Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Ukitaka kupambana pambana na kubwa la maadui
Kiranga huyu Mwamba ndo mpingaji mkuu wa hoja za Mungu,sasa katika kusoma kwa kutulia nimegundua yafatayo kuhusu yeye
1.Ni mtu anayemjua Mungu vizuri na ameamua kupotosha na coat baadhi ya maneno yake
"Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule."
Kaanza na neno kiukweli ,linatosha kuonesha huyu Mwamba Mungu anamjua vyema
2. Ni mtu ambaye dishi limeyumba na ana mafadhaiko sana kwenye hii dunia

"Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa."
3.Ni Muabudu shetani
"Hakuna mtu aliyetatua mikanganyiko ya kimantiki inayojitokeza katika hoja na dhana za kuwepo Mungu, kama vile "the problem of evil", kwa nini Mungu hajioneshi kwa uwazi usio na utata wowote kwa wote, freewill's"

4.Ni mtu mwenye elimu uchwara asiye elimika ,hapo tunaona ana coat vi theories vya kumwelezea Mungu KWA kutumia sayansi

5.ana tatizo la kisaikolojia
" "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe."
Sasa hiyo tu inatosha kukueleza kuhusu huyu mtu yote yanaweza kuwa majibu au Moja Kati ya hayo,
Ila huyu ndugu yetu anaitaji msaada wa haraka ,unaweza kuta siku Moja akabwia madawa akafa maana nahisi dishi halipo sawa
 
😂😂😂

Kiranga wewe unajulikana jf nzima kuwa wewe ni Atheist.

Hivyo lazima ukane uwepo wa Mungu vikali mno.

Ila kitu ambacho nimeonaga mimi ni kwamba "wanao sema Mungu yupo wanapata ugumu mno kuthibitisha hilo ( hoja ni chache na hazina mashiko sana maana ni za kufikirika tu), na wanao sema Mungu hayupo wana hoja zina sound angalau kuliko wanaosema yupo"
Mkuu,

Asante sana kwa kunijulisha hili.

Liko wazi sana lakini wengi wanajibaraguza kutoliona.

HIstoria ya hapa JF imeonesha kuwa kadiri muda unavyokwenda, mwanga wa ujuzi unamulika ujinga wa imani na kutupa ukweli unaothibitishika vizuri zaidi kimantiki.

Mimi ni mshika mwenge tu, miongoni mwa wachache wasiochoka wa miaka ya zamani.

Kuna kizazi cha kuhoji kinakuja, watu wa imani wakishindwa kujibu maswali ya Kiranga, watakuwa na kazi kubwa sana kujibu maswali ya kizazi kipya.

Ninachoweza kusaidia zaidi jamii ni kunyumbulisha na kutafsiri haya mambo kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.

Nimegundua mambo mengi hayaeleweki kwa sababu ya lugha tu.
 
Ukitaka kupambana pambana na kubwa la maadui
Kiranga huyu Mwamba ndo mpingaji mkuu wa hoja za Mungu,sasa katika kusoma kwa kutulia nimegundua yafatayo kuhusu yeye
1.Ni mtu anayemjua Mungu vizuri na ameamua kupotosha na coat baadhi ya maneno yake
"Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule."
Kaanza na neno kiukweli ,linatosha kuonesha huyu Mwamba Mungu anamjua vyema
2. Ni mtu ambaye dishi limeyumba na ana mafadhaiko sana kwenye hii dunia

"Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa."
3.Ni Muabudu shetani
"Hakuna mtu aliyetatua mikanganyiko ya kimantiki inayojitokeza katika hoja na dhana za kuwepo Mungu, kama vile "the problem of evil", kwa nini Mungu hajioneshi kwa uwazi usio na utata wowote kwa wote, freewill's"

4.Ni mtu mwenye elimu uchwara asiye elimika ,hapo tunaona ana coat vi theories vya kumwelezea Mungu KWA kutumia sayansi

5.ana tatizo la kisaikolojia
" "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe."
Sasa hiyo tu inatosha kukueleza kuhusu huyu mtu yote yanaweza kuwa majibu au Moja Kati ya hayo,
Ila huyu ndugu yetu anaitaji msaada wa haraka ,unaweza kuta siku Moja akabwia madawa akafa maana nahisi dishi halipo sawa
Hii post nzima ni logical fallacy ya ad hominem attack.

Ad hominem attack ni kuacha kujadiki hoja, na kumshambukia mtka hoja.

Ulichoandika hapo juu, 1,2,3,4,5 kote unamshambulia Kiranga, badala ya kuchambua hoja alizotoa Kiranga.

Yani, badala ya ku address hoja zilizoandikwa na Kiranga, umeamua kumshambulia Kiranga personally.

Hili linaonesha huna hoja, unataka kuzima hoja kwa kumshambulia mtoa hoja.

Ad hominem attack, logical fallacy.
 
Ukitaka kupambana pambana na kubwa la maadui
Kiranga huyu Mwamba ndo mpingaji mkuu wa hoja za Mungu,sasa katika kusoma kwa kutulia nimegundua yafatayo kuhusu yeye
1.Ni mtu anayemjua Mungu vizuri na ameamua kupotosha na coat baadhi ya maneno yake
"Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule."
Kaanza na neno kiukweli ,linatosha kuonesha huyu Mwamba Mungu anamjua vyema
2. Ni mtu ambaye dishi limeyumba na ana mafadhaiko sana kwenye hii dunia

"Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa."
3.Ni Muabudu shetani
"Hakuna mtu aliyetatua mikanganyiko ya kimantiki inayojitokeza katika hoja na dhana za kuwepo Mungu, kama vile "the problem of evil", kwa nini Mungu hajioneshi kwa uwazi usio na utata wowote kwa wote, freewill's"

4.Ni mtu mwenye elimu uchwara asiye elimika ,hapo tunaona ana coat vi theories vya kumwelezea Mungu KWA kutumia sayansi

5.ana tatizo la kisaikolojia
" "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe."
Sasa hiyo tu inatosha kukueleza kuhusu huyu mtu yote yanaweza kuwa majibu au Moja Kati ya hayo,
Ila huyu ndugu yetu anaitaji msaada wa haraka ,unaweza kuta siku Moja akabwia madawa akafa maana nahisi dishi halipo sawa
Kukulipizia,

Kwanza jifunze tofauti ya "coat" na "quote" kabla ya kujibizana nami.

Ukianza kuandika "coat" kwa kumaanisha "quote", unanipa signals kwamba you are semi literate, at best.
 
Halafu kwa akili hizi kweli usiseme Mungu hayupo ? Hili muhali kwenu.

Jifunze kwanza maana ya neno Mungu ili ukitoa mifano upatie katika hiyo mifano.

Mungu ni Muumba, kwahiyo wewe Kimba ulilokunya ndio limekuumba wewe ? Sasa huu si uhayawani.

Wewe umejuaje kama Kimba lako juu ya kila kitu na umelinya wewe mwenyewe ? Aisee Kuna uchizi wa sampuli nyingi ila wa kwako umechupa mipaka. Yaani kwa ujinga wako unashindwa kuona ya kuwa Kimba ulilo linya limetoka kwako maana yake wewe ndio umeamua ulinye halafu liwe juu ya kila kitu ?

Nimecheka sana. Ila kila siku nawaambia katika kutoa mifano mlifeli tangu zamani, yaani hamuwezi kabisa.
Sema mkuu huwa unalazimishaga mambo mtu alishakupeleka ignore list na hakujibu mara nyingi tu.

Ila wewe kulazimisha, acha hizo bana mtu kashakataa kuongea na wewe basi.
 
Enyi waamini mnijibu haya machache.

1. Ikiwa Mungu huyo mnayemsoma na kumuamini kwenye vitabu vyenu vitakatifu anasema alimuumba Adam na Hawa, watu hawa wawili walikuwa na rangi ipi ya ngozi na kilikuja kubadilika kipi leo hii tukawa na varieties za human races?

2. Mnatuaminisha Mungu ni mkamilifu na aliumba kwa Ukamilifu viumbe wake. Hawa Viwete, Mabubu, Viziwi, Vipofu wao waliumbwa na nani na hiyo dhana ya ukamilifu inakamilikaje ikiwa kuna upungufu wa dhahiri unaonekana?

3. Ikiwa Aliumba kwa kutamka na ikawa, tafsiri yake ni kuwa kila kitu kilikamilika kwa muda mmoja kikakaa mstarini kwa muda huo mmoja na ikadumu hivyo. Ni kipi kinachofanya upande mmoja wa dunia uwe ni asubuhi wakati kwingine ni usiku!?

Nijibuni hayo kwa kuanzia halafu nitakuja na mengine.
 
Hii post nzima ni logical fallacy ya ad hominem attack.

Ad hominem attack ni kuacha kujadiki hoja, na kumshambukia mtka hoja.

Ulichoandika hapo juu, 1,2,3,4,5 kote unamshambulia Kiranga, badala ya kuchambua hoja alizotoa Kiranga.

Yani, badala ya ku address hoja zilizoandikwa na Kiranga, umeamua kumshambulia Kiranga personally.

Hili linaonesha huna hoja, unataka kuzima hoja kwa kumshambulia mtoa hoja.

Ad hominem attack, logical fallac

1. Energy ni nini?

2. Kwa nini unasema kwa nini ni dhana ya mtazamo binafsi? Umeshawahi kutoka nje ya mtazamo binafsi ili kujua nini kipo ndani ya mtazano binafsi na nini kipo nje ya mtazamo binafsi?

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wite hayupo kwa sababu anakanushwa na the problem of evil.

3. Hujathibitisha Mungu yupo, hutakiwi kusema evil ni kiumne cha Mungu. Thibitisha Mungu yupo kwanza kablabya kusema evil ni kiumne cha Mungu. Na ikiwa evil ni kiumbe cha Mungu, imekuwaje Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe evil katika ulimwengu ambao angeweza kutoumba evil?

4. Unaweza kuthibitisha roho ipo? Usizungumzie roho kabla ya kuweza kuthibitisha roho ipo.
Huyu mtu anakuja mulemule hivi ni haki unataka kumjadili Mungu ambaye ni very complex spiritual staff,wakati hujui hata maana ya energy,
Okay kukusaidia
Energy (nishati ) ni Kani ya Mungu ya ufanyaji kazi katika ulimwengu wa mwili,ambayo sayansi finyu imeshindwa kueleza mwanzo ,chanzo na asili yake,hivyo ikampa ushindi Mungu Kwa kutengeneza principle ,inaitwa principle of conservation of energy ,ndio principle kuu ya ulimwengu na ndio hapo tofauti ya uungu na sayansi ilipo
Katika ulimwengu wa roho ipo na inaitwa "roho mtakatifu" walokole wanaifahamu sana japo mm SI mlokole ni mcha Mungu
2 Neno kwanini ni dhana ya mkanganyiko wa akili na siyo tu mtazamo,mfano
"Kwanini kila siku Mimi tu mke wangu ,ananijibu vibaya."
Lakini Kuna mtu pia mke wake anamjibu vibaya ukimuuliza anasema "sasa kama kaamua kujibu mm nijafanye,'
Hapo Kuna dhana mbili ya kwanza Kuna anayeona kujibuwa vibaya ni tatizo Ili kutafsir tatizo katumia Neno kwanini lakini Kuna anayeona kujibiwa vibaya ni maamuzi na haki ya mtu.
Anyway turudi kwanini Yako umeitengeneza wewe ila Haina mantiki maana kwanini Yako imebeba umimi, haiko general ipo kiselfish sana, kwanini afanye hivi lakini hujiulizi vilevile kwanini asifanye hivi
3.Thibitisha evil problems ni zipi maana hakuna evil ni real sense ,Ivo ni dhana ya kiimani kama Mungu alivyo wa kiimani,
Kama unaamini evil basi automatic unaamini Mungu

B.kuhusu utendaji kazi (how God is operate) ni jambo binafsi la Mungu ,kuwa ameumba evil au ameumba chochote kile ameamua ni kama wewe uchukue udongo mfinyanzi utengeneza gari au nyumba ya udongo,hivyo mode ya operation haihusiani ni uwepo,hapo juu nimekupa mfano wa William luto ,simjui hukuuelewa
Hapangiwi na wewe why umpangie ,mfano sisi tuje kwko tukupangie namba ya kuongoza nchi wakati wewe ni rais na katiba imekupa mamlaka no one to ask why?
4.Sayansi unayoiamini imethibitisha uwepo wa roho
Kupitia
A. Meditation
B.astral body projections na zipo nyuzi nyingi humu kuelezea .
Additional questions??🥳🥱
 
 
Kuna jambo limenisukuma sana kuandika huu Uzi.

Mambo ambayo yanaendelea kuhusu uwepo wa Mungu.

Kuna baadhi ya watu wa amini hakuna mungu nk.

Ni ingie kwenye point.

Uwepo wa mungu una dhihirika kwa alama zake na viumbe vyake.

Hebu tutafakari kama hakuna mungu nani alieumba bahari, jua, mbingu, binadamu, wanyama hivi vitu vimetokea vipi kama hakuna alieviimba.

Leo hii hata ukimchukuwa mtoto mdogo wa miaka mitatu ukamuuliza nani kaumba mbingu atakujibu mungu.

Vipi mtu mzima mwenye akili timamu unashindwa kutambua hilo.

Yapo mambo mengi sana yana thibitisha uwepo wa mungu naweza kesha kuelezea kiufupi, Tufahamu mungu yupo na yeye ndo ametuumba sisi ili tumuabudu yeye tu.
MM si AMINI KAMA MUNGU YUPO
 
Sisi ni watu. Kwa mujibu wa sayansi hatujaumbwa na Mungu.

Kwa zaidi, soma vitabu vya sayansi, mimi sitaki kujitoa kwenye hoja ya msingi kwamba Mungu hayupo, na hakuumba ulimwengu. Hiyo ndiyo hoja yangu.

Kuhusu tumetoka wapi, hilo ni somo refu sana ambalo mimi mwenyewe bado nasoma.

Unaweza kujua jibu fulani si sahihi, kabla ya kujua jibu sahihi ni lipi.

Ninachosema ni kwamba, jibu la Mungu si sahihi, tuliondoe, tufanye elimination, tuangalie kwingine.

Naweza kujua mwanamme mwenye miaka 30 leo hawezi kuwa na mama mzazi mwenye umri wa miezi 6 leo, bila hata ya kumjua mama mzazi wa huyo mwanamme ni nani.

Mimi ninachosema ni kwamba, mama mzazi wa huyu mwanamme mwenye miaka 30 si huyu binyi mwenye umri wa miezi 6 leo. Sijasema najua mama mzazi wa huyu mwanamme ni nani.

Ninachosema ni kwamba Mungu hayupo na ulimwengu haujaumbwa na Mungu, sijasema najua ulimwengu umeanzaje.

Naweza kujua jibu fulani si sahihi, kabla hata sijajua jibu sahihi ni lipi.

Tumeelewananhapo?
Twende hivihivi tutaelewana tu
 

Contradictions and Inconsistencies in the Qur’an​

June 20, 2018
Syed Kamran Mirza
Secular Islam

Share
Tweet
Presented is an excerpt from Syed Kamran Mirza’s “Quranic Erroneous Science and Contradictions”
With some samples of Quranic contradictions and erroneous science has been prepared to rebut wishful Islamists who are claiming science in Quran. Qur’an has numerous scientific flaws, historical, ethical, and logical contradictions, though Mullahs and many western educated Islamists always claim that Quran is infallible and immutable words of God. To disprove their dishonest and deceitful claim—I have compiled some Quranic contradictions and serious scientific flaws in this essay by using authentic Quranic verses and Sahi hadiths, hence categorically proved that Qur’an was man made book.

A. Some Cosmological Flaws: (Scientific contradictions)​

(1) God created the Heaven first or, the Earth first (?)
Which one was created first? As you will see in the verses below, Allah at one time says that Earth was created first and another time He says that the Heaven was created first.

Now, does it match modern science? Do you believe that, Earth was created first, and after that, God created Heaven? Does modern science tell us that?

Numerical Contradictions​

There are many numerical contradictions in the Quran. God cannot make an error in doing simple calculations.
How many days did it take to create the Heavens and the Earth?

The above verses clearly state that Allah ( God) created the heavens and the Earth in 6 days. But the verses below stated

Now do the math: 2 (for earth) + 4 (for nourishment) + 2 (for heavens) = 8 days; and not 6 days.
You can see similar mistakes in the verses: Quran-4:11, 4:12, and 4: 176 in inheritance law. In these verses one can see the total property after adding all distributed parts adds up more than the available property, i.e., the totals become more than 1 which are: 1.125 and 1.25. How come? A gross mathematical error, is it not? Allah’s Days Equal to 1000 Years or 50,000 Years?

So, which one is it? Is the day of Allah equal to 1,000 earth years or 50,000 earth years? Creation of the Heavens and the Earth Which one was created first? As you will see in the verses below, Allah at one time says that Earth was created first and another time he says that the Heavens were created first.

Now, does it match modern science? Do you believe that, Earth was created first, and after that, God created Heaven? Does modern science tell us that? Or that there are SEVEN firmaments (layers)? Modern science tells us that, actually there is no such thing as a firmament or any roof over us, it is only a space with no known boundary at all. These verses simply reinforce the ancient idea of a ROOF over us which is called the SKY! How funny!

Sunset and Sunrise​

The Quran teaches us that the Sun sets in a muddy spring:

There are serious scientific errors here. Firstly, it is a scientifically accepted fact that the Sun never goes down into a muddy spring. Secondly, this seems to presuppose a FLAT Earth, otherwise how can there be an extreme point in the West or in the East? A sunrise there would be basically just the same as at any other place on this earth, at land or sea. It would still look as if it is setting “far away.” It does say, that he reached THE PLACE where the Sun sets and in his second journey THE PLACE where it rises.

A Resting Place for the Sun?​


Allah is indeed a great scientist. Where are the Sun and the moon situated? Can anybody tell me how they could collide/meet/overtake each other? Are the Sun and moon neighbors to each other? I have the answer for this error: Ancient Allah saw (through observations with the naked eye) the Sun and moon traveling from east to west seemingly in the same part of the sky and on the same path. Yet they did not collide and continued to cause day and night, etc. Allah could hardly imagine that all these phenomena are simply due to Earth’s rotation and NOT by the Sun’s rotation.
The Sun is stationary for Earth, because the Earth is stuck in the Sun’s Gravity, just as we are stuck in the Earth’ gravity. Allah never says anywhere in the whole Quran that the earth rotates. Perhaps Allah could not feel Earth’s rotation.

A Resting Place for the Sun Was Confirmed By Hadiths​

Sahih Bukhari Hadiths:

Can anybody tell me what it is? It was the superstitious belief of ancient people reflected in the Quran and Hadiths by Allah. A 10-year-old boy would not tell such a fairy-tale today.

Why Allah created Stars​

Quran gives us further scientific knowledge by telling us that the stars were created by Allah as missiles to throw at the devils:

Thus, the stars are nothing but missiles to throw at devils so that they may not eavesdrop on the heavenly council. Once again we find how Allah was high on his superstitious weirdness.

Sky/Heaven is Nothing but A ROOF or Canopy over the Earth​


Modern science tells us- the Earth is entirely surrounded by space and there is no boundary even if we go billions of trillions of miles in any direction. The question is: If there is no sky above us then how in the world does the question of pillars come in? Do we really have a roof above us? Is there a canopy (Shamiaa’na) above the earth? In most Bengali translations of the Quran all Maulanas write: Allah akashke samiaana bannei-ese.
The Quran claims Allah gives rain from above! Ordinary People consider Allah as residing in the sky above the earth. But in cosmological science there is no up or down, that is, earth revolves and there is no fixed above or below for the earth. Every direction in outer space can be up or down. Are mountains there to prevent the earth from shaking? Give me a break!

Allah considered the sky as a roof over the earth which will break/be shattered during Doomsday​


Yousuf Ali comments in his Tafsir: The beautiful blue sky overhead (which we take for granted in sunshine) will be shattered to pieces. Modern science tells us that there is no such thing as a roof, sky or any canopy over the earth, rather all around the Earth is limitless space. Only Allah knows what will break/get shattered or will get soft/flimsy or how doors will open – there are no walls, so where will doors come from? In some Ayats Allah threatened kafirs by saying: “I (Allah) will throw broken pieces of sky over your head.”

Sun and Moon Rotates​


Ayats mentioned above could be found over and over again and again in almost every page of the Quran. This is because Allah, standing in the open Arab desert, saw very well that every morning the SUN was rising from the east and gradually (at the appointed time) setting to the west, and as a result, day and night follow. Allah actually shared this misconception (the Sun moving) of pre-historic people. Every time Allah speaks of the Sun & Moon, he referred to Day & Night, as if it is due to the Sun’s movement that day and night follows.
But surprisingly, all the hypocritical Mullahs give false credit to Allah by saying: Look, the Quran described the Sun’s movement 1400 years ago, which modern science only found out now. In the real world, the Sun takes 225 million years to make just one complete circle through the galaxy. And obviously this movement of the Sun has nothing to do with DAY & NIGHT of the earth. Actually, the Sun is stationary for the earth in a real sense, because the Earth is stuck in the giant gravitational force of the Sun. The Earth also moves along with the Sun wherever it goes, just the way that we are stuck to the Earth’s gravitational force and do not feel Earth’s movement at all. Why then, was Allah referring to the Sun’s movement again and again? I have already mentioned above, why Allah was mistaken about the Sun’s movements. Now dishonest Mullahs are claiming that this is science here. I wonder why Allah has to mention about the Sun’s 225 million year journey to tell about day and night? What does the Sun’s movement have to do with the day and night?

Earth is Spread Out Like a Carpet​


Here in this Verse, Allah Challenges People: Who Can Tell Whether the Conceived is Male or Female?
Quran-31:34: Verily the knowledge of the Hour is With God (alone). It is He Who sends down rain, and He who knows what is in the wombs of mothers….
Who does not believe the fact that, actually mankind can predict very accurately (99.5%) when rain will fall and can predict (99.8%) the sex of the child inside a mother’s womb? Scientists also predict that, in the next five years weather predictions will be successfully correct almost 100%. Perhaps Allah could not imagine this.

B. Some Embryological contradictions/errors

Man is Created From Clotted blood?
Quran-23:14: Then fashioned We the drop (semen) a CLOT OF CONGEALED BLOOD then fashioned We the clot a little lump (fetus), fashioned We the little lump into bones, then clothed the bones with flesh, and then produced it another creation. So blessed be Allah, the Best of Creators.
(Bengali translations of the Quran read: “Zamaa’t Raokto theeke Manoosh banieesi” And this Ayat has been repeated again and again throughout the Quran)
Quran-75:38: Then he becomes a CLOT; then (Allah) shaped and fashioned…
Quran-96:2: Created man, out of a mere clot of congealed blood
There are serious scientific problems here:
A blood clot can not grow into anything. This idea came from the Greeks. Aristotle erroneously believed that humans are originated from the action of male semen upon female menstrual blood, which is absolutely an incorrect assumption. The Quran’s assertion on the clot (alaqa) is completely wrong about human development, since there is absolutely no stage during which the embryo consists of a clot. The only situation in which an embryo might appear like a clot is during a miscarriage, in which case the clotted blood which is seen to emerge (much of which comes from the mother) is solidified and by definition no longer alive. Therefore, if ever an embryo appeared to look like a clot it would never develop any further into a human; it would be a dead mass of bloody miscarriage.
Since Prophet Muhammad (pbuh) had some thirteen wives it is entirely possible that he would be very familiar with miscarriages. Modern science tells us that the formation of human embryo is a seamless continuation from conception to birth, hence there are no hard-and-fast boundaries of stages as the Quran described. The Quran described 4 stages which matches exactly with Galenic description of the development of the human embryo (which was proved wrong by modern science).
Creation of bones and clothing of bones with flesh: According to modern embryologists including Prof. Moore of Canada, the tissue from which bone originates, known as mesoderm, is the same tissue as that from which muscle (flesh) develops. Thus bone and muscles begin to develop simultaneously, rather than sequentially (as the Quran tells us). Moreover, most of the muscle tissue that we human have is laid down before birth, but bones continue to develop and calcify (strengthen with calcium) right into one’s teenage years. So it would be more accurate if the Quran had said that muscles started to develop at the same time as bones, but completed their development earlier.
The idea that bones are clothed with flesh is not only scientifically completely wrong/false, but was directly copied from the ancient Greek doctor Galen’s hypothesis. Also, the idea of saying: “made into bones and clothed the bones with muscle” came from the technique of making animal statues (Moorthy) out of rod and cement or mud. People usually make the skeleton (out of rod or stick) first and, then cover it up with cement or mud. This is scarcely a scientific description of embryonic development. It is rather a description of a layman.

E. Self-contradictory Quranic verses

Which one is correct:
Quran-2:256: There is no Compulsion in religion….
OR

Very often apologetics claim that, Islam is a religion of peace and there is no compulsion. Yet, punishment of an apostate in Islam is, of course, the death penalty.

In Many Ayats Allah Claimed That, He Has Given the Quran in Easy and Clear Language​


No matter which translation of the Quran we read, the Quranic materials remain the same to us and every sentence is self-explanatory. It does not take a rocket scientist to comprehend the message Allah wanted to transmit for Arabs. Yet, bigoted Mullahs will always blame translators for Quranic contradictions/errors/inconsistencies etc. and will try to find lame excuses to cover up Allah’s ignorance.
Comments: The Holy Quran is full of inaccuracies, contradictions, inconsistencies, redundancies, a lack of chronologies or chapters, grammatical errors etc. One can find hundreds of contradictions/errors/inconsistencies in the Holy Quran and the above mentioned ayats are just selected samples from the Quran. But still it is a miracle to those who are blindfolded bigots. “The mind of a bigot is like the pupil of the eye; the more light you pour upon it, the more it will contract.”- Oliver Wendell Holmes
Special note: Quranic ayats were taken from Maulana A. Yousuf Ali’s English translations of Holy Quran. Maulan Yousuf Ali’s translations are internationally accepted as authentic & unbiased. Some of the recent Quranic translation has biased interpretations and word changing (pick & choose) to match with the utopia of science in Quran. Readers may be informed that, the Quranic translation by Maulana A. Yousuf Ali is considered most reliable & Authentic by most Islamic Scholars throughout the world. Hadiths were taken from Bukhari Sharif (Sahih).

Syed Kamran Mirza was born in a Muslim family of Bangladesh. After having Ph.D. in Biological science he worked as a teacher in the University in Bangladesh for a period of 12 years, now lives in USA. He is the author of the book, “Roots of Islamic Terrorism” published in 2004. And also authored more than 200 articles scrutinizing in various aspects of Islam, some of which have been published in the reputed journals. He can be reached at Mirza.syed@gmail.com
The full collection of inconsistencies and contradictions written by Syed Kamran Mirza can be found here



Secular Islam
Hawana tofauti na punda kuongea kwenye biblia, malaika wa mungu kuua kambi nzima, kushushia watu wake chakula.

Hawa wameenda mbali zaidi nyota ni kwa ajili ya kuwarushia maadui hizi hekaya huwa zinafurahisha sana
 
Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari, jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.

Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji kuwa ameumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.

Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.

Ni hivi.

Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.

Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.

Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.

Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Ujue kiranga naweza kukupa task ambayo ubongo wako ukashindwa hata kuimagine,Vuta picha kama universe is empty ingawa ukisema universe nayo ni something can you imagine emptyness? text za bigbang theory Hii theory ni ukifikiri wa hali ya juu sana ipitie pitie utapata source Universal mind,then GOD
 
Hii post nzima ni logical fallacy ya ad hominem attack.

Ad hominem attack ni kuacha kujadiki hoja, na kumshambukia mtka hoja.

Ulichoandika hapo juu, 1,2,3,4,5 kote unamshambulia Kiranga, badala ya kuchambua hoja alizotoa Kiranga.

Yani, badala ya ku address hoja zilizoandikwa na Kiranga, umeamua kumshambulia Kiranga personally.

Hili linaonesha huna hoja, unataka kuzima hoja kwa kumshambulia mtoa hoja.

Ad hominem attack, logical fallacy.
Hapana unapogundua unabishana na mtu mwenye tatizo,siyo mbaya ukamjuza utamsaidia kimatibabu
1.hoja namba Moja ni kweli kwasababu nime quotes maneno Yako,na wewe ni muumini mzuri tu unayejitoa ufahamu,inahitaji jicho la tatu kukuelewa vizuri
2.hoja namba mbili kuyafananisha kinyesi na mungu,ni kutokuwa sawa kichwani inamaana huijui maana ya Mungu hata kwenye kamusi huru,
Labda nikupe maana ya kinyesi
"Ni mabaki ya chakula Baada ya kuondolewa virutubisho muhimu na mwili na yanatokea kwenye tundu la haja kubwa" maajabu ni kuwa umeyaita Mungu hivyo inaonesha wazi dishi lako limeyumba wahi hospital haraka😂😂
3.Ni maneno Yako yakatae hapa ni zidi kuprove dish limeyumba kuhusu swala la kutukuza evil problems kwamba ni more powerful
5.Hoja ya kujiita wewe mungu,inamaana hujui maana ya Neno Mungu na matumizi yake ,hivyo inanipa picha kuwa may be unatatizo la afya ya akili wahi hospital,najua Kuna wataalamu wa magonjwa ya akili waanze na huyu ndugu yetu tusije mpoteza jukwaani ni mkongwe na Mimi nimemkuta humu,lakini pia inaonekana umri umeenda na badhi ya nuts zimelegea SI tatizo umri ukienda ni kawaida sana.
 
Huyu mtu anakuja mulemule hivi ni haki unataka kumjadili Mungu ambaye ni very complex spiritual staff,wakati hujui hata maana ya energy,
Okay kukusaidia
Energy (nishati ) ni Kani ya Mungu ya ufanyaji kazi katika ulimwengu wa mwili,ambayo sayansi finyu imeshindwa kueleza mwanzo ,chanzo na asili yake,hivyo ikampa ushindi Mungu Kwa kutengeneza principle ,inaitwa principle of conservation of energy ,ndio principle kuu ya ulimwengu na ndio hapo tofauti ya uungu na sayansi ilipo
Katika ulimwengu wa roho ipo na inaitwa "roho mtakatifu" walokole wanaifahamu sana japo mm SI mlokole ni mcha Mungu
2 Neno kwanini ni dhana ya mkanganyiko wa akili na siyo tu mtazamo,mfano
"Kwanini kila siku Mimi tu mke wangu ,ananijibu vibaya."
Lakini Kuna mtu pia mke wake anamjibu vibaya ukimuuliza anasema "sasa kama kaamua kujibu mm nijafanye,'
Hapo Kuna dhana mbili ya kwanza Kuna anayeona kujibuwa vibaya ni tatizo Ili kutafsir tatizo katumia Neno kwanini lakini Kuna anayeona kujibiwa vibaya ni maamuzi na haki ya mtu.
Anyway turudi kwanini Yako umeitengeneza wewe ila Haina mantiki maana kwanini Yako imebeba umimi, haiko general ipo kiselfish sana, kwanini afanye hivi lakini hujiulizi vilevile kwanini asifanye hivi
3.Thibitisha evil problems ni zipi maana hakuna evil ni real sense ,Ivo ni dhana ya kiimani kama Mungu alivyo wa kiimani,
Kama unaamini evil basi automatic unaamini Mungu

B.kuhusu utendaji kazi (how God is operate) ni jambo binafsi la Mungu ,kuwa ameumba evil au ameumba chochote kile ameamua ni kama wewe uchukue udongo mfinyanzi utengeneza gari au nyumba ya udongo,hivyo mode ya operation haihusiani ni uwepo,hapo juu nimekupa mfano wa William luto ,simjui hukuuelewa
Hapangiwi na wewe why umpangie ,mfano sisi tuje kwko tukupangie namba ya kuongoza nchi wakati wewe ni rais na katiba imekupa mamlaka no one to ask why?
4.Sayansi unayoiamini imethibitisha uwepo wa roho
Kupitia
A. Meditation
B.astral body projections na zipo nyuzi nyingi humu kuelezea .
Additional questions??🥳🥱
Unaweza kuthibitisha nishati ni kani ya Mungu?

Mungu ni nini?
 
Ujue kiranga naweza kukupa task ambayo ubongo wako ukashindwa hata kuimagine,Vuta picha kama universe is empty ingawa ukisema universe nayo ni something can you imagine emptyness? text za bigbang theory Hii theory ni ukifikiri wa hali ya juu sana ipitie pitie utapata source Universal mind,then GOD
Ashindwe kujua maana ya energy aweze kuelezea BigBang theory kuwa seriously basi kidogo mkuu
 
Kama vilivyo complex hivi vyote vyenye high order hivi ulivyovitaja, bahari, jua, watu, wanyama, ni lazima viwe vimeumbwa na higher intelligence, basi complexity haiwezi kutokea bila kuumbwa na higher intelligence.

Sasa, hapo hapo linakuja swali, kwa kanuni hiyo hiyo ya kwamba kilicho complex hakiwezi kuwepo tu, ni lazima kiwe kimeumbwa, hata Mungu wako naye atahitaji kuwa ameumbwa, na aliyemuumba naye atahitaji kuwa na muumba, hivyo hivyo, bila mwisho.

Kwa hiyo, ukisema kuwa bahari, jua, watu ni lazima vimeumbwa, kwa sababu complexity haiwezi kutokea tu, kimsingi hapo unasema Mungu hayupo, labda hujaelewa tu kwamba unajenga hoja kwamba Mungu hayupo.

Ni hivi.

Ama, hivi vitu complex ni lazima viwe vimeumbwa, ama si lazima.

Kama si lazima viwe vimeumbwa, hapo Mungu hahitajiki, kwa sababu kama ulivyosema, unatumia dhana ya kwamba Mungu kaumba kudhihirisha Mungu yupo. Kama vitu hivi si lazima viwe vimeumbwa, basi Mungu hahitajiki.

Kama ni lazima viwe vimeumbwa, basi huyo unayemuita Mungu naye ni lazima awe kaumbwa, na kama ni lazima awe kaumbwa, huyo si Mungu.

Sijui hata kama una uwezo wa kuelewa hizi hoja.
Umepata wapi kujua kama Mungu ni complex? Vilivyoumbwa ni complex kwetu lakini kwa Mungu vyote ni simple.
 
Unaweza kuthibitisha nishati ni kani ya Mungu?

Mungu ni nini?
Waoo Sasa tunaanza kuelewana
Nataka nikujibu katika nadharia mbili ya kisayansi na kiimani
Mungu kupitia Wikipedia imeeleza kuwa ni"Mungu ni jina lenye asili ya Kibantu linalotumika kwa yeyote anayesadikiwa katika dini mbalimbali kuwa na uhai wa hali ya juu."

Ila kiimani Mungu ni roho.
Roho ni imagination staff ya utendaji kazi ,sawa na energy ni tangable staff ya utendaji kazi isiyoshikika na haijulikani asili yake ,Sasa
Kama roho na energy Zina sifa sawa , kisayansi tunasema ni directly proportional .
Vile vile Mungu ni directly proportional na spirit (roho) basi automatic energy chimbuko lake ni Kwa Mungu.
Additional questions please 🥱🥱🥳
 
Ashindwe kujua maana ya energy aweze kuelezea BigBang theory kuwa seriously basi kidogo mkuu
Mkuu,

Kukuuliza energy ni nini maana yake ni kwamba sijui maana ya energy?

Unaelewa hata Socratic method ni nini?

Naanza kunusa ignorance on your part.
 
Back
Top Bottom