Uwanja wa Entebe kuchukuliwa na China kwa ajili ya Mkopo, Mashabiki wa Bagamoyo kaeni mkao wa kula

Mkuu, kama wewe sio mgeni sana hapa Tanzania, basi tutakubaliana pamoja kwamba mikataba karibia yote ya nchi huwa haiwekwi wazi.
(Sio mjadala wa leo juu ya suala la kutowekwa wazi kwa mikataba ni sahihi au sio sahihi).

Kwa sasa wananchi tumegawanyika katika makundi mawili kulingana na maneno tuliyoambiwa na viongozi wetu.

1. JPM alituambia mkataba ni wa hovyo, ni wa kinyonyaji na ni hauna tija kwetu kama nchi.

2. Serikali ya awamu ya sita (Mh. Samia) ametuambia bandari ya Bagamoyo ina tija na manufaa kwetu kama taifa hivyo mazungumzo yataendelea ili kutekeleza mradi huo.

Wote hao wawili hawajawahi kutuonyesha mkataba wenyewe.

Kwaiyo tunajadili "kiimani" tu.

Sijui ni nani mkweli na nani si mkweli baina ya viongozi wetu, wananchi tunayumbayumba tu.
Ningependa kusahihisha na kukosoa kidogo: Magufuli alisema mradi hauna tija kwa kulinganisha masharti yake magumu. SSH na genge lake wanakataa kuwa hayo masharti aliyosema marehemu hayakuwepo na wala mkataba haukuwepo. Mkataba uwepo au usiwepo wote tukubaliane kulikuwa na MoU (memorandum of understanding). Humo ndiyo kunapatikana mambo muhimu ya mkataba. MoU ikishakuwa tayari kilichobakiwa ni kutia sahihi. Ukisha tia sahihi, huo ndiyo mkataba. Hii timu ya SSH/JK siamini kwa sababu wanaongelea mazungumzo. Nina hakika baada ya Magufuli kuweka bayana vile vipengele alivyovikataa walipompelekea MoU ili abariki kutia, ndiyo sasa wanashangaika navyo. Kwa vile vinajul;ikana wanatafuta vipenyo ili mkataba uweze kutiwa sahihi. One thiong isb sure, China inataka masharti yabaki hayohayo. Pamoja na JK kuutaka huo mradi ujengwe kwao, lakini alikwepa kuutia sahihi baada ya Wachina kung'ang'ania yale masharti. Ilikuwa ni mategemeo yake Magufuli atautia sahihi. Magufli naye kaukacha. Sasa kabaki SSH, lakini SSH ameishasema atagombea. Huo mkataba una utata mwingi, na nadhani ndiyo utakuwa mazungumzo na malumbano wakati wa uchaguzi wa vyama (ndani) na nchi. Atayeutia sahihi angoje malumbano ya ndani ya CCM na uwezekano wa kuondolewa kwenye kinanyiro cha kusimamishwa na CCM. Lakini swala la uchaguzi wa ndani wa CCM ni gumu, maana wajumbe wa Zanzibar wana nguvu sawa na wale wa bara. Wa zanzibar wakisimama pamoja, na SSH akapata wachache toka bara ameula. Ila kwenye taifa, ndiyop mnyukano wa kuuza nchi unaweza kumdidiomiza SSH. YETU MACHO TU.
 
Jisomeeni wenyewe


===

Faced with the need to expand the transport sector in tandem with regional infrastructural development, Uganda launched an aggressive and ambitious 20-year civil aviation masterplan which included the upgrade of its only international airport in Entebbe along the shores of Lake Victoria, 43km south of the capital Kampala.

The refurbished airport would handle about 150,000 operations a year, as the landlocked country looked at making its main gateway a regional hub.

On March 24, 2015, Finance minister Matia Kasaija asked Parliament to approve a $325 million (Ush1.1 trillion) loan from Exim Bank of China for the expansion works on the airport. The money was approved, and the works started in January the following year. Addressing the MPs, Mr Kasaija said it was the best offer available and that they had to take it very quickly.

The upgrade would see the modification and modernisation of the main terminal building to handle an expected increase in traffic, a new cargo centre, and multi-storey parking.
Red flags

However, as construction was ongoing, the Uganda Civil Aviation Authority (UCAA) managers feeling uncomfortable with some clauses of the loan agreement raised red flags.
Related

Some 13 clauses were deemed unfriendly and as good as mortgaging the airport and eroding the country’s sovereignty. The most troubling for the aviation bosses was a clause that gave Exim Bank the sole authority to approve withdraws of funds from the UCAA accounts.

The bank also had the power to approve annual and monthly operating budgets, which it could reject, and the rights to inspect the government and UCCA books of accounts. The China International Economic and Trade Arbitration Commission (CIETAC) in Beijing also had the mandate to resolve disputes.

First to raise the alarm was the former UCAA managing director David Kakuba who warned that failure to amend the clauses could expose government assets to attachment and take over by China.

A team led by former envoy to China Dr Crispus Kiyonga in 2019 was told outrightly that there would not be any amendment to the loan agreement.
Stringent measures

Planning Minister Amos Lugoloobi admitted that the loan was poorly negotiated and signed but that the ministry has put in place stringent measures, including setting up an entire department to ensure loans are closely monitored so that the country does not slip into debt distress.

“We have restricted borrowing to only critical projects, and we ensure our loan ratio does not go beyond 50 percent of the GDP,” he said. Uganda’s current debt ratio to GDP is about 45.7 percent.

Read: Uganda joins neighbours in seeking $750m in new loans

Mr Lugoloobi ruled out any kickbacks during the negotiations, although President Yoweri Museveni has previously castigated technocrats seeking bribes, inflating projects’ costs, and influencing negotiations.
‘No cause for alarm’

Attorney General Kiwanuka Kiryowa playing down the fears of the airport takeover says there is no cause for alarm because no property of Uganda has been mortgaged. He added that the loan was a commercial contract with an obligation to both parties.

“When you borrow money, your obligation is to pay. If you do not pay, the other party can take you to court, in which case this would be CIETAC,” he said.

“Let everyone do their part. The airport makes money and will meet its obligations.”

The AG says the agreement is not unusual and requires no amendment.

Finance minister Kasaija said in case of a loan default, the government would intervene. “In the unlikely event that UCAA were to fail to generate sufficient revenue to service the loan, the central government will step in,” he said.
Kwani hiyo Airport wameichukua wakaihamishia China?,si wanaiendesha mpaka pesa yao irudi,vipi huduma zimesimama?,zimezorota?,Serikali haikusanyi kodi yake?.
 
Kuna watu wanajifanya wanajua kila kitu ila lisemwalo lipo kama halipo basi kuna dalili ya kutokea nasikia hata pale mlimani city watu waliupigwa mwingi kwa ubishi kama huu wa kujua kila kitu.
 
Kwani hiyo Airport wameichukua wakaihamishia China?,si wanaiendesha mpaka pesa yao irudi,vipi huduma zimesimama?,zimezorota?,Serikali haikusanyi kodi yake?.
Ili pesa irudi ni mpaka miaka 100 ijayo
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Where are the facts. Unless you download the agreement for us to read and understand we can not agree with what you are talking about. We are already confused. CCM ni janga maana Marehemu ni wa CCM mama ni wa CCM. Kwa nini wanatuchanganya. Ingekuwa Mama ni wa chama kingine tungeelewa lakini ninyi kwa ninyi kwa nini kuwe na kujichanganya. Sisi wananchi tumwami nani. Marehemu au Mama. Haya maamuzi yenu huko mbele will cost us dearly. Ninawahurumia sana wajukuu zetu maana watakuja kusema baba zetu walikuwa watu wa jinsi gani. If we can not have visionary leaders one day we may find our self stuck as a nation but I am not praying for that.
 
Kuna watu wanajifanya wanajua kila kitu ila lisemwalo lipo kama halipo basi kuna dalili ya kutokea nasikia hata pale mlimani city watu waliupigwa mwingi kwa ubishi kama huu wa kujua kila kitu.
Kwaiyo ile Mlimani City "tukaibomoe" ?
 
Ukiambiwa uwekezaji wa pamoja, swali linalopaswa kufuata hapo ni "nani ataweka nini" kwenye hiyo "pamoja".

Sijajua swali lako linalohusu BURE BURE linajibika vipi hapa.

Wana siasa wengi ni watu waongo waongo sana. Trust me, kwa caliber ya watu tulionao, tutaishia kule kule wengine wengi walikoishia.
Tuache uongo hautusaidii
 
Unaonekana haujui kitu, Bandari ya Bagamoyo ni mradi ambao sio wa mkopo na unajengwa kwa kutumia joint venture (JV) kati ya kampuni ya Bandari ya China (China Harbors) na Kampuni itakayoundwa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Mkopo anachukua China Harbors kutoka Saudi Arabia nasi tutatoa pesa kuchangia kwenye project kama sehemu ya share so hapo hakuna mkopo kutoka China pekee Bali nasi tutahitajika kukopa pesa ya kutumbukiza kama mchango wa capital ya project.

So muwe Makini kupitia hii miradi sio kuja kuropoka mitandaoni bila kujua ukweli ulivyo, hakuna mkopo hata shilingi moja kutoka China zaidi ya kwamba tunaweka shares zetu kwenye huo mradi. Huu sio mradi wa serikali ya TZ pekee, ni JV kila upande unatakiwa kutoa a certain amount ili kuwekeza kwa pamoja.

Just get your facts right.
Ufafanuzi mzuri. Pia naomba kuuliza! Kwani kama nchi, hatuwezi kukopa peke yetu tukaijenga hiyo bandari?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tofauti ya mchina na beberu mchina akikudai anakamata mali yako.Beberu akamati mali yako na anaendelea kukupa pesa na misaada.
 
Magu angekuwepo angejionea kuhusu hawa ndugu zake,ni bora mabeberu awaachi kutukopesha kuliko wachina wao ukamata mali
 
Back
Top Bottom