Uwanja wa Mkapa | Kombe la ASFC, Simba SC 2 - 1 Kagera Sugar

Hilo goli la kusawazisha ni clear offside, tuna safar ndefu sana
Basi tufanye hilo la pili ndilo la kusawazisha. Hapo bado una la kusema. Bado tupo na ninyi bega kwa bega hesabuni Utopolo bado tuna game mbili na nyie. Labda muombe mfungwe njiani lakini TFF ni waungwana watapanga SIMBA na Yanga robo fainali ili msikimbie
 
nadhani makadirio ya kocha ilikua kupata mabao ya mapema halafu kipindi cha pili kiingie kikosi kwa ajili ya ku defense ushindi
watawapa wachezaji fatigue sasaa. na inaonekana kocha ameshajua aina ya mashabiki wa kitanzania ndio maana anaogopoa kupoteza mechi.hii gemu sio ya kuanza na kikosi cha kwanza, hata ukipoteza haina madhara yoyote ,ukilinganisha na kupoteza gemu zilizo mbeleni. malengo yetu ni nusu fainali ya champions league na kuchukua ligi. haya mengine ziada tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi umeupozesha sana. Updates zinatakiwa mara kwa mara siyo kusubiri goli tu. Wengine tuko barabarani tunategemea kutoka kwako, tafadhali.
 
Yaani Simba tunashinda kihalali bila makando kando yoyote yaani mtu anafungwa kisha anaridhika kabisa kuwa kweli nimepigwa na timu bora.

Sio umnashida huku makando kando kibao watu wanalalamika mara refa kipofu mara sijui ml 40 yaani figisu tupu.

Hii ndio maana halisi ya timu kubwa yaani Mnyamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…