Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Ujanja ni kupangisha Vibachelor kama MANESI,MADAKTARI,WATU WANAOFANYA KAZI ZA KUSAFIRI SAFIRI .HAWA HAWAKAI SANA NYUMBANI.SO UHARIBIFU UNAPUNGUA.CHUKUA HIYO!!!
 
Mkuu huo ni uwekezaji mkubwa sana dunia nzima.
Na ni biashara ambayo ina vihatarishi vidogo sana (very low risk).
Halafu ni biashara inayolipa unapata kitu kinaitwa passive income
Achana na watu wanaotegemea miujiza ya Mwamposa.Hawana kitu wanajuaπŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±
 
Hawezi kuelewa huyo hao ndio wale wanaosema kujenga nyumba ya kuishi ni kupoteza pesa Sasa jiulize yeye anaishi porini hao ndio wanajikuata wamezeekea kwenye upangaji na mfukoni hamna hata mia watoto wanaanza kumuita mchawi anawatishia laana
Achana na hawa wafuasi wa motivational speakers,they are empty headed.Financial literacy iongezwe kwenye mtaala na ijitegemee kama somo.Hii nchi ujinga ni mwingiπŸ˜„
 
Hii business ya Airbnb inashika kasi sana kwa sasa bongo....! Sema inahitaji eneo strategic ambalo linafikika kirahisi
Ndo mjifunze kununua maeneo yaliyopimwa.mpate njia na mitaa inayoeleweka iliyonyooka.


Unakuta mtu anahela na kashusha mjengo wa maana ila kajenga kwenye squatters huko😬😬😬😬
 
mkuu Spread this kama hutojali naona kuna vitu umeongea ila umetunyima minyamanyamaπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Wanakusini hawana hela.Njia ya kibaha inamnyororo wa thamani pia na bagamoyo nayo ni muundelezo wa tegeta na bunju.Huko ukipeleka hela huwezi jutia.
Yeah, na hiyo bagamoyo kuanzia gari za Arusha na Tanga zianze kupita kule basi ndio imezidi kuwa ghari, mapinga zamani ilikua viwanja bei chee ila sasa hivi sidhani kama hata viwanja venyewe vipo paleπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Weka hoja mezani
 
Watoto wanasoma St.Likud au EMS.Maana it seems unamshahara mkubwa kidogo banduguπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 

Yule mwamba wa ile TRA yenyewe akiku-beep usiache pia kutuletea mrejesho
 
Yeah, yaani kibaha imefungana na mbezi for now... Huoni zamani watu walikua wanachukua viwanja kibamba na kiluvya ila kuna watu walidharau kwakuona mbali, ila check now tuko hapa tunaijadili kibahaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Bora viwanja vya kibaha ila ile miinuko ya kibamba,Bonyokwa,Maramba mawili na Kinyerezi siwezi kutoa hata mia mbovu kununua kiwanja maeneo hayoπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…