Uwapi "wembe wa Mdude uliotumika kumnyoa Mwendazake" ambao Samia Alitishiwa nao majuzi?

Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .

Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .

Watafute ajenda zenye tija
Ajenda gani kwa sasa mkuu? Ajenda yao kubwa waliipoteza 2015 baada ya kumkumbatia Lowassa (Na ulifanyika uvunjifu mkubwa wa katiba yao kumpitisha Lowassa kugombea urais, leo hii nao wanadai katiba, wakati ya chama chao tu hawaiheshimu)
 
Shida kubw inayoikumba chadema kwa sasa ni mipango yao mibovu wameiga mavazi ya EFF wameshindwa kuiga mfumo wao .

Wao wameshika ajenda isiyokuwa na nguvu kwa Watanzania KATIBA .

Watafute ajenda zenye tija
Kama ajenda gani kwa mfano?!
 
Nimecheka kwa nguvu hiki ulichoandika, kweli nimeamini sasa ww umeshazeeka. Ngoja nikupe ukweli, cdm wameamua kutumia hiyo mbinu ya kulazimisha, inaweza isiwe na impact ya haraka hivyo, lakini itazaa matunda. ANC ya Afrika kusini ilipambana kwa mabavu zaidi ya nusu karne, na ilikuja kufanikiwa, itakuwa hiyo miaka 30 uliyoitaja ww? Tulitawaliwa na wakoloni zaidi ya miaka 70, na sio kwamba watu walikuwa hawapambani.

Kama kujinyenyekeza kunasaidia, basi ACT ya Zito walipaswa kufanikiwa. Kumefanyika chaguzi zaidi ya tano za marudio, mbona ACT wamejinyenyekeza na bado wanafanyiziwa? Hivi tunavyoongea, leo ACT wamemsusia sherehe za Iddy Mwiny huko Pemba, kisa uchaguzi wa wiki iliyopita huko konde wameporwa japo wako kwenye serikali ili kuponya madonda. Ni hivi, mtu hata kama hamuwezi pigana naye atakuheshimu. Kama kujinyenyekeza kunalipa, jinyenyekeze ww ili wakuonee huruma urudi nyumbani kumalizia uzee wako ukiwa hai.
 
Jitahidi evalist unaweza kupata nafasi ya kurudi mwaka huu. Mi nadhani hii approach ni nzuri ya kujishusha kwa watawala na wakitaka kukunyoa unaweka kichwa vizuri. Wanakunyoa... Inasaidia. Unaweza ruhusiwa kurudi tanzania.

 
Hilo Jina litakufaa wewe na aliyefanya makosa kukuleta duniani
 
Kwa ujinga huu ulioandika, wewe ni typical mtanzania.

We na mimi hatupaswi kuwashambulia kina Mbowe bali yatupasa kuhoji tumechukua hatua gani kuwaunga mkono.
Wewe ni mpumbavu unawaunga mkono wazee wa jinai hawa ,uko unampikia mmeo eti unawaunga mkono

USSR
 
Kijana aka "jasusi" fahamu hili Tanzania haijawahi kuwa na upinzani bali ni watu waliokosa fursa CCM na kisha kupata hasira na kuhama..
Ccm ndio sehemu yenye fursa sio?! Ndio maana hamtaki katiba mpya ili muendelee kuwanyonya Watanzania
 
Mbona wewe umekimbia Nchi na unarudi Nchini mwako kama mwizi?
 

kwani lazima kuwaunga mkono? kama tumegundua harakati zao ni kwa maslahi yao binafsi kuna haja gani yakuendelea kuwashabikia...?
 
Mdude ana cheo gani ndani ya Chadema?
Hizi mada nyingine sijui mnafikiria nini

Niliwahi kusema, iwapo huyo mama ataonyesha yeye ni nani kisa maneno ya huyo Mdude, basi nitadhibitisha kuwa mama ni rais mwenye upeo mdogo kwelikweli. Nilitarajia kuona hatua dhidi ya watu waliojiunganishia bomba la mafuta, lakini unaona jeshi lote la polisi likifanya ubabe wa kijinga kisa rais hataki kuonekana dhaifu kwa maneno ya kina mdude. Kwahiyo rais anaonyesha uimara wake kwa maneno ya wahuni waliobambikiwa kesi.
 
kwani lazima kuwaunga mkono? kama tumegundua harakati zao ni kwa maslahi yao binafsi kuna haja gani yakuendelea kuwashabikia...?
Cdm hawahitaji ww au ndugu zako wawaunge mkono, bali wanataka haki ya kufanya kongamano, tena la ndani kupaza sauti ya madai yao halali. Hulazimishwa kuwaunga mkono kwa jambo usiloliamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…