Uwanja wa Mkapa: Yanga yashindwa kutamba uwanja wa nyumbani, yalazimishwa sare na Kagera Sugar

Mlianza kulaumu waamuzi, leo kocha mpaka mtakapokosa ubingwa sijui mtakuwa mmelaumu watu wangapi
 
Ona huyu

Lawama zote kwa refa machezaji yenu mabovu butuabutua hakuna ball control

Kwa kikisi kile hata refa awe yesu bado mtalaumu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…