Kenya wanabaridi huko Daslam na Kibaha ni joto kwa kwenda mbele.Ni kweli Ila kuna nyumba fulani naona zinajengwa sana Kenya kuna namna bati zinawekwa kwa nyumba za biashara inasaidia sana kwenye kupunguza gharama ingawa nahisi na zenyewe itakua zinasumbua hapo kwenye joto😅😅