Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Kwa kutumia msingi wa logical consistency.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote anathibitika kwamba hayupo. Kwa proof by contradiction, kwa kutumia Epicurean paradox / problem of evil.

Tatizo hapa tunajadiliana na watu ambao hawajui logic, hawajui proof by contradiction, hawajui Epicurean paradox, hawajui problem of evil.

Nasema hivyo kwa sababu ukiwatajia hoja hizo, hawazijibu. Hili linaonesha hawa watu ni wajinga kwenye hoja hizi. Halafu ni wabishi, hawataki hata kujifunza, au pengine hawana uwezo wa kujifunza.

Ukitoka kwenye logic, ndiyo kabisa. Mungu hata hahitajiki kuwepo. Kwa maana moja ya rationale kubwa ya Mungu kuwepo ni kuuelezea ulimwengu logically, umeanzaje, unafanyaje kazi, sasa ukisema logic si muhimu basi kimsingi unasema hata dhana ya Mungu kuwapo ili awe ndiye muumba wa kila kitu si muhimu, kwa sababu katika ulimwengu usiofuata logic vitu havihitaji muumba.

Ukifuata logic, Mungu hayupo, ukitupilia mbali logic, Mungu hata hahitajiki kuwapo.
Achana na mambobyako yako ya Logic.
Logic haiukuwekei chakula mezani wala kukupa technology.


Tunataka science.Period.

Universe has been created by using science.
 
Sawa mkuu.
Hatukuzika. TUTAACHA MZOGO WAKO ULiWE NA KUNGURU na Mbwa HAHAHA
Hata wewe ukifa ni Mzoga tu.

Hata uwekwe kwenye jeneza la mamilioni na uzikwe na papa au mufti mkuu bado wewe ni mzoga takataka chakula cha wadudu.
 
Athesism

ATheism ni full blah blah
Pumba tu.

Mimi nilitegemea ungeonges mambo ya Dark Enery, Dark Mattet, Miller & urrey experiments, second law of themodynamics


Badala yake unaongea mineno mirefuuu isiyo ns kichwa wala mdomo alafu yote pumba
Wewe sayansi unaijua kweli?
 
Athesism

ATheism ni full blah blah
Pumba tu.

Mimi nilitegemea ungeonges mambo ya Dark Enery, Dark Mattet, Miller & urrey experiments, second law of themodynamics


Badala yake unaongea mineno mirefuuu isiyo ns kichwa wala mdomo alafu yote pumba
Wewe hata huelewi atheism ni nini.

Dark energy, dark matter, hayo ma experiment unayoyataja si atheism.

Atheism ni kukataa uwepo wa Mungu tu.

Unachanganya madawa.
 
Achana na mambobyako yako ya Logic.
Logic haiukuwekei chakula mezani wala kukupa technology.


Tunataka science.Period.

Universe has been created by using science.
Nikiachana na logic Mungu hahitajiki kuwepo, unaelewa hilo?
 
Swali lake anauliza "nani" kaumba.

Nimemuuliza anajuaje hili ni suala la "nani"? Mpaka sasa hajanijibu.

Mnauliza maswali marahisi sana.

Tunajua hilo suala la nani, sababu hakuna "nini" chenye sifa ya kuwa na Elimu, Hekima, Nguvu, Malengo na matashi. Kwahiyo "nini" hakiumbi na hakuna lugha inayoweza kukaa kuelezea Muumba pasi na kutumia kiulizi cha "nani". Lugha na kanuni zake zinahukumu na zote ameziumba yeye.

Ili uone ya kuwa "nini" hakai hapo tumia lugha yoyote kama hauto onekana hauna akili zaidi ya ulivyo sasa. Hicho nini hakijiendeshi chenyewe bila kuwezeshwa, katika munasaba wa uumbaji haikai nini kama kiulizi.
 
Nikiachana na logic Mungu hahitajiki kuwepo, unaelewa hilo?

Sababu logic ni msingi dhaifu unaotegemea akili pekee na hisia, wakati kuna nyenzo nyingine zaidi ya hizo na ni timilifu katika ithibati na kupata elimu.

Siku mkionyesha ukamilifu wa logic na kutuambia kwanini iwe marejeo ya kuujua ukweli, ndio mje kumkana Mungu japo hilo ni muhali.
 
Achana na mambobyako yako ya Logic.
Logic haiukuwekei chakula mezani wala kukupa technology.


Tunataka science.Period.

Universe has been created by using science.

Huyu siku akijua ya kuwa logic msingi wake ni dhaifu, atakuwa ameshachelewa. Yaani anaegemea kwenye maneno tu yasiyo kuwa na uhalisia wala kunakishi hoja, yaani hagusi hoja.

Ukimwambia thibitisha ya kuwa Mungu hayupo, hapo ndipo utakapo choka.
 
Kiranga wa watu alitulia toka zamani haya mambo alishamalizana nayo...
Mmemuanza tena sasa hivi...🔥😂😂😂😂😂😂
 
Huyu siku akijua ya kuwa logic msingi wake ni dhaifu, atakuwa ameshachelewa. Yaani anaegemea kwenye maneno tu yasiyo kuwa na uhalisia wala kunakishi hoja, yaani hagusi hoja.

Ukimwambia thibitisha ya kuwa Mungu hayupo, hapo ndipo utakapo choka.
Wewe father umechanganyikiwa au dishi limeyumba

sijakuomba unithibitishie kuwa Mungu yupo.

Nimeomba unifahamishe jinsi univiverse ilivyoumbwa?? So simple

Wewe utakuwa huna cheti cha form 4
 
Wewe hata huelewi atheism ni nini.

Dark energy, dark matter, hayo ma experiment unayoyataja si atheism.

Atheism ni kukataa uwepo wa Mungu tu.

Unachanganya madawa.
NI dhahiri naongea na mlalamishi asiye na hoja
 
MUNGU yupo
Hata atheists kuna ibada huwa wanafanya ili kuji-connect na nguvu zilizopo zisizo-onekana.

God is real and I believe in him , ukimtegemea kila kitu kinakaa sawa
 
MUNGU yupo
Hata atheists kuna ibada huwa wanafanya ili kuji-connect na nguvu zilizopo zisizo-onekana.

God is real and I believe in him , ukimtegemea kila kitu kinakaa sawa
Atheists wanatumia kichaka cha logic na philosophy za uongo kumdhiaki Mungu.
Hawana hoja.
 
Dah father wewe ni mlalamishi huna hoja

Hivi kwa mfano ukiumwa maralia unatumia logic kujitibu au science??
Kuna sehemu nilikwambia logic inatibu?

Unajibu usivyo ulizwa, Hujibu unavyoulizwa.

Na wewe unahusisha vipi sayansi na Mungu?

Huu uhusiano umetoa wapi?
 
Atheists wanatumia kichaka cha logic na philosophy za uongo kumdhiaki Mungu.
Hawana hoja.
Mungu hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, Kumdhihaki isingewezekana hata kidogo.

Ukiona kwamba Mungu anadhihakiwa ujue huyo Mungu ni Mdhaifu sana.

Mungu mkuu muweza wa vyote angekuwepo, isinge wezekana hata kwa bahati mbaya kudhihakiwa.
 
Back
Top Bottom