UWATA wamesambaratisha familia yetu

UWATA wamesambaratisha familia yetu

Mnamo mwaka 2013 baba yangu alikutana na mchungaji mmoja huko Moshi na baba yangu akamueleza kiu yake ya kuwa karibu na Mungu kwani ujana wake hakuwa mtu wa kwenda kanisani. Mchungaji(jina limenitoka lakini ningemtaja) akamueleza habari za uwata na kwamba angemkutanisha na kiongozi wa dhehebu hilo, basi wakaanza kwenda wote faraghani na hata ilipofika wakati wa kurudi Dar(nyumbani) baba hakufika kabisa nyumbani na baada ya muda tukasikia amepatiwa mke kanisani na hivyo anafunga nae ndoa ( hakuwa anashaurika tena na tuliona walakini kwenye mental health yake, hakuwa tena kama zamani).

Ndugu zake pamoja na mama walijitahidi kuweka mapingamizi kwenye makanisa ya Dar hivyo hawakuweza kufunga ndoa hapa dar ikawalazimu ndoa ifungwe Morogoro tena wazazi fake walisimama kwa upande wa baba yangu umma ukidanganywa baba yangu wazazi wake wamefariki ilhali wako hai. Aliporudi mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye biashara zake mambo yakabadilika alifukuza wafanyakazi wake wote mpaka ndugu zake wa damu na kuajiri watu kutoka Uwata, alikataa malipo kwa njia ya dollar kwa kusema kwamba ni ushetani, wateja walimkimbia na kumwita kichaa! 😭 pesa alizofanikiwa kupata tunasikia amewekeza kwenye vitegauchumi vya UWATA… alipokuwa akija nyumbani kutusalimia ilimbidi aende kanisani akaungame kwa maana amefanya dhambi( huko walimbatiza mama yangu jina dellilah na kwamba yeye ni mchawi!😢) hata ilipobidi ndugu kwenda kumuona ofisini kwake ni lazima hao watu wa uwata nao wawepo hapo ofisini kusikiliza 🤦🏿.

Hali yake kiuchumi imekuwa mbaya mno waliomjua zamani na sasa wanahuzunika. Alikuwa baba, kaka, mume na mtu bora sana nitawalaumu UWATA siku zote za maisha yangu kwa kuwakosesha malezi ya baba wadogo zangu kwa maana si mapenzi tuu hata huduma hapaswi kutoa kwa watoto waliozaliwa na delila!
Mkuu

Unapoanza kumtafuta Mungu WAKATI yupo nawe sikuzote hayo ndio matokeo yake!!

Jamii za kilokole zina matatizo fulani FULANI hivi!!

Yaani Imani zinapozidi akili matokeo yake ndio hayo!!

Ulokole na kumiliki fedha nyingi ni mbalibali labda uwe mlokolet wa mchongo lakini mlokolet halisi kabisa huwa ni maskini wanaoishi KWA muujiza na hela ya kula tu!ukiona mlokole ni tajiri kabisa yaani tajiri haswa ujue huo utajiri ni wa mchongo tu kuna jambo anafanya nyuma ya pazia!!!!

KWA KAWAIDA ukiwa tajiri halafu siyo mlokole ukajiunga na ulokole lazima tu ufilisike na kia wa KAWAIDA!!!

Wa kwenda deep watanielewa!!!
 
Vipi ikiwa wakakupa ' unabii ' kwamba mke wako ni mchawi ,hivyo wakakuambia umuache na uoe mke mwingine toka ndani ya jumuiya yao na ukafungia ndoa ktk kanisa lako.Kama ikiwa hivyo wao ndio wanakuwa wamekuachanisha na mkeo.
Huitaji unabii umjue mchawi,ni vile binadamu tupo mbali na Mungu,ukiwa mchawi ni mchawi tu na hamna kupakaza mafuta wachawi hawatoki sayari nyingine ni ndugu,jamaa,marafiki wake na waume,so kama ni mchawi si lazima uambiwe nuru na giza havichangamani either uwe nuru ama giza,
Kama mchawi anaweza kuua mume wake,mke wake,kumchukua msukule,kufunga mafanikio why? Ulembe uchawi ni uchawi tu hamna mafuta mengine,....!!!
 
Mnamo mwaka 2013 baba yangu alikutana na mchungaji mmoja huko Moshi na baba yangu akamueleza kiu yake ya kuwa karibu na Mungu kwani ujana wake hakuwa mtu wa kwenda kanisani. Mchungaji(jina limenitoka lakini ningemtaja) akamueleza habari za uwata na kwamba angemkutanisha na kiongozi wa dhehebu hilo, basi wakaanza kwenda wote faraghani na hata ilipofika wakati wa kurudi Dar(nyumbani) baba hakufika kabisa nyumbani na baada ya muda tukasikia amepatiwa mke kanisani na hivyo anafunga nae ndoa ( hakuwa anashaurika tena na tuliona walakini kwenye mental health yake, hakuwa tena kama zamani).

Ndugu zake pamoja na mama walijitahidi kuweka mapingamizi kwenye makanisa ya Dar hivyo hawakuweza kufunga ndoa hapa dar ikawalazimu ndoa ifungwe Morogoro tena wazazi fake walisimama kwa upande wa baba yangu umma ukidanganywa baba yangu wazazi wake wamefariki ilhali wako hai. Aliporudi mambo yalikuwa mabaya zaidi kwenye biashara zake mambo yakabadilika alifukuza wafanyakazi wake wote mpaka ndugu zake wa damu na kuajiri watu kutoka Uwata, alikataa malipo kwa njia ya dollar kwa kusema kwamba ni ushetani, wateja walimkimbia na kumwita kichaa! 😭 pesa alizofanikiwa kupata tunasikia amewekeza kwenye vitegauchumi vya UWATA… alipokuwa akija nyumbani kutusalimia ilimbidi aende kanisani akaungame kwa maana amefanya dhambi( huko walimbatiza mama yangu jina dellilah na kwamba yeye ni mchawi!😢) hata ilipobidi ndugu kwenda kumuona ofisini kwake ni lazima hao watu wa uwata nao wawepo hapo ofisini kusikiliza 🤦🏿.

Hali yake kiuchumi imekuwa mbaya mno waliomjua zamani na sasa wanahuzunika. Alikuwa baba, kaka, mume na mtu bora sana nitawalaumu UWATA siku zote za maisha yangu kwa kuwakosesha malezi ya baba wadogo zangu kwa maana si mapenzi tuu hata huduma hapaswi kutoa kwa watoto waliozaliwa na delila!
Mi nikishaanza kuona dini inahubiri habari za Mungu af ina ubaguzi basi tena hao sio watu mzee . Kuna madhehebu wanajionaga kama vile malaika hawakosei na wameshajudge kabisa kwamba kama wewe sio wa kwao basi ni wa shetani
 
Mkuu

Unapoanza kumtafuta Mungu WAKATI yupo nawe sikuzote hayo ndio matokeo yake!!

Jamii za kilokole zina matatizo fulani FULANI hivi!!

Yaani Imani zinapozidi akili matokeo yake ndio hayo!!

Ulokole na kumiliki fedha nyingi ni mbalibali labda uwe mlokolet wa mchongo lakini mlokolet halisi kabisa huwa ni maskini wanaoishi KWA muujiza na hela ya kula tu!ukiona mlokole ni tajiri kabisa yaani tajiri haswa ujue huo utajiri ni wa mchongo tu kuna jambo anafanya nyuma ya pazia!!!!

KWA KAWAIDA ukiwa tajiri halafu siyo mlokole ukajiunga na ulokole lazima tu ufilisike na kia wa KAWAIDA!!!

Wa kwenda deep watanielewa!!!
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mlokole.

Huwa namfuatilia sana Mwamposa yule jamaa ana akili sana, huduma yake haina ulokole wala dini, hawa ndio watu genius naweza kupoteza muda wangu kumsikiliza.

Mimi uzuri kanisa letu kina bar na kitimoto inauzwa hapo hapo, leo jumapili hata kama si muendaji kusali naweza kwenda kwenye club ya kanisa kula kitimoto na bia zangu mbili nasepa, yani tunakwenda mbinguni huku tunatabasamu na kuifurahia dunia, siyo dini za kutishiana moto, hakuna swala moto kwa Mungu.
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mlokole.

Huwa namfuatilia sana Mwamposa yule jamaa ana akili sana, huduma yake haina ulokole wala dini, hawa ndio watu genius naweza kupoteza muda wangu kumsikiliza.

Mimi uzuri kanisa letu kina bar na kitimoto inauzwa hapo hapo, leo jumapili hata kama si muendaji kusali naweza kwenda kwenye club ya kanisa kula kitimoto na bia zangu mbili nasepa, yani tunakwenda mbinguni huku tunatabasamu na kuifurahia dunia, siyo dini za kutishiana moto, hakuna swala moto kwa Mungu.
We jamaa unachekesha sana!!

YAANI watu wanajiona watakatifu kuliko Daudi,yakobo n.k

Hatari tupu AISEH!!
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa mlokole.

Huwa namfuatilia sana Mwamposa yule jamaa ana akili sana, huduma yake haina ulokole wala dini, hawa ndio watu genius naweza kupoteza muda wangu kumsikiliza.

Mimi uzuri kanisa letu kina bar na kitimoto inauzwa hapo hapo, leo jumapili hata kama si muendaji kusali naweza kwenda kwenye club ya kanisa kula kitimoto na bia zangu mbili nasepa, yani tunakwenda mbinguni huku tunatabasamu na kuifurahia dunia, siyo dini za kutishiana moto, hakuna swala moto kwa Mungu.
Jidanganye sana ,
Motoni kunakuhusu .
Labda kama mbinguni ni kuwa babaako utaenda,
Kwa mwamposa hamna Mungu,
Kule ni kupotezwa na kuchukua sadaka na hata mm sijawahi hata kufatikia sijui nabii yoyote yule ,zaid ya kanisa langu la kkt na upendo radio at least wanajitahidi tena kwa baadhi

Ila najua kabisa kuwa kkt akunifikishi mbinguni nisipo amua.

Pili kuna tofauti ya kuwa mlokole na kuwa mtakatifu,kuwa mlokole ni maigozo kwa watu waone,unaweza kuwa mlokole ukazini,ukalewa,ungonga mademu, kitambaa cheupe fresh na usiku unalog alafu jpili mlokole,kuna wachungaji wengi wanajiita walokole na kuzimu wanaenda,tafuta ule uzi"uliza swali lolote kuhusu freemasons"
Short nuru na giza zina principle zinazofanana ,ila reverse' ni kile kile kama huku
Zini-Uku usi
Lewa- Uku usi

Narudia utakatifu hautangazwi ni Matendo but ulokole ni matangazo na maonesho.
 
We jamaa unachekesha sana!!

YAANI watu wanajiona watakatifu kuliko Daudi,yakobo n.k

Hatari tupu AISEH!!
Hamna cha yakobo,sijui yohana sijui petro Mungu hana upendeleo kipini cha yakobo ndo kipimo chako ,

Kama ilivyo utajiri ulivyo si kwa ajiri ya kila mtu,hata mbinguni si kwa ajiri ya kila mtu.
Na ukiona umeshindwa kuwa mtakatifu kama wao ujue mbinguni si kwa ajiri amua tu kula zako bata,mademu,fanya mambo mengine usije ukasosa vyote
 
Ila UWATA kule wao kila mtu ni mchawi,niliwahi kwenda mara kadhaa nilipokuwa mdogo,mama yangu alikuwa anasali huko aisee kila ndugu yake,jirani aliambiwa ni mchawi,mama akatoa mpaka moja ya nyumba zetu zilizokuwa zinamuingizia pesa ili liwe kanisa,mwishoni alikuwa kama amechanganyikiwa ila Uwata hapana kwakweli. RIP mom
Uwata hamna anayemlazimisha mtu kutoa kea sababu hamna mmiliki,na hamna aliyeajiriwa na kulipwa mshahara labda kwenye taasisi zao, huko sijui kwasababu mm nimetoka kabda ya kuwepo taasisi ilikuwepo moja.
Kuhusu kutoa eneo,au jambo fulani ni kawaida hata shetani unatoa sadaka kwake,.....!! Y not Mungu.
 
Jidanganye sana ,
Motoni kunakuhusu .
Labda kama mbinguni ni kuwa babaako utaenda,
Kwa mwamposa hamna Mungu,
Kule ni kupotezwa na kuchukua sadaka na hata mm sijawahi hata kufatikia sijui nabii yoyote yule ,zaid ya kanisa langu la kkt na upendo radio at least wanajitahidi tena kwa baadhi

Ila najua kabisa kuwa kkt akunifikishi mbinguni nisipo amua.

Pili kuna tofauti ya kuwa mlokole na kuwa mtakatifu,kuwa mlokole ni maigozo kwa watu waone,unaweza kuwa mlokole ukazini,ukalewa,ungonga mademu, kitambaa cheupe fresh na usiku unalog alafu jpili mlokole,kuna wachungaji wengi wanajiita walokole na kuzimu wanaenda,tafuta ule uzi"uliza swali lolote kuhusu freemasons"
Short nuru na giza zina principle zinazofanana ,ila reverse' ni kile kile kama huku
Zini-Uku usi
Lewa- Uku usi

Narudia utakatifu hautangazwi ni Matendo but ulokole ni matangazo na maonesho.
Hakuna moto hizo ni swagger tu za watu wa dini kutisha watu.

Kungekuwa na moto kweli hao walioandika hii Biblia unayosoma wewe na kuamini wasingeongoza kwa ushenzi.

Dini ni mradi wa wajanja ulioratibiwa kwa umahiri wa hali ya juu.

Sasa angalia hii dunia wafia dini ndio maskini wa kutupwa, wakati wale unaowaona wewe ni wafuasi wa shetani ndio wenye mafanikio.
 
Hahmna mfia dini hapa?? Dini ipi na hela ni maarifa na kujituma
Mm csadiki dini yoyote na hela natafuta
Hakuna moto hizo ni swagger tu za watu wa dini kutosha watu.

Kungekuwa na moto kweli hao walioandika hii Biblia unayosoma wewe na kuamini wasingeongoza kwa ushenzi.

Dini ni mradi wa wajanja ulioratibiwa kwa umahiri wa hali ya juu.

Sasa angalia hii dunia wafia dini ndio maskini wa kutupwa, wakati wale unaowaona wewe ni wafuasi wa shetani ndio wenye mafanikio.
 
Huh ni uongo,uongo ni Dhambi na ikuukumu,
Mm si wauwata ila kutokana na kuishi nao na kusali mara chache utotoni nakili huu ni uongo,
Watu wa uwata hutakaa uwaone baa-tofaut na makanisa mengine
Hutakaa usikie sijui kaenda kea Mganga
Sijui kafumaniwa na mke wa mtu
Sijui anapigana,
Sijui anakula rushwa,
Sijui ANAZINI, amekutwa guest may be awe ameacha uwata .

Na niseme jambo ipo HV kama unahisi natania Mtu akaungane nao hata kwa upelelezi hata miezi kichache uone?
Na mwisho ukiingia uwata yakubidi uamue kweli maana huwezi kufanya dhambi na kesho ukarudi urudi ,utafukuzwa!
Labda nitolee mfano kuna yule memba anaitwa leftyie worldie aliandika uzi wake wa maswala ya freemason akitanabisha njian ya kunifata shetani ilivyo ngumu.na ya kujikana

The same na njia ya kumfata Mungu ni ngumu,
Simple ipo hivi yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba wake na anifuate,
Ukiona mtu anaiponda sana haijui na hajawai sali huko,
Yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba na anifuate,
Kwa hiyo, sheria walizo jiwekea uwata ni sheria zinazowaweka mbali na uovu,kumkiri yesu akutoshi kukufikisha Mbinguni,
Yakupaswa ujikane haswa siyo leo unamkiri yesu kesho ujaingia gest na mke wa Mtu.hapo unacheza na ndio makanisa mengi yapo hivyo kea uwata ni big no! Haiwezekani.
Na katika makanisa machache ambayo shetani ameshindwa kungulia ni Uwata,unajua y ni kuwa Wanasheria ngumu za kuacha dhambi.

Mfano china ,China Wanasheria ngumu za rushwa na madawa ndo mana ni ngumu kuingiza madawa huko tofauti na Colombia sisemi hayaingiii but ni ngumu.

Shule kama fedha,mazinde ,marian, n.k Wanasheria ngumu iwa mwanafunzi wapo strictly ili wamentain ufaulishaji,
Na the same tu uwata Wanasheria Ngumu ili wamentain kufika mbinguni.
Na hata siku moja huwezi enda uwata ukaambiwa pokea muujiza wagari ,sijui nyumba ,sijui mke uwo upuuzi hawana kule ni jambo moja tu utafundishwa kwenda mbinguni,
Na niongezee Yesu kusema amekuja kutenguwa torati bali kuitimiliza,
Biblia linasema "Neno la Mungu linasema,Bwana awajua walio wake na kila alitajae jina la Bwana na auache uovu" ndio Msingi wao so ukiwa na uovu huwezi kubaki uwata ,ukiwa eti sijui unazini leo kesho unarudi kanisani uwata si madhara pako,
Sijui unasengenya leo unarudi uwata utapasikia ,
#Ndomana wengi wameshindwa kuendana nao na wamebaki kuponda

Kuhusu uchawi upo ,na wachawi wapo na ni wengi ,ni jukumu la watu wa Mungu kupambana nao.na wengine ni ndugu jamaa na marafiki,ukiwa mchawi ni mchawi full stop,na wachawi wengine wanachangia hapa nawao waonekane wamechangia ,wachawi na watu wa Mungu ni maadui wa kudumu hadi mwisho wa dunia,hakuna mchawi atakaye support neno la Mungu ,na ukiona Mtu anapinga neno la Mungu ujue kama si agent wa kuzini basi mchawi.
. Kuhusu Tv ni uongo watu wa uwata si maskini na wanamaosha na Tv si kitu kwao,ukikuta mtu apendi may be ameamua kibinasfi kuwa hulu litanichelewesha kwenda Mbinguni,
Narudia sipo uwata Na Mungu ni shahidi ,ila nimesali kwao nawajua kwa kiasi ,ila si rahisi kusali kwao kama unadhambi,nawasilisha.

Na mwisho kama mtu kweli kweli ameamua kwenda Mbinguni ,namaanisha umeamua achana na hawa ambao wanataka waume na wake,sijui gari,na nyumba namaanisha walio amua uwata ni sehemu sahihi kwao
Hawajui hao hebu waeleweshe dunia ilivyo
 
Huh ni uongo,uongo ni Dhambi na ikuukumu,
Mm si wauwata ila kutokana na kuishi nao na kusali mara chache utotoni nakili huu ni uongo,
Watu wa uwata hutakaa uwaone baa-tofaut na makanisa mengine
Hutakaa usikie sijui kaenda kea Mganga
Sijui kafumaniwa na mke wa mtu
Sijui anapigana,
Sijui anakula rushwa,
Sijui ANAZINI, amekutwa guest may be awe ameacha uwata .

Na niseme jambo ipo HV kama unahisi natania Mtu akaungane nao hata kwa upelelezi hata miezi kichache uone?
Na mwisho ukiingia uwata yakubidi uamue kweli maana huwezi kufanya dhambi na kesho ukarudi urudi ,utafukuzwa!
Labda nitolee mfano kuna yule memba anaitwa leftyie worldie aliandika uzi wake wa maswala ya freemason akitanabisha njian ya kunifata shetani ilivyo ngumu.na ya kujikana

The same na njia ya kumfata Mungu ni ngumu,
Simple ipo hivi yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba wake na anifuate,
Ukiona mtu anaiponda sana haijui na hajawai sali huko,
Yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba na anifuate,
Kwa hiyo, sheria walizo jiwekea uwata ni sheria zinazowaweka mbali na uovu,kumkiri yesu akutoshi kukufikisha Mbinguni,
Yakupaswa ujikane haswa siyo leo unamkiri yesu kesho ujaingia gest na mke wa Mtu.hapo unacheza na ndio makanisa mengi yapo hivyo kea uwata ni big no! Haiwezekani.
Na katika makanisa machache ambayo shetani ameshindwa kungulia ni Uwata,unajua y ni kuwa Wanasheria ngumu za kuacha dhambi.

Mfano china ,China Wanasheria ngumu za rushwa na madawa ndo mana ni ngumu kuingiza madawa huko tofauti na Colombia sisemi hayaingiii but ni ngumu.

Shule kama fedha,mazinde ,marian, n.k Wanasheria ngumu iwa mwanafunzi wapo strictly ili wamentain ufaulishaji,
Na the same tu uwata Wanasheria Ngumu ili wamentain kufika mbinguni.
Na hata siku moja huwezi enda uwata ukaambiwa pokea muujiza wagari ,sijui nyumba ,sijui mke uwo upuuzi hawana kule ni jambo moja tu utafundishwa kwenda mbinguni,
Na niongezee Yesu kusema amekuja kutenguwa torati bali kuitimiliza,
Biblia linasema "Neno la Mungu linasema,Bwana awajua walio wake na kila alitajae jina la Bwana na auache uovu" ndio Msingi wao so ukiwa na uovu huwezi kubaki uwata ,ukiwa eti sijui unazini leo kesho unarudi kanisani uwata si madhara pako,
Sijui unasengenya leo unarudi uwata utapasikia ,
#Ndomana wengi wameshindwa kuendana nao na wamebaki kuponda

Kuhusu uchawi upo ,na wachawi wapo na ni wengi ,ni jukumu la watu wa Mungu kupambana nao.na wengine ni ndugu jamaa na marafiki,ukiwa mchawi ni mchawi full stop,na wachawi wengine wanachangia hapa nawao waonekane wamechangia ,wachawi na watu wa Mungu ni maadui wa kudumu hadi mwisho wa dunia,hakuna mchawi atakaye support neno la Mungu ,na ukiona Mtu anapinga neno la Mungu ujue kama si agent wa kuzini basi mchawi.
. Kuhusu Tv ni uongo watu wa uwata si maskini na wanamaosha na Tv si kitu kwao,ukikuta mtu apendi may be ameamua kibinasfi kuwa hulu litanichelewesha kwenda Mbinguni,
Narudia sipo uwata Na Mungu ni shahidi ,ila nimesali kwao nawajua kwa kiasi ,ila si rahisi kusali kwao kama unadhambi,nawasilisha.

Na mwisho kama mtu kweli kweli ameamua kwenda Mbinguni ,namaanisha umeamua achana na hawa ambao wanataka waume na wake,sijui gari,na nyumba namaanisha walio amua uwata ni sehemu sahihi kwao
Bro kwa kukusaidia sheria haijawah kumletea mtu wokovu chief. Ndio maana hakuna dhehebu litakufikisha mbinguni ila mwenendo wako katika Kristo. Huwez kusema sisi tumeamua kuacha kila kitu so tumeamua kuishi hiv ndio utakatifu. Bro hilo ni jambo jema lakin Mungu tunaemuabudu ni Roho so ataabudiwa katika Roho na kweli so wewe mwenyewe ndio wakushuhudia Roho yako. Vingine vyote ni hekima za kibinadamu tu. Unamkumbuka yule kijana tajir aliyemuuliza Yesu afanyeje ili afike mbinguni? Alishuhudia kabisa kuwa alikuwa anashika amri zote za Mungu tangu akiwa kijana mdogo. Lakin alipojaribiwa jambo dogo alichemka kumbe ana choyo ndani yake.
 
Bro kwa kukusaidia sheria haijawah kumletea mtu wokovu chief. Ndio maana hakuna dhehebu litakufikisha mbinguni ila mwenendo wako katika Kristo. Huwez kusema sisi tumeamua kuacha kila kitu so tumeamua kuishi hiv ndio utakatifu. Bro hilo ni jambo jema lakin Mungu tunaemuabudu ni Roho so ataabudiwa katika Roho na kweli so wewe mwenyewe ndio wakushuhudia Roho yako. Vingine vyote ni hekima za kibinadamu tu. Unamkumbuka yule kijana tajir aliyemuuliza Yesu afanyeje ili afike mbinguni? Alishuhudia kabisa kuwa alikuwa anashika amri zote za Mungu tangu akiwa kijana mdogo. Lakin alipojaribiwa jambo dogo alichemka kumbe ana choyo ndani yake.
Unamjua roho ?? Roho ni Mungu na Mungu ni Roho, awamaanishi roho tu?
Inamaana roho takatifu ya Mungu,nani kakwambia roho anachangamana na dhambi?
Hakuna swala la sheria wala nini usijidanye amua moja kula bata kama mwanangu sana leftyie worldie au amua kuwa mtakatifu na si mwanadini,
Usije Kukosa vyote bata hujala na mbinguni unaenda,
Achana na huu uuni wa likalabosika unafikir roho anakata kwa mchawi,mzinz,mla rushwa?
Unafikir roho wa Mungu anatangazwa hakuna kitu kigumu kama kuwa na roho wa Mungu hapa duniani,maana utaishi kama malika,
Maana yule kumtunza ni noma ni ngumu,na huwezi kumpata kizembe kumbuka shetani ni Roho,
Na Mungu na shetani ni washikaji,sehemu ambapo yupo Mungu shetani akosi,
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom