Mungu kutoeleweka kwa uwazi, bila utata, kwa wote, ni moja ya classic arguments against the existence of God.
Ukishaanza na "ili awe Mungu lazima asieleweke" hapo tayari umeacha mlango hata mimi kukuambia kuwa Mimi ndiye Mungu mwenyewe, ila sieleweki tu kuwa mimi ndiye Mungu mwenyewe.
Kwa sababu ili niwe Mungu, ni lazima nisieleweke uungu wangu.
Kiukweli, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote, atajulikana, atajulikana na viumbe wote, atajulikana na viumbe wote bila utata, hatahitaji kitabu, tafsiri, nuktadha, muongozo, mjadala ili aeleweke bila utata wowote ule.
Ukishaona Mungu anajadiliwa, anaelezewa, ameandikwa, anatafsiriwa, anawekewa muktadha, anahubiriwa, etc, ujue hakuna Mungu hapo, hizo ni siasa za watu tu hizo.
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kutojitambulisha ajulikane bila utata ni ukatili mkubwa unaosababisha vita vya kidini, migogoro ya kimataifa, crusades za maelfu na maelfu ya miaka.
Mungu mwenye tabia hizo (ujuzi wote, uwezo wote, upendo wote) hsi mkatili hivyo.
Ama Mungu mwenye tabia hizo yupo, na watu wanamuelewa bila utata, ama watu wanamuelewa Mungu huyo kwa utata na Mungu huyo hayupo.
Watu wanamuelewa Mungu kwa utata, ndiyo maana mijadala hii haiishi hapa JF.
Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Waooo sasa umekuja pale patamu, kumbe shida yako ni kuwa hujamuelewa vizuri ,hajaonekana ,unapata contradictions za upendo na hasira zake vizuri.
Sasa hizo sifa ndo sifa za kuwa Mungu,lazima kuwepo na gape na Muumba na waumbwa ,kuto muelewa au kutoelewa kani yake ya ufanyaji kazi si dhana yakusema hayupo.
Let say kuna watu hawatambui serikari ya william luto rais wa kenya lakini ,serikari ipo kutotambua kwao haibadilishi chochote,kutojaliwa kwao,na kukatiliwa kwao ,au kutopemdwa kwao hakubadilishi chochote.
Hoja zako ni fupi mno, hoja yako ni mfu.
Twende kwenye laws ya "action and reaction ",au laws ya" charge s"hizi laws ukiziangalia vizuri zina operate utendaji kazi wa energy ambayo Mungu katupa kama zawadi wanadamu na na akatupa akili Ili tujue tunaitumiaje energy,na huu ndo uungu upo hapa.( Mungu akupi hela,wala mali zaidi ya akili na kugovern energy)
Hebu twende ( kuchanganua energy) na laws za charge na actions na reaction law.
Ukiona sehemu pana chuki jua ilitangulia upendo
-kwahiyo kama unahisi upendwi na Mungu jua kuna anaopenda na kuwajali. So facts ya kupendwa ni wrong point ya kujadili uungu na Mungu .
- Hukihisi humuelewi laws ya actions na reactions,itakwambia wapo waomuelewa, sasa kama wapo it's means Ili umuelewe lazima upige goti ujifunze kumuelewa ,kutomuelewa wewe tu hakukupi justification ya kusema siyo Mungu ,kama wapo hata wachache wanamuelewa basi yupo bcoz hujaamua kumtafuta utamuelewaje,kwamfano usipo pambana kusaka maokoto hutokaa uyapate.
.Halafu lazima positive na negative ziwe na utofauti .
Nimeeleza hapo juu ,Mungu hatokani na miili ya nyama bali anatokana na miili ya roho ,roho hujadili roho huwezi kuwa nyama ukajadili roho, Ili ujadili roho lazima kuwa katika Msingi wa kiroho ,
Utasemaje nitakuwaje kiroho, zipo njia nyingi ambazo scientifically proved
Mfano 1.Meditation na 2.astral bodies projection,etc
Toa gape change state nenda kamjadili Mungu ukiwa katika roho Ili mlingane state ,wewe kiumbe dhaifu,uliyeitwa Mpumbavu kwenye vitabu vya dini.
Na hoja yako ya mwisho, Waoo vizuri ,hakuna sifa kama usiri ,usiri ndio sifa ya Mungu, Mwenyewe lazima aweke mipaka na anaweka Ili ukitaka kujua siri zake lazima upige goti, hao wengine wanaomueleza wamepata maarifa baada ya kusujudu,usiache kusujudu KWA sababu ,yeye Hakubembelezi ana watu wakutosha hapa na nyulimwengu nyingine anazomiliki pia watu wa kwake huko haliko sasa why ahangaike na wewe,una faida gani kwake.
-Ashakuwa Mungu why umpangie namna ya ku operate yeye kaaamua kuoperate KWA namna hiyo ,mfano Magu aliamua kuwa mbabe sasa kuwa kwake mbabe akubadilishi dhana kwamba si rais ,ndo namna Mungu kaamua kuweka gape Ili heshima iwepo ,ukitaka kummanage mtu weka gape ,tumia principle ya Mungu utamanage watu wote duniani
- Wewe kujiita Mungu au kuna comment uliita mavi yako mungu, naona nuts zinaanza kulegea kichwani ni haki y'ako kujiita hivyo kikatiba maana humzuru yoyote,
But uchizi wako usioneshe public kuwa Mungu lazima uwe na sifa ya kuweza kuunda na kubomoa nishati ,kwenda tofauti na principle zote za misingi ya dunia ,kama umesoma science nikikwambia principle utaelewa mfano kuweza kucontrol mwendo na muda on sport kama alivyo Sema hesergnbergy, kuweza kucontrol nishati kwa kuunda na kubomoa ambapo principle ya energy inakataa .
Na principle nyingine sasa kama hiyo sifa huna huwezi kuwa na yupo aliyeunda principle na anayeweza kutengua ,kama zipo ziliwekwa na nani na yeye ,yeye ni nan ndo Mungu.
Uje na hoja bwana
Kiranga habari zaku coat mitazamo ya sayansi isiyoweza kujikamilisha sitaki isiyo static sitaki nataka facts