Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Kukulipizia,

Kwanza jifunze tofauti ya "coat" na "quote" kabla ya kujibizana nami.

Ukianza kuandika "coat" kwa kumaanisha "quote", unanipa signals kwamba you are semi literate, at best.
Maana halisi ya coat ni covering/holdings maana tunaanza kufundishana Hadi maana za maneno

Energy hujui sijui form one ulienda kula makande shule maana hiyo ni kazi ya mwalimu wa phys wa pre form one.
Hujui hata maana ya coat ,sijui yule mwalimu wa kingereza wa darsa la tatu D ,alikuwa anakula hela za wazazi wako za bure
 
Mkuu,

Kukuuliza energy ni nini maana yake ni kwamba sijui maana ya energy?

Unaelewa hata Socratic method ni nini?

Naanza kunusa ignorance on your part.
Jibu hoja ukiuliza swali it's means wewe ni mjinga ,ujinga SI tusi ni kutojuwa Sasa kama unajua na unauliza nianze kuendelea kuprove maneno yangu unashida kwenye akili nuts hazipo sawa
 
Kuna ile story kwenye biblia pia , Mungu akaufanya moyo wa farao uwe mgumu , asiwaruhusu Israel, baada ya apo akaua kila mzaliwa wa kwanza wa misri kwa wanyama mpka watoto.

Ili tu kila mtu ajue kwamba yeye ni bwana .
Ile stori ni kituko, katika soga zinazochekesha ile ipo😂
 
Mungu anapenda kuabudiwa kuliko Idi Amin!

Yani anaua watoto kibao, iki watu wamjue tu.

Kwani alishindwa kuandika maandiko makubwa mawinguni watu wote wamjue bila utata, bila kuua watoto?

Huyu Mungu yupo kweli au watu wamemtunga tu?
Mkuu kiranga,
Unajua ukifikiri sana unaweza kusema kama wayahudi walikuwa ni watu wanaopigana vita, huenda ilikuwa ni njia moja ya kuinspire watu na ku raise ile willingness ya watu kuwa tayari kupambana.

Kuna aina fulani ya kama conspirancy theory walizokuwa wanatumia kuwatisha maadui😂
Kuna siku nilikuwa naangalia the ellen show guest akiwa obama kuna mtoto anaitwa matty ni presidental expert.

Yule mtoto akamuuliza obama nasikia america ina direct contact na viumbe kutoka sayari zingine kama vile alien.
Akasema that’s secret ila baadae akajibu ndio tunayo.

Hizi jamii za kale ukichunguza hivi vitabu vilitengenezwa kuongeza ile hali ya kuwa tayari kupigania itikadi zao sio biblia wala Quran.
 
Lakini ndugu yangu Kiranga nafikiri Leo umeelewa maana unaoneaga dagaa ,ila uwende hospital haiwezekani ufananishe kinyesi na Mungu ,huu ni ujuha wa SGR,
Uwahi hospital naamini Sasa tupo pamoja ,lakini ndugu yangu kilanga kwanini udanganye wakati facts unazijua eti?
Au maisha ni magumu kiasi hicho et ,kama maisha magumu weka namba usimlaumu Mungu ukakufuru bure sisi wanajamvi hatuna vingi ila tukikuona mkongwe umebanwa tutachanga vibukubuku na vijero jero,siyo maisha yakupige uishie kukufuru acha hizo bwana kaka
 
Allah hawezi kufanya Yale unayo yataka were kama umeamua kumkufuru kwa madai hayupo tuli hivyo hivyo

قل يأيها الذين هادوا إن زعمتم أنكم أولياء لله من دون الناس فتمنوا الموت إنكتم صدقين
(1)
Sema; Enyi mlio wayahudi, ikiwa mnadai kuwa nyinyi ni wapenzi wa mwenyezimungu kinyume na watu wengine, basi tamanini kufa ikiwa nyinyi ni wakweli
Wewe ni myahudi
 
Nahitimisha Kwa kusema Mungu yupo maana kubwa la maadui bwana Kiranga kala Kona,
Na kama mtu anabisha aje na hoja za kupinga na aniambie anatka tubishane katika msingi wa kisayansi ama kiimani na akikisha umekwiva vizuri.
In addition BigBang theories inaelezea vizuri kuwa Mungu ameumba ulimwengu,nenda kasome biblia na Qur'an afu nenda kasome BigBang theory.
Vina ulinganifu mkubwa
 
Ujue kiranga naweza kukupa task ambayo ubongo wako ukashindwa hata kuimagine,Vuta picha kama universe is empty ingawa ukisema universe nayo ni something can you imagine emptyness? text za bigbang theory Hii theory ni ukifikiri wa hali ya juu sana ipitie pitie utapata source Universal mind,then GOD
Ukishanipa task ambayo ubongo wangu utashindwa ku imagine, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, nuweza yote na mwenye upendo wote hayupo.

Unaelewa hilo?
 
Bro nashukuru sana kwa maneno yako.

Watu wengi huniuliza, kwa nini unashikilia sana hizi habari? Huchoki?

Jana mtu kaniuliza, "What is your mission?"

Nilimjibu kifupi tu.

To shine the light of knowledge where there is darkness of ignorance.

Watu wengine hawanielewi kabisa, wengine wanafikiri mimi Freemason. Hawajui kwamba Atheists hawakubaliwi kuwa Freemasons, unatakiwa kuamini Mungu au nguvu fulani ya kimungu ili ukubaliwe kuwa Freemason, hivyo wao waamini wapo karibu na Freemasons kuliko mimi atheist.

Watu wengi hawanielewi kabisa.

Ila naona tusioamini tumeongezeka, hili linanipa faraja sana.

Nikiona post kama yako hata moja kwa mwezi, inanipa nguvu sana, inaniambia kwamba kazi ninayofanya haipotei bure.

Na yumkini kama wewe mmoja umeandika hivi, kuna wengi wanapata maarifa na kupiga like tu, au hata kusoma bila kupiga like, lakini, kuongeza maarifa fulani yanayokwenda kuvunja minyororo ya utumwa wa dini na imani ya Mungu.
Mkuu,
Ila kuna mtu huwa anatamani umtoe ignore list lakini umegoma kabisa😂😂
Kwa huruma yako tunaomba umtoe jamaa mmoja anaitwa kisai huyu bwana anapenda sana kufanya mijadala na wewe yaani anakujibu karibia mara kumi kumi na tayari ushamwambia yupo ignore lakini bado anakufatilia sana🤣.

Tunaomuombea msamaha msamahe arudii tena alikosea tu.
 
Lakini kwanini unadhani ni lazima awepo wa kwanza tu?
Sio kwamba madhani bali nina hakika, sababu hakuna kitu kinachojitengeneza chenyewe Wala kinacho tokea pasi na chochote.

Kwahiyo Sasa wewe ni wajibu wako utuonyeshe kutokuwepo ulazima wa chanzo na utupe sababu.
Kwasababu Inawezekana asiwepo mtu mmoja pekee wa kwanza ambae ndiye alisababisha wengine kuwepo, (Elewa neno inawezekana),

Ushawaza uwezekano wa kuwepo wengi!?

Thibitisha hili na utuambie inawekana vipi sababu akili iliyo salama inakataa na uhalisia kadhalika. Lakini hao wengi nao tutakuuliza imekuwaje wakawepo ? Je wametokea pasi na chochote au wamejiumba wenyewe ?

Uwezekano wa kuwepo wengi unaanzia kwenye chanzo na hao wengi wanakuwa ni matokeo ya kile chanzo kimoja.
 
Kwanini unauliza swali ambalo umelijenga katika mtindo wa kwamba kuna mtu mmoja tu asababishe uzao wote tulionao hapa duniani!?
Sababu huu ndio uhalisia, na kama una makosa au sio sahihi onyesha uwezekano wa kinyume chake na utupe ushahidi.

Kuwa huru.
 
Na hata nkikubali wazo lako, vipi kama mtu huyo alijiumba yeye mwenyewe kutokana na either reaction za kikemia miaka mingi iliyopita ila bado hatujajua tu!?

Sasa hili pia itabidi ulitolee ushahidi na utuambie je kitu kinaweza kujiumba chenyewe ?

Usiseme haujajua tu, na kama hajujua huna haki ya kujadili hii mada sababu hujui kitu, lakini uje utuambie hapa kitu gani kimejiumba au kimewahi kujiumba. Usituletee ngano na visasili.
 
Elimu yako haija kugomboa.
Hivi unaweza kupoteza muda wako kujadili kitu ambacho hakipo serious, usha sema hakuna mungu why bado una reply post za watu. S utulie tuu
Sasa kwa taarifa yako kama unadhani una mpinga mungu unajidanganya.
Unavyozidi kujadili ndo unazidi kumtukuza unless otherwise ukaa kimya.
Wewe acha kudanganya watu.

Umeleta mada umeshindwa kuitetea, hapo yupo anajibu watu wengine.
Wewe ulishindwa tulia sasa.
 
Ukitaka kupambana pambana na kubwa la maadui
Kiranga huyu Mwamba ndo mpingaji mkuu wa hoja za Mungu,sasa katika kusoma kwa kutulia nimegundua yafatayo kuhusu yeye
1.Ni mtu anayemjua Mungu vizuri na ameamua kupotosha na coat baadhi ya maneno yake
"Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule."
Kaanza na neno kiukweli ,linatosha kuonesha huyu Mwamba Mungu anamjua vyema
2. Ni mtu ambaye dishi limeyumba na ana mafadhaiko sana kwenye hii dunia

"Hata mimi naweza kukuambia kuna kitu bado hujakielewa, kimba nililokunya leo asubuhi ndiyo Mungu, kimba hili lipo juu ya kika kitu hadi unachofikiria sasa hivi, na huwezi kuelewa hilo kwa sababu lipo nje ya uwezo wa mtu kuelewa."
3.Ni Muabudu shetani
"Hakuna mtu aliyetatua mikanganyiko ya kimantiki inayojitokeza katika hoja na dhana za kuwepo Mungu, kama vile "the problem of evil", kwa nini Mungu hajioneshi kwa uwazi usio na utata wowote kwa wote, freewill's"

4.Ni mtu mwenye elimu uchwara asiye elimika ,hapo tunaona ana coat vi theories vya kumwelezea Mungu KWA kutumia sayansi

5.ana tatizo la kisaikolojia
" "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe."
Sasa hiyo tu inatosha kukueleza kuhusu huyu mtu yote yanaweza kuwa majibu au Moja Kati ya hayo,
Ila huyu ndugu yetu anaitaji msaada wa haraka ,unaweza kuta siku Moja akabwia madawa akafa maana nahisi dishi halipo sawa
Kumbe nawe umeliona hilo pengine amepitia changamoto nyingi katika maisha zime muathiri saikojolia toka hapo akaamua hakuna mungu. Naamini Ipo siku mungu atamuuondolea adha anayo pitia.
 
Sema mkuu huwa unalazimishaga mambo mtu alishakupeleka ignore list na hakujibu mara nyingi tu.

Ila wewe kulazimisha, acha hizo bana mtu kashakataa kuongea na wewe basi.
Hili nalijua kitambo sana na nimeshalielezea, lengo si kumjibu yeye, bali watu wengine wasome wapate faida kupitia yeye, na kuonyesha ujinga wake ulipo.

Sababu lengo ni kutoa elimu na kubainisha mambo.

Kwahiyo hili kisikushughulishe sana, najua nini nafanya.
 
Enyi waamini mnijibu haya machache.

1. Ikiwa Mungu huyo mnayemsoma na kumuamini kwenye vitabu vyenu vitakatifu anasema alimuumba Adam na Hawa, watu hawa wawili walikuwa na rangi ipi ya ngozi na kilikuja kubadilika kipi leo hii tukawa na varieties za human races?

2. Mnatuaminisha Mungu ni mkamilifu na aliumba kwa Ukamilifu viumbe wake. Hawa Viwete, Mabubu, Viziwi, Vipofu wao waliumbwa na nani na hiyo dhana ya ukamilifu inakamilikaje ikiwa kuna upungufu wa dhahiri unaonekana?

3. Ikiwa Aliumba kwa kutamka na ikawa, tafsiri yake ni kuwa kila kitu kilikamilika kwa muda mmoja kikakaa mstarini kwa muda huo mmoja na ikadumu hivyo. Ni kipi kinachofanya upande mmoja wa dunia uwe ni asubuhi wakati kwingine ni usiku!?

Nijibuni hayo kwa kuanzia halafu nitakuja na mengine.
Enyi waamini mnijibu haya machache.

1. Ikiwa Mungu huyo mnayemsoma na kumuamini kwenye vitabu vyenu vitakatifu anasema alimuumba Adam na Hawa, watu hawa wawili walikuwa na rangi ipi ya ngozi na kilikuja kubadilika kipi leo hii tukawa na varieties za human races?

2. Mnatuaminisha Mungu ni mkamilifu na aliumba kwa Ukamilifu viumbe wake. Hawa Viwete, Mabubu, Viziwi, Vipofu wao waliumbwa na nani na hiyo dhana ya ukamilifu inakamilikaje ikiwa kuna upungufu wa dhahiri unaonekana?

3. Ikiwa Aliumba kwa kutamka na ikawa, tafsiri yake ni kuwa kila kitu kilikamilika kwa muda mmoja kikakaa mstarini kwa muda huo mmoja na ikadumu hivyo. Ni kipi kinachofanya upande mmoja wa dunia uwe ni asubuhi wakati kwingine ni usiku!?

Nijibuni hayo kwa kuanzia halafu nitakuja na mengine.
Enyi waamini mnijibu haya machache.

1. Ikiwa Mungu huyo mnayemsoma na kumuamini kwenye vitabu vyenu vitakatifu anasema alimuumba Adam na Hawa, watu hawa wawili walikuwa na rangi ipi ya ngozi na kilikuja kubadilika kipi leo hii tukawa na varieties za human races?

2. Mnatuaminisha Mungu ni mkamilifu na aliumba kwa Ukamilifu viumbe wake. Hawa Viwete, Mabubu, Viziwi, Vipofu wao waliumbwa na nani na hiyo dhana ya ukamilifu inakamilikaje ikiwa kuna upungufu wa dhahiri unaonekana?

3. Ikiwa Aliumba kwa kutamka na ikawa, tafsiri yake ni kuwa kila kitu kilikamilika kwa muda mmoja kikakaa mstarini kwa muda huo mmoja na ikadumu hivyo. Ni kipi kinachofanya upande mmoja wa dunia uwe ni asubuhi wakati kwingine ni usiku!?

Nijibuni hayo kwa kuanzia halafu nitakuja na mengine.
Nenda Google utapata majibu ya maswali yako.
 
Back
Top Bottom