Uwekezaji wa vyumba vya kupanga, mrejesho wa uwekezaji

Yeah mkuu, uko sahihi, mahesabu ya kwenye makaratasi na reality on ground yaweza kuwa tofauti. Lakini yote kwa yote, ni uwekezaji mzuri wa long term.
 
Hiyo biashara inalipa ila inahitaji uwe na michongo mingine watu wanashindwa kuwekeza hapo sababu yakutaka faida ya haraka binafsi nipo kwenye utekelezaji wa kuwekeza kwa style hiyo japo inabidi niwe mpole make ni mikoani ila itanilea
 
Hongera mkuu. Milioni 76 kujenga units 8 ni matumizi mazuri ya pesa naona ulitumia gharama ndogo za ujenzi ni kila unit 9,500,000 ambapo ni chumba, sebule na choo. Very fair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…