Hakika mkuu. Inabidi mje na kampuni ya kuwezesha hili nyie wenye Kamba ndefu.Ulaya, Marekani na nchi nyingi zilizoendelea watu wanamiliki gari mpya na nyumba nzuri kwasababu ya utaratibu huu mortgage/finance kununua cash gari mpya ni wachache sana wanaweza ndio maana tunaishia magari ya 2003 hadi leo tunashikana mashati!
Hii ni uthibitisho tosha kuwa Watu hatuiamini mifumo rasmi ya kusheria.Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??
Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.
Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
Kamba yangu fupi sana hata ingekuwa ndefu nisingeweza. Hizi ni taaluma za watu, banks na taasisi nyingine za fedha ndio zinafinance wauzaji kazi yao kuhakikisha magari au nyumba zinapatikana. Bado mifumo ya TZ haijakaa sawa watu kukopa na kuingia mitini ndio ujanja na namna ya kuwapata ni ngumu, bado tuko kwenye ujima.Hakika mkuu. Inabidi mje na kampuni ya kuwezesha hili nyie wenye Kamba ndefu.
Kuna kampuni inaitwa EFTA inakopesha mitambo, sijui kwanini haijafanya vizuuri Sana.
Piga taarifa tu Polisi, wezi wa mtandao.View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.
Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.
Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.
Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
kuna harufu kali ya utapeli inanukia hapaMkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??
Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.
Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
😛tena jamaa kashasema,,yeye anataka hela ya nauli ya ndege tu😛Unaenda kuliwa hela nyingine
Lakini Kuna tech za Hali ya juu za kuwezesha kumonitor gari popote lilipo hata likivuka border. Mimi nadhani ni useriousness kwenye kuwekeza. Kwa mfano kupina na kukopesha viwanja ni jambo jepesi mno kulifanya.Kamba yangu fupi sana hata ingekuwa ndefu nisingeweza. Hizi ni taaluma za watu, banks na taasisi nyingine za fedha ndio zinafinance wauzaji kazi yao kuhakikisha magari au nyumba zinapatikana. Bado mifumo ya TZ haijakaa sawa watu kukopa na kuingia mitini ndio ujanja na namna ya kuwapata ni ngumu, bado tuko kwenye ujima.
Inabidi jamaa aje atoe maelezo vizuri isiwe kua tunalaumu kua katapeliwa kumbe yeye ndio kazinguaNilikuwa na-chart na jamaa wa hiyo Kampuni,wamenijibu hivi kuhusiana na suala la muanzisha UziView attachment 2094807
Atakuwa NobodyMkuu wewe ni Jonh Wick?
Kupima na kukopesha viwanja wapo wengi ni rahisi ku-monitor. Magari yanahitaji watu waaminifu, hata ukijua liko wapi unaweza kuta mtu kashaliuza kadi kabadili utajua wewe kadi kapata wapi na nyinyi mnayo!Lakini Kuna tech za Hali ya juu za kuwezesha kumonitor gari popote lilipo hata likivuka border. Mimi nadhani ni useriousness kwenye kuwekeza. Kwa mfano kupina na kukopesha viwanja ni jambo jepesi mno kulifanya.
Tushare kwa wingi, ili kuepusha utapeli zaidiView attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.
Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.
Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.
Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
Unyama Sana mwaisa.Mkuu pole, nadhani ungetoa details kwamba uliagiza gari gani na lini, hiyo pesa ya awali uliwapa kwa njia gani?? Na mlisainishana wakati unawapa hiyo pesa?? Una nakala yako ya malipo??
Kuna wahuni kama hao mwaka jana June walimfanyia hivyo ndugu yangu, baada ya kumzungusha sana akanipa hiyo taarifa, nikamwambia nitumie tu tiketi ya Ndege nije Dar kutoka Dodoma akatuma, tuliwaibukia saa 4 asubuhi ofisini kwao, kuingia ofisini kwa Boss tu nilichomoa mkwaju, nikakoki nikapiga risasi moja chupa kubwa ya Maji ilikuwa mezani pembeni ya huyo jamaa Mkurugenzi.
Nikamwambia nakuua rudisha pesa ya huyu jamaa hapa, alihamisha pesa palepale kutoka kwenye CRDB yake Account kuja kwa jamaa ndani ya dakika 2, ofisini kulikuwa kuna AC lakini tulitoka pale jamaa shati lote limeloa jasho, wahuni na matapeli kama hao ni ku-deal nao kihuni tu
hao jamaa wana page yao original ambayo ina followers wengi na kuna hyo nyingine fake ambayo ina followers wachache.View attachment 2094407
Hawa jamaa wana ofisi zao Posta, wanadai wanaagiza magari unalipia nusu kisha gari ikifika unamalizia.
Binafsi nimeagiza gari miezi tisa kila nikipiga simu naambiwa boss hayupo, nikienda ofisini naambiwa boss katoka.
Nimewaandikia barua wamenijibu kwa kunipa masharti mapya ambayo kwenye mkataba wa awali haukuwepo mwishowe wananiambia niende popote.
Sasa mimi nitaenda huko popote na nitawaletea mrejesho kutoka huko popote. Sambazieni watu wasije wakapigwa hela, ni ngumu kwa sasa.
Pole sana mkuu,Usijichkulie sheria mkononi wala usijidhuru,kinachokuumiza hapo ni matarajio yako na kulinda heshima yako.Samahani mkuu eleza hapa anachotakiwa kufanya, sio mumvutie huko PM mkamning'inize tena, no offense.
Mimi habari zangu mtazisoma kwenye gazeti la jumatatu wiki ijayo maana nitakachofanya hakitakua siri. Mil 5 na laki 4 ni pesa nyingi sana kwangu. Si mnaelewa vile moto umetumika kuresolve mambo mengi recently ee.. basi moto utasolve na langu.
Mkisikia tu habari za kufanana na kariakoo, karume, mapipa, cask (Mwanza), soko la katoro, ukumbi wa bunge Afrika kusini, msijiulize mengi.