Nawafahamu kwa Sehemu, kwa ninavyo wafahamu mengi uliyoongea ni chuki binafsi au chuki na kikundi chao,
Najua wanaumoja sana ila hawavunji ndoa ,kwasababu nawafahamu watu kadhaa wanaosali huko na wana ndoa na watu wa madhehebu mengine,
Kuhusu nguo ni chuki binafsi, wanavaa kiheshima sana kama waisilamu au masista sema hawavai uchungu tu, hawasuki kama wasabato,hawavai heleni na hawana mambo mengi na hata wanaume hawavai vbya,
Ni kikundi cha kilokole ndio na si kanisa
Mwisho
Inawezekana kabla ya huyo kufunga ndoa ndoa ilikuwa na shida, na mahusiano yenu ya familia yapo na shida pia