Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kauli ya kiimani ambayo haina uthibitisho, haina mantiki wala haina ushahidi.Kuna kitu kidogo tu bado huja kielewa vyote ulivyo sema ni sawa, mungu ninae mzungumzia hapa yupo juu ya kila kitu hadi unacho kifikiria hasaivi
hilo haliwezekani mkuu, kwanza miungu ipo mingi mtoto hawezi kujua tu ni mpaka aelekezwe na wakubwaHata ambae hana dini kuna vitu ni vya kimaumbile zaidi.
Mungu ni nini?Nnachoamini Mimi,
Hakuna kiumbe asiyeamini Hakuna Mungu, Bali kila kiumbe kina Mungu wake kinaemuamini, wengine mnaita "miungu"
Tatizo linakuja pale mnapotaka kutuaminisha kwamba Mungu wenu wa kwenye biblia na qurani kua ndio Mungu sahii.
Hao wengine mmewabatiza majina mabaya mabaya TU Kama majini,mizimu,miungu, misukule,frimasoni,mapepo n.k
Mungu yupo na ndiye anayetupa pumzi na uwezo wa kuziishi kesho zetu..Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.
Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa mungu.
Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.
Ni ingie kwenye point
Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.
Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.
Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.
Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.
Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, si mchoyo wa kuwafunulia watu wajue uwepo wake.Kama mungu angekuwepo basi Hata huu Uzi usingekuwepo kabisa
Labda utuambie nani amesha tengeneza mbingu yake na kama hakuna basi ujewe kitu ambacho anakifanya mungu binadamu hakiwezi,Tupe uzibitisho Kwamba hivi vitu vimeumbwa na mungu,
Mbona haendelei na huumbaji?
Nawa suburiKuna watu watakuja kukupinga ety😂
Qur'an pekee ndo haina mapungufuNi ajabu Sana kuendelea kuamini vitabu vilipitwa na maarifa.
Sayansi kila siku wanaendelea kufanya tafiti Zaidi, na Ku update taarifa mbalimbali.
Vitabu vya Dini vinamapungufu mengi mpaka unajiuliza huyu mungu, mbona hana Masri sahihi
Kuna siku mambo ya kiroho yalisibitika kisayansi?Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari,jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.
Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji juwa aneumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.
Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.
Ni hivi.
Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.
Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.
Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.
Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari,jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.
Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji juwa aneumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.
Hili tatizo la kiakili, Sasa hapa umejengwa hoja gani, juu ya kutokuwepo kwa Mungu au nukta ipi inaonyesha ya kuwa Mungu hayupo, wakati vyote vimeumbwa na aliyeumba hajaumbwa ? Mbona mnajenga hoja kitoto na kubitimisha kirahisi pasi na kujadili hoja ?Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.
Vimeumbwa na hakuna kinyume chake, mpaka uje uthibitishe ya kuwa aidha havijaumbwa( yaani vimejiumba) au vimetokea pasi na chochote na viwili hivi ni muhali.Ni hivi.
Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.
Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.
Hapa kwenye lazima awe ameumbwa unatakiwa utupe sababu walau tano zinazo onyesha ya kuwa Muumba lazima awe ameumbwa.Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.
Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Wewe tuambie au tuonyeshe ulazima wa Mungu kuumbwa.Mbona Ujajiuliza uyo Mungu wako alitokea vipi Kama nae Hakuna aliemuumba[emoji848]
Labda kama unazungumzia energy, Je energy ni mungu.?
Kila siku huwa nawaambia nyinyi kwanza mlitakiwa mjifunze maana ya haya maneno. Nani alikwambia Imani haithibitishiki ?Hiyo ni kauli ya kiimani ambayo haina uthibitisho, haina mantiki wala haina ushahidi.
Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa.