Ukristo haujatoa ruhusa ya mtu kuuwawa jamaa, wapi hiyo ipo kwenye kitabu?Dini zote zinaruhusu baadhi ya watu kuuwawa,
Uislam unasema atayeuwa kwa makusudi naye auwawe,
Ukristo unasema mchawi auwawe,
Iyo ni mifano tu kwa uchache.
Kikubwa ni kuheshimiana na kuvumiliana sisi sote ni ndugu kiasili na Mungu ni mmoja!
Hapo sasa ndiyo patamuMungu Hana Dini. (Achaneni na uongo wa Mudi)
Dini ni identify ya watu wanaomuabudu mungu au miungu kwa taratibu au kanuni Fulani.
Kwani Ibrahim, Isack na Yakobo walikuwa Dini gani?
Ndo nini
Ukishaelewa huyo Mungu hayupo na hizi dini ni vyama vya siasa vya zamani sana vilivyoundwa na watu tu, maswali yote haya yanaondoka.1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe muislamu kwanini uwachukie binadamu wenzako kwa sababu eti sio waislamu?
Kwanini usimchukie Mungu ambae yeye ndio ameruhusu kuwe na dini mbalimbali duniani?
Waiter hebu lete wine tunywe tufurahi wachana na hawa watu wa dini ni wazimu ndio unawasumbua
DINI NI KILEVI CHA WATU, UKISHALEWA KINACHOTOKEA UNAJUA1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe muislamu kwanini uwachukie binadamu wenzako kwa sababu eti sio waislamu?
Kwanini usimchukie Mungu ambae yeye ndio ameruhusu kuwe na dini mbalimbali duniani?
Waiter hebu lete wine tunywe tufurahi wachana na hawa watu wa dini ni wazimu ndio unawasumbua
Jambo la ubaguzi halikuwa jema kwa wanaobaguliwa lkn kwa wanao bagua Ni Jena Tena Sana.Aisee wingi wa supporters unawezaje kudhihirisha uzuri wa kile kinachofuatwa? Miaka ya zamani kulikuwa na ubaguzi afrika kusini na vitabu vilieleza miongozo ya jinsi ya kubagua wengine. Na weupe wengi waliwabagua weusi, hii haikufanya jambo la ubaguzi liwe jema hata kama Sheria iliruhusu. Mtindo fulani wa maisha siyo mzuri sababu una wafuasi wengi. Mimi naweza kuanzisha jambo jema nikakosa wafuasi ila uzuri wa jambo lenyewe utabaki pale pale
Aisee wingi wa supporters unawezaje kudhihirisha uzuri wa kile kinachofuatwa? Miaka ya zamani kulikuwa na ubaguzi afrika kusini na vitabu vilieleza miongozo ya jinsi ya kubagua wengine. Na weupe wengi waliwabagua weusi, hii haikufanya jambo la ubaguzi liwe jema hata kama Sheria iliruhusu. Mtindo fulani wa maisha siyo mzuri sababu una wafuasi wengi. Mimi naweza kuanzisha jambo jema nikakosa wafuasi ila uzuri wa jambo lenyewe utabaki pale pale
Mbinguni iko wapi?Dini haimpeleki mtu Mbinguni
Hiyohiyo maana unayoijua ndiyo nmeikusudiaKusali?
Kwa maana ipi? Neno kusali lina tafsiri nyingi, hata tahajudi(meditation)wengine wanaita ni kusali.
Hata kwa wazungu mizimu ipo hata kwa waafrika watakatifu wapoBabu zetu waliokufa tunawaita mizimu halafu wazungu waliokufa wanaitwa watakatifu.
Mungu ni mwanaume.Hivi Mungu ni wa kike au kiume? Na kama ni wa kiume basi wanawake nao wadai Mungu wao.
Dini zote zinafanana mafundisho zimebase kwenye utu, utakatifu,haki, upendoKila dini ina Mungu wenye tabia tofauti ila shetani wa dini zote ni mmoja mwenye tabia zinazofanana kwa dini zote. Wake yo ass up homie , gademit.
Je wanaosali hawafanyi uovu??Unamaanisha ambao hawasali hawana akili?
1. Unasema una mpenda na kumtii Mungu ambae hujawahi kumuona na wala hahitaji chochote kutoka kwako.
Ila
2. Unamchukia mwanadamu asie wa dini yako lakini ameumbwa na Mungu huyo huyo unae muabudu wewe.
Wewe mkristu kwanini uwachukie binadamu wenzako eti kisa sio wa kristu kama wewe?
Wewe muislamu kwanini uwachukie binadamu wenzako kwa sababu eti sio waislamu?
Kwanini usimchukie Mungu ambae yeye ndio ameruhusu kuwe na dini mbalimbali duniani?
Waiter hebu lete wine tunywe tufurahi w
achana na hawa watu wa dini ni
Mtu mwenye akili za sawasawa akifikiria vizuri atagundua, lazima kuna anayeendesha mambo hv vitu havijatokea tokea tu lazima kuna lengo la ivo vitykuwepo, na atajaribu kumtafuta uyo ulofanya ivo vitu viwepoMtu mwenye akili timamu kabisa na mwenye uwezo wa kuchunguza mambo na kufikiri vizuri, hawezi kufuata ukristo au uislamu.
Labda aende kule kama kichaka cha kufichia maovu yake, kujipatia pesa kwa waumini au kwa mambo yake binafsi.
Kwani kumtafuta huyo unaesema amefanya vitu viwepo ni lazima uwe mkristo au muislamu?Mtu mwenye akili za sawasawa akifikiria vizuri atagundua, lazima kuna anayeendesha mambo hv vitu havijatokea tokea tu lazima kuna lengo la ivo vitykuwepo, na atajaribu kumtafuta uyo ulofanya ivo vitu viwepo
Ipi hiyo ninayoijua?Hiyohiyo maana unayoijua ndiyo nmeikusudia
Ukifika mda sahihi utapajuaMbinguni iko wapi?
Yesu ni NjiaWakristo wanaamini tiketi ya kukupeleka ni kumkiri kristo kuwa bwana na mwokozi hayo mengine ni baadae kwanza.