Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Sawa.

Nakupeleka ignore list sitaona post yako yoyote tena.

Na wewe fanya hivyo usione blah blah zangu.
Asante

Hatuna la kijifunza kwako# blah blah # debe tupu# ulalamishi
 
Mungu hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, Kumdhihaki isingewezekana hata kidogo.

Ukiona kwamba Mungu anadhihakiwa ujue huyo Mungu ni Mdhaifu sana.

Mungu mkuu muweza wa vyote angekuwepo, isinge wezekana hata kwa bahati mbaya kudhihakiwa.
father wala sijauliza kama mungu yupo au hayupo!

Nauliza je viumbe walitengenezwaje? Ivi una wazimu ama?
 
Find someone of your league to parallel your mediocrity
Putin.jpg
 
Uwepo wa ulivyovitaja sidhan kama ni proof ya uwepo wa mungu uko shallow sana kijana kwenye haya mambo sidhani hata kama umejaribu kusoma vitabu mbalimbali kujaribu kuutafuta ukweli narudia uko shallow mno
 
Viumbe hawajatengenezwa.

Viumbe walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo.
Ulisoma science au arts? For sure wewe ni debe tu!

Are you believer in abiogenesis , god creation of big bang theory? Nimekupe hints ili uache kuongea pumba zako za logicn na filosofia za ajab ajab
 
Ulisoma science au arts? For sure wewe ni debe tu!

Are you believer in abiogenesis , god creation of big bang theory? Nimekupe hints ili uache kuongea pumba zako za logicn na filosofia za ajab ajab
Hizo zote ulizotaja ni nadharia za kufikirika tu.

Hakuna uthibitisho wowote wa kwamba universe iliumbwa.
 
Huyo Mungu mnamuongelea ninyi kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe.

Mnahangaika kutetea kitu kisichokuwepo.
Walio Mbinguni wao hawazijui shida (Jah na Malaika)Lakini duniani katuumbia shida.. How? Ametupa Mioyo ya kushawishika kufanya dhambi ili aje atutupe motoni.. Then Nukuu zinadai ana upendo.. How? Mungu Wa kwenye vitabu amedhihakiwa sana, Uongo mtupu.. Jah Yupo but He is silence Somewhere.. Ametuumba kila mtu aishi The way anataka..
 
Sasa wewe unayejua ukiambiwa uthibitishe hayo maswali unaweza?

Kwanza thibitisha huyo Mungu yupo.

Na ulijuaje yupo?
Sina uwezo wa kuthibitisha.

Kazi zake zinajitosheleza kuthlibitisha uwepo wake.
 
Sina uwezo wa kuthibitisha.

Kazi zake zinajitosheleza kuthlibitisha uwepo wake.
Sasa kama huwezi kuthibitisha, Umejuaje ni kazi zake?

Au unafosi mafikirio yako yawe ni sahihi?

Nikikwambia chanzo cha ulimwengu huu ni Alien👽 na mimi ninayekwambia hivyo sina uthibitisho wowote ule, utakubali?

Halafu nika kwambia sina uthibitisho wowote ule kwamba Alien ndiye muumbaji wa Dunia, ila kazi za Alien huyu zinajitosheleza na kuthibitisha uwepo wa Alien, utakubali hivyo?
 
Jaribu kwannza kujubu hayo maswali.katika image??
Kutokujua ulipotokea, Sio kigezo kwamba Mungu yupo.

Niki kuuliza huyo Mungu kabla ya kuumba mbingu na dunia alikuwa wapi?

Na huko alikokuwa kulitoka wapi?

Unaweza kujibu na kuthibitisha?
 
Back
Top Bottom