Ukitaka kupambana pambana na kubwa la maadui
Kiranga huyu Mwamba ndo mpingaji mkuu wa hoja za Mungu,sasa katika kusoma kwa kutulia nimegundua yafatayo kuhusu yeye
1.Ni mtu anayemjua Mungu vizuri na ameamua kupotosha na coat baadhi ya maneno yake
"Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule."
Kaanza na neno kiukweli ,linatosha kuonesha huyu Mwamba Mungu anamjua vyema
2. Ni mtu ambaye dishi limeyumba na ana mafadhaiko sana kwenye hii dunia
"Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa."
3.Ni Muabudu shetani
"Hakuna mtu aliyetatua mikanganyiko ya kimantiki inayojitokeza katika hoja na dhana za kuwepo Mungu, kama vile "the problem of evil", kwa nini Mungu hajioneshi kwa uwazi usio na utata wowote kwa wote, freewill's"
4.Ni mtu mwenye elimu uchwara asiye elimika ,hapo tunaona ana coat vi theories vya kumwelezea Mungu KWA kutumia sayansi
5.ana tatizo la kisaikolojia
" "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe."
Sasa hiyo tu inatosha kukueleza kuhusu huyu mtu yote yanaweza kuwa majibu au Moja Kati ya hayo,
Ila huyu ndugu yetu anaitaji msaada wa haraka ,unaweza kuta siku Moja akabwia madawa akafa maana nahisi dishi halipo sawa