Sasa utajilipisha faini kwenye mali yako.seikali imeharibu uwanja wake kwahyo itabidi wautengeneze wao wenyewe.mmiliki ndiye aliyeharibu sasa fine ni kwa nani ulitaka?
Adi ndom zipo duh CCM wachafu sana
Wanafuata nyayo za Magu. Hela za serikali ni zake binafsi, anazigawa na kuzitumia atakavyo. Hakuna cha bajeti wala Hazina.CCM wanashindwa kutofautisha mali za umma na za chama, wanaona kila kitu ni chao
Hii ndio sababu nchi imebaki maskini mpaka sasa ,
kodi za wananchi wanatumia kumlipa diomond na wenzake, wakati hospatalini, kupata paracetamol ni shida
Wivu tu!Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Ilishindikana kujaza uwanja janaNa malori yote bado hawakujaa?
Lini mshaikubali budget ya serikari? Kama hamkushiriki kupanga budget iweje mfatilie matumizi? Kafieni mbele huko!Wanafuata nyayo za Magu. Hela za serikali ni zake binafsi, anazigawa na kuzitumia atakavyo. Hakuna cha bajeti wala Hazina.
Mwenyewe anasema huyu nilimkata na huyu nikampitisha agombee. Siyo chama, ni yeye. Kwa jimbo la kawe anasema kabisa nilimkata mtoto wa dada yangu ambaye alishinda kura za maoni, nikamweka Gwajima. Huyo ndie rais wetu.
Unauliza?CCM wameng'oa vitu baada ya kuzuiwa kutoka baada ya show na kabla ya hotuba?
Umeiona picha ya leo? Umeweka picha ya jana just after the event kisha unakurupuka leo asubuhi..Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Kishindo cha awamu ya tanoJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Mbeya sasa mbona WCB walilipa faini
Nasikia zimeokotwa ndoo 20 za condom zilizotumikaJana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
[emoji1787][emoji1787] akili ndogo inashindana na akili kubwa [emoji1787][emoji1787] pesa ya serikali au pesa ya raia wa tz y waaribu?Wao ndiyo waliyoutengeza hivyo kama wameuharibu wao bado wao ndiyo watakaourekebisha. Acha majungu.
kwani hakuna watu wa usafi?Jana kulikua na tukio kubwa sana la kampeni la chama cha mapinduzi kwenye uwanja mkubwa wa Mkapa.
Kilichotokea baada ya tukio hilo picha zinajieleza haina tofauti na kilichofanywa na WCB kule Sokoine, Mbeya.
Tofauti ni kuwa kule Mbeya kelele za kulaani zilikua nyingi ila kwa Jana kimyaaaa kila mtu anaogopa.View attachment 1595489
Non sense kabisa watu Kama ninyi ndio wa kupiga risasi hadharani yaani unashindwa kutofautisha chama na serikali!Sasa utajilipisha faini kwenye mali yako.seikali imeharibu uwanja wake kwahyo itabidi wautengeneze wao wenyewe.mmiliki ndiye aliyeharibu sasa fine ni kwa nani ulitaka?
CCM wanashindwa kutofautisha mali za umma na za chama, wanaona kila kitu ni chao
Hii ndio sababu nchi imebaki maskini mpaka sasa ,
kodi za wananchi wanatumia kumlipa Diomond na wenzake, wakati hospitalini, kupata paracetamol ni shida