Uwekezaji nyumba za kupanga

Uwekezaji nyumba za kupanga

Hiyo 50m mimi naingia geita au chunya nakuwa na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda june hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ..kila siku nanunua dhahabu...end of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!
Kweli akili ni nywele!

Watu wamekariri nyumba ,
50 mil huwezi kuiweka kwenye project ambayo itakufanya usubiri returns kwa miaka 20 plus ,
 
Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Hizo pesa za investment hii , utakuwa umetoa wapi labda ?
Umekopa?
Za urithi?
Za deal
Pensions?

Option rahisi naona kujenga nyumba za staili hii ni kama una pesa za urithi au za deal, lakini ikitumia mikopo ya benki hutoboi ,
 
Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Hiyo biashara ya nyumba zakupagisha ni biashara ya walio staafu na wajane, sio kwa kijana nwenye uwezo wa kuhaso inakua je niwekeze 100m kwa nyumba na kiwanja kila mwezi ni pate 500k. Wakati hata hiyo pesa nikiweka fixed deposite account benki ntapata 12% ya Liba au faida kila mwaka.
 
Hiyo biashara ya nyumba zakupagisha ni biashara ya walio staafu na wajane, sio kwa kijana nwenye uwezo wa kuhaso inakua je niwekeze 100m kwa nyumba na kiwanja kila mwezi ni pate 500k. Wakati hata hiyo pesa nikiweka fixed deposite account benki ntapata 12% ya Liba au faida kila mwaka.
Exactly....hii ni retirement plan.
 
Léo nawaibia kidogo kuhusu uwekezaji kwenye nyumba Za kupangisha hii ní biashara nzuri sana ambayo utaishi bila kuwa na mashaka yoyote yale katika mzunguko wako kipesa na família
Iko hivi mfano unaenda dodoma unapata kiwanja sqm 1000 cha bei 20m ambacho Utaweza kujenga unit 4 ambazo moja ya vyumba 3 ambayo bajeti fanya 50m alafu ya vyumba 2 hii weka bajeti 35m alafu Za vyumba kimoja fanya mbili kwa 50m hapo mradi Umekamilik a unaanza kusubiri return
Kama ni kijana tafuta biashara ingine pambana kupitia hio biashara utajenga hizo nyumba kama retirement plan yako.
 
pole mtoa mada, lazima upate maneno ya kejeli toka kwa watu ambao hawana hata kiwanja...

sasa fanya hivi!

jenga apartments, achana na nyumba kubwa za familia, jenga chumba,sebule,choo na jiko with balcony iwe na executive finishing then weka hadi samani humo ndani za kisasa,,,,,fanya kukodishia kwa mtindo wa kisasa wa appartments,...utaniambia baadae, NB sebule chini an chumba chuu ie kigorofa
 
Hii biashara ni muhimu kuangalia soko la walengwa.
1. Nyumba karibu na chuo Kikuu, weka chumba chenye kitanda, meza y kusomea, jiko na choo laki moja kwa mwezi.

2. Watumishi wa umma, vyumba viwili-vitatu vya kulala. Sebule, jiko, choo na bafu.

3. integemeaq na eneo la kiwanja. Lakini kupangisha mashirika kwaajili ya maboss wao wanapenda nyumba nzima yenye master bedroom.
 
Nyumba ni asseti nzuri mno, na ukibahatika kupata place nzuri ukala kodi 500000 mpaka 1000000 per month umeula!
 
Aise..mm hapana kuna biashara zimepitwa na wakati..hii imo!
Sio kupitwa na wakati tu , ni biashara ambayo wanao ifanya hawako wazi kabisa na pesa wanazotumia ku fund hizo projects .

Ukiangalia gharama halisi za kufanya hizo projects, unaona kabisa sio viable kwa kila mtu
 
Hiyo 50m mimi naingia geita au chunya nakuwa na jiko kabisa..nakusanya dhahabu naenda june hii mvua imekata mashimo yanaishia maji uhakika wa kupata mzigo mwingi ni mkubwa kbs ..kila siku nanunua dhahabu...end of of month nna faida sio chini ya 15m tukitoa na kodi!
Kweli akili ni nywele!
Uzuri waujenzi hii milioni 50 unaikusanya taratibu, ukipata milioni 3 unanunua matofali. Huwezi kwenda Chunya na milioni tatu.
 
Back
Top Bottom