Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mwenye akili timamu kabisa na mwenye uwezo wa kuchunguza mambo na kufikiri vizuri, hawezi kufuata ukristo au uislamu.Inaweza ikawa jambo zuri sana kila mtu akafata anachokiamini....maana hata ukiachana na dini Bado Kuna vitu vingi vinatutawala kifikra na kurudisha nyum maendeleo ya mwanadamu
Huko sahihi sana....ila waache waamini hicho wanachokiamini na wewe amini unachokiamini kiongoziMtu mwenye akili timamu kabisa na mwenye uwezo wa kuchunguza mambo na kufikiri vizuri, hawezi kufuata ukristo au uislamu.
Labda aende kule kama kichaka cha kufichia maovu yake, kujipatia pesa kwa waumini au kwa mambo yake binafsi.
Mtu mwenye akili timamu kabisa pia hawezi acha kusali, labda aache ili iwe njia ya kuhalalisha maovu yake.Mtu mwenye akili timamu kabisa na mwenye uwezo wa kuchunguza mambo na kufikiri vizuri, hawezi kufuata ukristo au uislamu.
Labda aende kule kama kichaka cha kufichia maovu yake, kujipatia pesa kwa waumini au kwa mambo yake binafsi.
Thibitisha mbiguDini haimpeleki mtu Mbinguni
Hata Ungekuwa wewe kwanini usicheke,watu na akili zao wanaenda Maka kuabudu na KUBUSU jiwe JEUSI Kimondo,hata mbeya hapo kipoHata ingekua wewe ungevumilia usicheke huku unaona watu wamenunua mifuko miwili ya cement alafu wametengeneza sanamu kwa mikono yao na wanaliomba toba na baraka ungevumilia kweli?View attachment 3262384
Huyo anawacheka wakatoliki ,muulize hiki nini 👇👇hahaha ngoja waje
INACHEKESHA SANA ,wengine Hawa hapa👇👇Hahahahahaaa
Hivi kati ya waislam na wakristo wapi wenye chuki na wenzao? wanaowaita wenzao majina mabaya kama kafiri ni nani?, hivi ukristo umeruhusu kuua kama uislamu ulivyo eti kwa ajili ya alah?
Uislamu ni ugaidiWanapoleta hizi hoja hutaka tuonekane wote sawa ila ukweli wanaujua, leo hii kwenye utandawazi huu na elimu na ugunduzi wote huu bado Kuna dini inawakata watu vichwa na kuchinja chinja kisa hawaamini katika uzombi wao.
wewe unavuta skanka!!!1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe muislamu kwanini uwachukie binadamu wenzako kwa sababu eti sio waislamu?
Kwanini usimchukie Mungu ambae yeye ndio ameruhusu kuwe na dini mbalimbali duniani?
Waiter hebu lete wine tunywe tufurahi wachana na hawa watu wa dini ni wazimu ndio unawasumbua
Haya ni wapi umeona mchawi ameuwawa kwenye ukristo?, Mwaka 2013 kwenye mauwaji yaliyofanywa na Alshabab Westgate kenya, waliuawa ni wale walioshindwa kutaja jina la mama yake Mohamed, maana yake wakristo waliuawa hiyo chuki utaiona wapi kwenye ukristo? kwenye ukristo hakuna kuuawana ukiamua kuanzisha kanisa lako anzisha una uhuru huo, tofauti na uislamuDini zote zinaruhusu baadhi ya watu kuuwawa,
Uislam unasema atayeuwa kwa makusudi naye auwawe,
Ukristo unasema mchawi auwawe,
Iyo ni mifano tu kwa uchache.
Kikubwa ni kuheshimiana na kuvumiliana sisi sote ni ndugu kiasili na Mungu ni mmoja!
waislamu wanajiona wao dini yao ni ya Mungu kuliko za wengine...dini ya mwenyaaaaaaaaaaaaaaaazi MunguHivi kati ya waislam na wakristo wapi wenye chuki na wenzao?
Hapa tunafahamishana tu mkuu,usiwe na hisia kali sana katika mijadala kama hii lakini fikiria kidogo.Haya ni wapi umeona mchawi ameuwawa kwenye ukristo?, Mwaka 2013 kwenye mauwaji yaliyofanywa na Alshabab Westgate kenya, waliuawa ni wale walioshindwa kutaja jina la mama yake Mohamed, maana yake wakristo waliuawa hiyo chuki utaiona wapi kwenye ukristo? kwenye ukristo hakuna kuuawana ukiamua kuanzisha kanisa lako anzisha una uhuru huo, tofauti na uislamu
Ibrahim na mitume wengine walikuwa waislam.Mungu Hana Dini. (Achaneni na uongo wa Mudi)
Dini ni identify ya watu wanaomuabudu mungu au miungu kwa taratibu au kanuni Fulani.
Kwani Ibrahim, Isack na Yakobo walikuwa Dini gani?