passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Mkuu,Binadamu wakwanza ametokana na udongo,
Contradiction imezitegeza wew
ألم يك نطفة من مني يمنى
Hivi kwani hakuwa tone LA manii yamiminikayo
ثم كان علقة فخلق فسوي
Kisha akawa pande LA damu akaumba akaweka sawa
فجعل منه الزوجين الكر والانثي
Akaumba kutokana nayo jinsia mbili mwanaume na mwanamke
Kama hujaelewa na hapo kapima ufahamu wako.
sana na hii ukiendekeza sana imani ulizoletewa.
Mkuu Mimi kuna jamaa yangu anapenda sana haya mambo ni muislamu ilishachanwa Quran mbele yake yule jamaa mpaka alipigana.
Yaani mtu kitabu nimenunua mwenyewe nimeamua kuchana sababu sikihitaji anaumia mtu mwingine,
Hivi vitu ukiviendekeza utaishi kwa kuumia sana.
SawaQur'an ni tofauti na vitabu vya kawaidi kusoma utasoma kuelewa ndo shughuli inaanzia hapo,
ndio maana hata waarabu wenywe baadhi hawaijuwi Qur'an.
Kama hujuwi Qur'an na ukakosa wa kukuelekeza tafsiri ime maanisha nini huwezi kuelewa abadani.
Mtu akikuuliza swali, si lazima awe hajui, mara nyingine anataka kujua unavyojua wewe ni vipi.Maana halisi ya coat ni covering/holdings maana tunaanza kufundishana Hadi maana za maneno
Energy hujui sijui form one ulienda kula makande shule maana hiyo ni kazi ya mwalimu wa phys wa pre form one.
Hujui hata maana ya coat ,sijui yule mwalimu wa kingereza wa darsa la tatu D ,alikuwa anakula hela za wazazi wako za bure
Unasema Mungu ni roho.Waoo Sasa tunaanza kuelewana
Nataka nikujibu katika nadharia mbili ya kisayansi na kiimani
Mungu kupitia Wikipedia imeeleza kuwa ni"Mungu ni jina lenye asili ya Kibantu linalotumika kwa yeyote anayesadikiwa katika dini mbalimbali kuwa na uhai wa hali ya juu."
Ila kiimani Mungu ni roho.
Roho ni imagination staff ya utendaji kazi ,sawa na energy ni tangable staff ya utendaji kazi isiyoshikika na haijulikani asili yake ,Sasa
Kama roho na energy Zina sifa sawa , kisayansi tunasema ni directly proportional .
Vile vile Mungu ni directly proportional na spirit (roho) basi automatic energy chimbuko lake ni Kwa Mungu.
Additional questions please 🥱🥱🥳
Wayahudi sio walikuwa wanatumia hadithi ya Mungu kutisha watu, mpaka leo bado wanatumia uongo huo. Wakisema wao ni taifa teule.Mkuu kiranga,
Unajua ukifikiri sana unaweza kusema kama wayahudi walikuwa ni watu wanaopigana vita, huenda ilikuwa ni njia moja ya kuinspire watu na ku raise ile willingness ya watu kuwa tayari kupambana.
Kuna aina fulani ya kama conspirancy theory walizokuwa wanatumia kuwatisha maadui😂
Kuna siku nilikuwa naangalia the ellen show guest akiwa obama kuna mtoto anaitwa matty ni presidental expert.
Yule mtoto akamuuliza obama nasikia america ina direct contact na viumbe kutoka sayari zingine kama vile alien.
Akasema that’s secret ila baadae akajibu ndio tunayo.
Hizi jamii za kale ukichunguza hivi vitabu vilitengenezwa kuongeza ile hali ya kuwa tayari kupigania itikadi zao sio biblia wala Quran.
Hujathibitisha Mungu ni muumba wa vitu vyote kweli. Hiyo ni kauli ya imani tu.Muumba wa viumbe vyote
Mkuu,Nahitimisha Kwa kusema Mungu yupo maana kubwa la maadui bwana Kiranga kala Kona,
Na kama mtu anabisha aje na hoja za kupinga na aniambie anatka tubishane katika msingi wa kisayansi ama kiimani na akikisha umekwiva vizuri.
In addition BigBang theories inaelezea vizuri kuwa Mungu ameumba ulimwengu,nenda kasome biblia na Qur'an afu nenda kasome BigBang theory.
Vina ulinganifu mkubwa
Kwa heshima yako tu, namtoa mkuu.Mkuu,
Ila kuna mtu huwa anatamani umtoe ignore list lakini umegoma kabisa😂😂
Kwa huruma yako tunaomba umtoe jamaa mmoja anaitwa kisai huyu bwana anapenda sana kufanya mijadala na wewe yaani anakujibu karibia mara kumi kumi na tayari ushamwambia yupo ignore lakini bado anakufatilia sana🤣.
Tunaomuombea msamaha msamahe arudii tena alikosea tu.
Uko sawa kabisa, wewe ukianzisha familia yako, utapanga sheria zako, mtu hakupangii, within reason of course.Mfano wewe una familia yako ume iyanzisha mwenyewe una sheria zako unaweza ruhusu mtu mwingine, akupangie chakufanya bila matakwa yako.
Jibu ni hapana maana ataingilia utawala wako
Ndo iko hivyo kwa mungu huwezi mpangia nini afanye
2. Hawo watu wako wakikosea na ilhali umewapa muongozo vipi waishi huto waadhibu kulingana na makosa yao. Na ilhali ni watu wako na unawapenda na kuwa hudumia???
Hakuna MUNGU wa miungu kuna MUNGU tuIko hivyo na itabaki hivyo milele. Mungu wa miungu yupo Jana Leo na hata milele.
NAJUA YUPOSawa wala hakupa pahala nime kwambia uamini.
binadam ni species wa hali ya. chin sanaUkishanipa task ambayo ubongo wangu utashindwa ku imagine, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, nuweza yote na mwenye upendo wote hayupo.
Unaelewa hilo!?.
mbona kwenye comment yangu hamna nilipo elezea energy!!!?nadhan umekosea quoteAshindwe kujua maana ya energy aweze kuelezea BigBang theory kuwa seriously basi kidogo mkuu
Labda huja elewa ngoja ni fafanue kidogoMkuu,
punguza jazba rudi tena kusoma.
First from nothing,
Second from clay
Jibu swali.
Una akili finyu sana, siwezi zungumza na wewe.Nenda Google utapata majibu ya maswali yako.
Hasemi aliumba kwa udongo aliumba pasipo kitu, next anabadilika anasema kaumbwa kutoka kwa udongo!Labda huja elewa ngoja ni fafanue kidogo
Hali ya kuwa "kitu" ina maana hakuwa kitu hakuwepo katika ulimwengu huu.
Na hiyo Surat Hijri 15:26
Ndio tuna rudi kule kule nili kujibu kwamba binadamu wakwanza amaumbwa kutokana na udongo unaotoa sauti
Kwahiyo hapo kabla hakuwa kitu kisha Allah akamuumba kutokana na udongo kwenye kutoa sauti.
Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.Labda huja elewa ngoja ni fafanue kidogo
Hali ya kuwa "kitu" ina maana hakuwa kitu hakuwepo katika ulimwengu huu.
Na hiyo Surat Hijri 15:26
Ndio tuna rudi kule kule nili kujibu kwamba binadamu wakwanza amaumbwa kutokana na udongo unaotoa sauti
Kwahiyo hapo kabla hakuwa kitu kisha Allah akamuumba kutokana na udongo kwenye kutoa sauti.
Namaanisha uliye m quote, rudia kusoma reply kwa umakini, nimetumia Ashindwe it's means yeyembona kwenye comment yangu hamna nilipo elezea energy!!!?nadhan umekosea quote