Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Mkuu,
punguza jazba rudi tena kusoma.
First from nothing,

Second from clay

Jibu swali.
 

Qur'an ni tofauti na vitabu vya kawaidi kusoma utasoma kuelewa ndo shughuli inaanzia hapo,
ndio maana hata waarabu wenywe baadhi hawaijuwi Qur'an.
Kama hujuwi Qur'an na ukakosa wa kukuelekeza tafsiri ime maanisha nini huwezi kuelewa abadani.
Sawa
 
Mtu akikuuliza swali, si lazima awe hajui, mara nyingine anataka kujua unavyojua wewe ni vipi.

Inaonekana hujui hata Socratic method ni nini.

Na kama hujui Socratic method ni nini, ni vigumu sana kufanya mazungumzo ya maana hapa.

Utatumia maneno kama "energy" wakati hatujakubaliana definition ya energy ni nini.

Na kama hatujakubaliana definition, tunaweza kubishana tukifikiri tunazungumzia kitu kimoja, huku tunazungumzia vitu tofauti.

Hujajibu maswali yangu.
 
Unasema Mungu ni roho.

Nimekuuliza kuhusu Mungu, kitu ambacho huwezi kuthibitisha, unaniambia Mungu ni roho, ambayo hiyo roho nayo huwezi kuthibitisha.

This is a game of smoke and mirrors.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo, huwezi kuthibitisha roho ipo, kwa sababu havipo, hizo ni stories za kutungwa na watu tu.
 
Wayahudi sio walikuwa wanatumia hadithi ya Mungu kutisha watu, mpaka leo bado wanatumia uongo huo. Wakisema wao ni taifa teule.

Na watu wengi bado wamepumnazwa na stories hizi.
 
Muumba wa viumbe vyote
Hujathibitisha Mungu ni muumba wa vitu vyote kweli. Hiyo ni kauli ya imani tu.

Hata mimi naweza kusema Mbuyu uliopo uani kwangu ni muumba wa viumne wote.

Lakini mimi kusema hivyo, hakumaanishi uani kwangu kuna mbuyu wala mbuyu huo ndio muumba wa viumbe vyote.

Thibitisha, usiseme tu.
 
Mkuu,

Kumbe uko hapa kufanya ligi za kitoto za nani kala kona?

Mimi nilikuwa na party jana usiku ya US, sikeshi JF. Usifikiri maisha yangu yote yanazungukia JF sina maisha nje ya JF.

Hujaweza hata ku define Mungu ni nini. Nimekuuliza Mungu ni nini? Umesema Mungu ni roho. Hiyo roho nayo huwezi kuthibitisha ipo. Nakuambia uthibitishe Mungu yupo, huwezi, unaniambia Mungu ni roho, roho nayo huwezi kuthibitisha ipo.

Big Bang theory imeeleza vizuri Mungu ameumba ulimwengu wapi?

Wewe unaelewa kwamba mmoja wa wagunduzi wa Big Bang Theory, George Lemaitre, ambaye alikuwa cosmologist na kasisi wa kanisa la Katoliki, alipomtangazia Papa wa Katoliki Pius XII kuhusu Big Bang Theory, Papa alifurahi na akasema sasa tutaitumia hii theory kuonesha Mungu yupo na ndiye kaumba dunia kwa Big Bang Theory, lakini George Lemaitre alimkataza Papa kuitumia Big Bang kama ushahidi wa uwepo wa Mungu?

Hiyo Big Bang Theory hata historia yake umeisoma? Naona hujaisoma, maana ungeisoma ungeelewa point ya George Lemaitre na usingeandika kuwa Big Bang Theory imeeleza vizuri Mungu kaumba ulimwengu.

Soma hapa ujifunze kuhusu hiki suala.

 
Kwa heshima yako tu, namtoa mkuu.

Kisai
 
Uko sawa kabisa, wewe ukianzisha familia yako, utapanga sheria zako, mtu hakupangii, within reason of course.

Naona huelewi hata maswali yangu.

Maswali yangu hayahusiani na kumpangia chochote Mungu.

Maswali yangu yanahusu logical consistency.

Huyo Mungu mwenyewe mnayemsema yupo, mbona anajikanganya?

Mbona hapa anasema anakwenda mbele, halafu hapa tunaona anarudi nyuma?

Mbona hapa anatuambia chekundu juu, cha bluu chini, halafu hapa tunaona chekundu chini, cha bluu juu?

Mbona habari za kuwepo kwake zinaji contradict zenyewe?

Mbona ulimwengu uliopo una contradict habari za kuwepo kwake, kwa namna ambayo inaonesha hawezi kuwepo?

Mbona wewe mgumu kuelewa mambo ya msingi kabisa?
 
Ukishanipa task ambayo ubongo wangu utashindwa ku imagine, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, nuweza yote na mwenye upendo wote hayupo.

Unaelewa hilo!?.
binadam ni species wa hali ya. chin sana
 
Ashindwe kujua maana ya energy aweze kuelezea BigBang theory kuwa seriously basi kidogo mkuu
mbona kwenye comment yangu hamna nilipo elezea energy!!!?nadhan umekosea quote
 
Mkuu,
punguza jazba rudi tena kusoma.
First from nothing,

Second from clay

Jibu swali.
Labda huja elewa ngoja ni fafanue kidogo
Hali ya kuwa "kitu" ina maana hakuwa kitu hakuwepo katika ulimwengu huu.
Na hiyo Surat Hijri 15:26
Ndio tuna rudi kule kule nili kujibu kwamba binadamu wakwanza amaumbwa kutokana na udongo unaotoa sauti
Kwahiyo hapo kabla hakuwa kitu kisha Allah akamuumba kutokana na udongo kwenye kutoa sauti.
 
Hasemi aliumba kwa udongo aliumba pasipo kitu, next anabadilika anasema kaumbwa kutoka kwa udongo!
Wewe umeenda mbali zaidi udongo unaotoa sauti!
Unaelewa maana ya nothing, na kutengeneza from clay.
 
Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.

Hivi unaelewa hiyo statment hapo? Au bado unatatizika kuelewa?
 
God is good, and does not accept but what is good,
And God has ordered the believers to do that which. He had ordered the messengers to do God the exalted has ordered the messengers to eat from that which is good and to do that is good.
And likewise.
He ordered the to eat from that which is good, which he has provided (All baqara 172) "The prophet then proceeded

To mention that a man, long travelled dishevelled, and covered with dust.

Stretching his two hands to Heaven ( praying and saying) O lord .... O Lord; and his food (comes from what) is prohibited, and his drink (comes from what) is prohibited, and his clothing (comes from what) is prohibited he is nourished by what prohibited

How is he to be granted this prayer!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…