Hiyo 50m mimi naingia geita au chunya nakuwa na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda june hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ..kila siku nanunua dhahabu...end of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!
Kweli akili ni nywele!
Wewe hukuhama bhana bali ulitoroka tuu,..lolmungu anisamehe tu. mwenye nyumba ananodai milioni na laki tatu. nilihama sijamlipa na sina bado pesa. alafu mtu anasema unangojea tu return.
Haha kama unaweza fanya ujajani fanyaLabda kwa wazee mzee baba!
Hizo pesa za investment hii , utakuwa umetoa wapi labda ?Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Hiyo biashara ya nyumba zakupagisha ni biashara ya walio staafu na wajane, sio kwa kijana nwenye uwezo wa kuhaso inakua je niwekeze 100m kwa nyumba na kiwanja kila mwezi ni pate 500k. Wakati hata hiyo pesa nikiweka fixed deposite account benki ntapata 12% ya Liba au faida kila mwaka.Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Aise..mm hapana kuna biashara zimepitwa na wakati..hii imo!Haha kama unaweza fanya ujajani fanya
Unaweza fanya uzeeni ukashindwa
Ova
Exactly....hii ni retirement plan.Hiyo biashara ya nyumba zakupagisha ni biashara ya walio staafu na wajane, sio kwa kijana nwenye uwezo wa kuhaso inakua je niwekeze 100m kwa nyumba na kiwanja kila mwezi ni pate 500k. Wakati hata hiyo pesa nikiweka fixed deposite account benki ntapata 12% ya Liba au faida kila mwaka.
Kama ni kijana tafuta biashara ingine pambana kupitia hio biashara utajenga hizo nyumba kama retirement plan yako.Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Hivi kwani ww rrondo ni mzee?Nimefurahi kusoma michango ya vijana, naona sasa tunaelewana.
Sio kupitwa na wakati tu , ni biashara ambayo wanao ifanya hawako wazi kabisa na pesa wanazotumia ku fund hizo projects .Aise..mm hapana kuna biashara zimepitwa na wakati..hii imo!
Nishavuka ujana ila sijaufikia uzee.Hivi kwani ww rrondo ni mzee?
Karibu....Nishavuka ujana ila sijaufikia uzee.
Uzuri waujenzi hii milioni 50 unaikusanya taratibu, ukipata milioni 3 unanunua matofali. Huwezi kwenda Chunya na milioni tatu.Hiyo 50m mimi naingia geita au chunya nakuwa na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda june hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ..kila siku nanunua dhahabu...end of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!
Kweli akili ni nywele!
Mimi naiona hii iko sawa na ina usalama zaidiAise..mm hapana kuna biashara zimepitwa na wakati..hii imo!
Nikaribie wapi? Im way older than you. Nafikiria kustaafu now na mipango yangu ni kama hii ya mleta mada, ila sio kijana damu changa uchukue 200m ukazifukie chini usubiri 500,000 kwa mwezi.Karibu....