JUA ni Kali Sana
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 1,202
- 1,543
Muda ukifika mbingu utazionaThibitisha mbigu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ukifika mbingu utazionaThibitisha mbigu
Hapo mmedanganywa ni uongo yesu ni jamaa kama wewe tuYesu ni Njia
Acha kumsingizia Mungu Kuna dini zimeanzishwa na watu na Wala sio Mungu1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe muislamu kwanini uwachukie binadamu wenzako kwa sababu eti sio waislamu?
Kwanini usimchukie Mungu ambae yeye ndio ameruhusu kuwe na dini mbalimbali duniani?
Waiter hebu lete wine tunywe tufurahi wachana na hawa watu wa dini ni wazimu ndio unawasumbua
Ulioandika kablaIpi hiyo ninayoijua?
Sawa.Ulioandika kabla
Mungu yupoUkishaelewa huyo Mungu hayupo na hizi dini ni vyama vya siasa vya zamani sana vilivyoundwa na watu tu, maswali yote haya yanaondoka.
Mungu gani?Mungu yupo
Hizi dini 2 kama Simba na yanga. Cha ajabu kuna maefu ya dini lakini hawahangaiki na dini nyingine.mtu kumtoa kwenye kitabu ni kazi kweli kweli
tangu akiwa mtoto mdogo kamezeshwa bibilia na Quran tena kwa viboko
unafikiri huyo mtu atakuwajje,yaani mpaka anakuwa mtu mzima hataki kuwaza nje ya kitabu
Yeye na bibilia
Yeye na Quran
wanashindwa kuelewa wapo na Wahindu Budha Pagan nao no watu
Yaani ni uchizi kweli kweli