Hivi kweli,ni haki mpaka wa leo akili zetu zitawaliwe na utapeli wa watu kama sisi,wanaotaka tuiname wapite?Bila kujali uko sahihi au siyo sahihi, ila nimependa umejenga hoja zimenyooka
Kila siku wanadai muombeni,unaumwa lakini unaenda hospitali,wengine wanakata pumzi. Matatizo kibao,mara kwa waganga,kesho kanisani. Tena mara mia utapeliwe na mganga unayeona anajifanya anaongea na wakubwa.
Kila unaemuuliza Mungu ni nini? Anakujibu muumba. Kaumba lini? Jibu hamna. Niaminije? Eti we si umezaliwa ukakuta wanaamini?
Kwa hiyo,Mungu ni kufata mkumbo tu basi. Hawa hawa wanaojifanya wanamjua Mungu,wanakuja kwetu huku,ukinunuliwa bodaboda tu za 1500, unatoa ngombe eti fungu la 10 mijama inaenda kuuza na kupiga hela.