realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Sijaelewa hapaAlafubule za mwanaume.
Pesa ya nini wewe mwana me tulizana uolewe mume akuoe pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa hapaAlafubule za mwanaume.
Pesa ya nini wewe mwana me tulizana uolewe mume akuoe pesa
Sawa lakini ujue nyumba ina resale valueTZS 1,200,000 kwa nwezi, kwa mwaka ni TZS 14,400,000 na hii ni iwapo wapangaji watakuwepo kwa miezi yote 12, hapo ujaweka gharama za ukarabati.
Kama gharama za ujenzi ni 80,000,000 itachukua kama miaka 5 na nusi kurudisha hiyo pesa (gharama za ukarabati hazijawekwa na miaka yote hiyo kuwepo na wapangaji na kodi ibakie 150,000)
Basi tulia hapo ulipo nakuja kukupa helaSijaelewa hapa
Naomba ramani yko mkuu. Hili nkipata pesa nijenge kama ww mkuuWakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.
Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.
Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.
Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.
Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
View attachment 3241776View attachment 3241777
Ukarabati ni kitu muhimu kwenye majengo.Endelea kusave akiba kutokana na mapato ya kodi. usiache kufanya ukarabati mdogo mdogo na kuzifanya zizidi kuonekana mpya na kuongeza bei ya kodi kila mwaka
Wee ndio unachelewesha mambo fanya fasta nataka kiwanja cha sqm 1000 kwenda juu.Wew Chelewa tu
Zingatia sana kuweka akiba kabla hujatumia hela. Wengi huwa wanaweka akiba baada ya kutumia mshahara wake kwa mfano. Mimi niliweka utaratibu ambao mshahara unapoingia, zaidi ya nusu inakatwa na kupelekwa kwenye fixed account ambayo sina access nayo hata iweje. Save kadri ya uwezo wako, baada ya muda utapata kiasi ambacho unaweza fanya kitu.Nimeanza safari na mimi ya kutafuta hayo mamilioni nifanye uwekezaji 😜 vitu gani nizingatie
Karibu sana mkuu!Haya ndomambo tunayoyataka sio kila siku watu wanamotivatiana ngono tu,big up mkuu kuna la kujifunza hapa
Asante mkuu. Ukarabati muhimu sana, ili nyumba zisichoke. Nazi manage kwa karibu sana, hivyo nitakua nafanya ukarabati kila mwaka, na kupandisha pia kodi kila mwaka (ndio maana nimeanza na hiyo 150K).Endelea kusave akiba kutokana na mapato ya kodi. usiache kufanya ukarabati mdogo mdogo na kuzifanya zizidi kuonekana mpya na kuongeza bei ya kodi kila mwaka
Eneo lifikike kwa gari hata kama ni mbali, liwe karibu na rami au utoke kabisa rami ufike, lisiwe uswahilini na vichochoroni, liwe nje ya mji kidogo sio katikati kwenye joto kali na makelele.Hii business ya Airbnb inashika kasi sana kwa sasa bongo....! Sema inahitaji eneo strategic ambalo linafikika kirahisi
Mkuu naomba kuulza mfumo wa mashimo ya choo umetumia huu wa kisasa wanaosema unapoteza maji au ule tuliouzoea wa shimo kubwa na dogo?Wakuu mko vizuri?
Kuna kipindi nilileta thread humu ya kujaribu kupata ideas ya namna ya kuiwekeza shs milioni 64 niliyokua nimei save, kwenye link hii hapa.
Nimekuja hapa kuleta mrejesho wa namna nilivyotumia ile pesa.
Ule mzigo wote niliuchimbia kwenye ujenzi wa vyumba vya kupanga wakuu. Vyumba hivi nimejenga maeneo ya Kibaha hapo (karibu na Miembe 7), na nimejenga kwa style ya chumba chenye choo ndani (self-contained) + sebule yake. Nimejenga jumla ya units 8 (zikiwa zimeunganika).
Maeneo hayo niliyojenga uhitaji wa makazi ni mkubwa sana.
Nimezijenga katika style ya unit nne nne (majengo mawili, kila moja unit nne). Jumla ya gharama nimetumia sio chini ya shilingi milioni 76 kukamilisha kila kitu hapo (hii ni kabla ya kuweka fence).
Tangia wakati nanyanyua boma, watu wengi sana walikua wanaulizia kila mara. Sasa hivi nimemaliza, nimeweka na fence pia (ujenzi wa fence unaendelea-bado mageti).
Tayari nimeanza kula kodi wakuu, hadi sasa unit zote 8 zimeshaingia wapangaji, nimeanza kula kodi kuanzia mwezi huu wa pili.
Napangisha kwa gharama ya 150,000 kwa mwezi kwa kila unit.
Nawashukuru wote ambao mlinipa ideas na mawazo mbalimbali wakuu. Mbarikiwe sana!
Nimeweka picha chache hapa chini kwa uelewa zaidi.
View attachment 3241776View attachment 3241777
Mwambie kuwa asile kodi yote lazima atenge fungu la ukarabati wa nyumba kadri muda unavyokwenda!Within 5 yrs, utakuwa umeshasahau. Mtaji wako utakuwa umesharudi
Eeeh zaidi ya nusu unasave sasa hapo sii inabidi uwe na mshara wa kama million 10 hivi.Zingatia sana kuweka akiba kabla hujatumia hela. Wengi huwa wanaweka akiba baada ya kutumia mshahara wake kwa mfano. Mimi niliweka utaratibu ambao mshahara unapoingia, zaidi ya nusu inakatwa na kupelekwa kwenye fixed account ambayo sina access nayo hata iweje. Save kadri ya uwezo wako, baada ya muda utapata kiasi ambacho unaweza fanya kitu.
Dar mzee,africanaUpo Dodoma town au Dar mkuu?