Huh ni uongo,uongo ni Dhambi na ikuukumu,
Mm si wauwata ila kutokana na kuishi nao na kusali mara chache utotoni nakili huu ni uongo,
Watu wa uwata hutakaa uwaone baa-tofaut na makanisa mengine
Hutakaa usikie sijui kaenda kea Mganga
Sijui kafumaniwa na mke wa mtu
Sijui anapigana,
Sijui anakula rushwa,
Sijui ANAZINI, amekutwa guest may be awe ameacha uwata .
Na niseme jambo ipo HV kama unahisi natania Mtu akaungane nao hata kwa upelelezi hata miezi kichache uone?
Na mwisho ukiingia uwata yakubidi uamue kweli maana huwezi kufanya dhambi na kesho ukarudi urudi ,utafukuzwa!
Labda nitolee mfano kuna yule memba anaitwa
leftyie worldie aliandika uzi wake wa maswala ya freemason akitanabisha njian ya kunifata shetani ilivyo ngumu.na ya kujikana
The same na njia ya kumfata Mungu ni ngumu,
Simple ipo hivi yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba wake na anifuate,
Ukiona mtu anaiponda sana haijui na hajawai sali huko,
Yesu alisema anayetaka kunifata ajitwike msalaba na anifuate,
Kwa hiyo, sheria walizo jiwekea uwata ni sheria zinazowaweka mbali na uovu,kumkiri yesu akutoshi kukufikisha Mbinguni,
Yakupaswa ujikane haswa siyo leo unamkiri yesu kesho ujaingia gest na mke wa Mtu.hapo unacheza na ndio makanisa mengi yapo hivyo kea uwata ni big no! Haiwezekani.
Na katika makanisa machache ambayo shetani ameshindwa kungulia ni Uwata,unajua y ni kuwa Wanasheria ngumu za kuacha dhambi.
Mfano china ,China Wanasheria ngumu za rushwa na madawa ndo mana ni ngumu kuingiza madawa huko tofauti na Colombia sisemi hayaingiii but ni ngumu.
Shule kama fedha,mazinde ,marian, n.k Wanasheria ngumu iwa mwanafunzi wapo strictly ili wamentain ufaulishaji,
Na the same tu uwata Wanasheria Ngumu ili wamentain kufika mbinguni.
Na hata siku moja huwezi enda uwata ukaambiwa pokea muujiza wagari ,sijui nyumba ,sijui mke uwo upuuzi hawana kule ni jambo moja tu utafundishwa kwenda mbinguni,
Na niongezee Yesu kusema amekuja kutenguwa torati bali kuitimiliza,
Biblia linasema "Neno la Mungu linasema,Bwana awajua walio wake na kila alitajae jina la Bwana na auache uovu" ndio Msingi wao so ukiwa na uovu huwezi kubaki uwata ,ukiwa eti sijui unazini leo kesho unarudi kanisani uwata si madhara pako,
Sijui unasengenya leo unarudi uwata utapasikia ,
#Ndomana wengi wameshindwa kuendana nao na wamebaki kuponda
Kuhusu uchawi upo ,na wachawi wapo na ni wengi ,ni jukumu la watu wa Mungu kupambana nao.na wengine ni ndugu jamaa na marafiki,ukiwa mchawi ni mchawi full stop,na wachawi wengine wanachangia hapa nawao waonekane wamechangia ,wachawi na watu wa Mungu ni maadui wa kudumu hadi mwisho wa dunia,hakuna mchawi atakaye support neno la Mungu ,na ukiona Mtu anapinga neno la Mungu ujue kama si agent wa kuzini basi mchawi.
. Kuhusu Tv ni uongo watu wa uwata si maskini na wanamaosha na Tv si kitu kwao,ukikuta mtu apendi may be ameamua kibinasfi kuwa hulu litanichelewesha kwenda Mbinguni,
Narudia sipo uwata Na Mungu ni shahidi ,ila nimesali kwao nawajua kwa kiasi ,ila si rahisi kusali kwao kama unadhambi,nawasilisha.
Na mwisho kama mtu kweli kweli ameamua kwenda Mbinguni ,namaanisha umeamua achana na hawa ambao wanataka waume na wake,sijui gari,na nyumba namaanisha walio amua uwata ni sehemu sahihi kwao.
amejikita sana huko mbeya it's like a cult,wanamiliki baadhi ya shule Ila nasikia wanamatatizo kwenye namna ya kutumia fedha zao za taasisi,pia huko unaweza pigwa hata fimbo,ki ujumla Ni mojawapo ya watu wanatakiwa kupigwa bani