Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Ukishanipa task ambayo ubongo wangu utashindwa ku imagine, hilo nalo litathibitisha Mungu mjuzi wa yote, nuweza yote na mwenye upendo wote hayupo.

Unaelewa hilo?
Mfano wewe una familia yako ume iyanzisha mwenyewe una sheria zako unaweza ruhusu mtu mwingine, akupangie chakufanya bila matakwa yako.
Jibu ni hapana maana ataingilia utawala wako
Ndo iko hivyo kwa mungu huwezi mpangia nini afanye
2. Hawo watu wako wakikosea na ilhali umewapa muongozo vipi waishi huto waadhibu kulingana na makosa yao. Na ilhali ni watu wako na unawapenda na kuwa hudumia???
 
Ukishaanza kuweka mambo ya pengine

Unaanza kutia wasiwasi, sababu tunaweza kusema pengine wewe ni mwendawazimu sababu tu mmetofautiana mitazamo.

Umeleta hoja, tetea hoja zako.
Kuna mambo haya hitaji PhD kuyaelewa ni simple tu, mnatumia nguvu nyingi sana kwa points ambazo hazina mashiko.
 
Kuna mambo hayahitaji hata elimu ya awali kuyaelewa.

Hakuna. contradiction hata moja uliyoitatua zaidi ya kuleta maneno matupu.
umeulizwa kwanini una amini allah out of 30000 gods? Huna ulichojibu zaidi ya kupiga soga.

sasa hatuelewi unashindwa vipi kutetea kitu unachoclaim kipo.

Umekuja ukasema kwamba mungu yupo, ulipaswa uonyeshe uthibitsho kwa kuondoa mkanganyiko katika dhana ya uwepo wake.
Sijui kama unaelewa hata kwanini tunapinga uwepo wa mungu?

Hakuna shida kuamini kuhusu allah, tuonyeshe allah huyo ni perfect pasipo kuwa na mkanganyiko?

Tukuwekee tena contradiction za Quran?
Si hitaji huwo upuuzi, kama unaweza andika aya kishindwa pita kushoto haina haja ya reply
 
Ni kuhusu sio kuuusu
Mkuu ungelifahamu hilo ungeenda kujadiliana na babu na bibi yako, sijui unanipata hapo?

Hii ni open forum, kusema jambo Kama halikuhusu ni kuonyesha jinsi gani unashindwa kutawala mjadala wako.
Open forum.
Uliulizwa swali ulijib.? Kama ulijuwa open forum
 
Si hitaji huwo upuuzi, kama unaweza andika aya kishindwa pita kushoto haina haja ya reply
Kushindwa kuandika huo kuandika huwo kunathibitisha wewe na allah hamuwezi kuwa perfect hivyo hawezi kuwepo.

Mungu wako hajui kusoma ndio maana na wewe hujui kuandika, hilo linathibisha allah sio perfect
 
Unatetea hoja kusema hakuna mungu kwa sababu zipi nataka nianze na wewe
Kwani yupo wap mkuu ? Unafikiri angekuwepo kuna mtu angekuja bishana na wewe apa ?

Mwendelezo wa hizi topic za uwepo Mungu miaka na miaka ni kuonyesha kuna mkanganyiko mkubwa sna.

Ivi vitu havijaanza Leo mkuu tutakufa tutaacha haya maswali yakiendelea.

Na kadri mda unavyokwenda changamoto nyingi zinavyozidi kupata majibu ya kisayansi ambapo kwenye vitabu vya din zilionekana ni kama laana kutoka kwa Mungu , watu watazidi kuhoji sana.

Nchi nyingi tu za kiislamu wanazid kuzibadili taratibu mbalimbali , ukienda uturuki sasa, uislamu kuna mambo yapo simple tu kama ukristo, ukitaka kujua fanya utafiti usiniulize.

Issue ya uwepo wa Mungu haina udhibitisho , Issue ya dunia iliinzaje sioni kama inamashiko sna na hata kama inamashiko sababu ya kusema ni Mungu pia haina mashiko kwa sababu maswal hayatakuwa na ukomo.
 
Sijaona contradiction zozote zaidi ya upuuzi jambo kama hali kuusu kaa pembeni sio kila kitu lazima uzungumze
Tungekua tunatolea ufafanuzi wa hizo contradiction ingeleta maana nzuri zaidi .

Kuliko kujibu vitu kwa hisia ndio maana kuna mda inabdi uachane na kumjibu mtu kwa sababu unaona kabisa kuna namna una umiza hisia zake.
 
Kwani yupo wap mkuu ? Unafikiri angekuwepo kuna mtu angekuja bishana na wewe apa ?

Mwendelezo wa hizi topic za uwepo Mungu miaka na miaka ni kuonyesha kuna mkanganyiko mkubwa sna.

Ivi vitu havijaanza Leo mkuu tutakufa tutaacha haya maswali yakiendelea.

Na kadri mda unavyokwenda changamoto nyingi zinavyozidi kupata majibu ya kisayansi ambapo kwenye vitabu vya din zilionekana ni kama laana kutoka kwa Mungu , watu watazidi kuhoji sana.

Nchi nyingi tu za kiislamu wanazid kuzibadili taratibu mbalimbali , ukienda uturuki sasa, uislamu kuna mambo yapo simple tu kama ukristo, ukitaka kujua fanya utafiti usiniulize.

Issue ya uwepo wa Mungu haina udhibitisho , Issue ya dunia iliinzaje sioni kama inamashiko sna na hata kama inamashiko sababu ya kusema ni Mungu pia haina mashiko kwa sababu maswal hayatakuwa na ukomo.
Actually hii miadala ni kwa sababu tuna tofautiana kufikiri pale unapoana maybe mtu anaenda rong ni heri urudi usome lakini. Kusoma upande mmoja tuu wavitabu haisaidii.
 
Open forum.
Uliulizwa swali ulijib.? Kama ulijuwa open forum
A contradiction occurs when one statement on a subject excludes the possibility of another. The first one here is a good example. In Surah 19:67, it states that man was created out of nothing. In 15:26, man is created from clay. Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.

Jibu hoja acha kuleta viroja.
 
Actually hii miadala ni kwa sababu tuna tofautiana kufikiri pale unapoana maybe mtu anaenda rong ni heri urudi usome lakini. Kusoma upande mmoja tuu wavitabu haisaidii.
Yaani mungu wako ameshindwa kukufundisha jinsi ya kuandika wrong akakwambia kwamba ni rong Halafu unashauri watu warudi kusoma?

Nikikuambia Allah hayupo sababu muumini wake hujui kuandika na hivyo kunamuondolea sifa ya u_perfect utakataa?
 
Actually hii miadala ni kwa sababu tuna tofautiana kufikiri pale unapoana maybe mtu anaenda rong ni heri urudi usome lakini. Kusoma upande mmoja tuu wavitabu haisaidii.
Ni kwel mkuu ila wapinga uwepo wa Mungu ni watu waliijua dini na vitabu vya dini hasa .

Ukisoma hivyo vitabu vizuri ukafungua udadisi zaidi kuliko upande wa imani tu utata ni mkubwa .
 
Tungekua tunatolea ufafanuzi wa hizo contradiction ingeleta maana nzuri zaidi .

Kuliko kujibu vitu kwa hisia ndio maana kuna mda inabdi uachane na kumjibu mtu kwa sababu unaona kabisa kuna namna una umiza hisia zake.
sana na hii ukiendekeza sana imani ulizoletewa.
Mkuu Mimi kuna jamaa yangu anapenda sana haya mambo ni muislamu ilishachanwa Quran mbele yake yule jamaa mpaka alipigana.

Yaani mtu kitabu nimenunua mwenyewe nimeamua kuchana sababu sikihitaji anaumia mtu mwingine,

Hivi vitu ukiviendekeza utaishi kwa kuumia sana.
 
A contradiction occurs when one statement on a subject excludes the possibility of another. The first one here is a good example. In Surah 19:67, it states that man was created out of nothing. In 15:26, man is created from clay. Since clay is something, we have a contradiction since “nothing” excludes the possibility of “clay.” Both cannot be true.

Jibu hoja acha kuleta viroja.
Binadamu wakwanza ametokana na udongo,

Contradiction imezitegeza wew

ألم يك نطفة من مني يمنى
Hivi kwani hakuwa tone LA manii yamiminikayo

ثم كان علقة فخلق فسوي
Kisha akawa pande LA damu akaumba akaweka sawa

فجعل منه الزوجين الكر والانثي
Akaumba kutokana nayo jinsia mbili mwanaume na mwanamke

Kama hujaelewa na hapo kapime ufahamu wako.
 
Ni kwel mkuu ila wapinga uwepo wa Mungu ni watu waliijua dini na vitabu vya dini hasa .

Ukisoma hivyo vitabu vizuri ukafungua udadisi zaidi kuliko upande wa imani tu utata ni mkubwa .
Qur'an ni tofauti na vitabu vya kawaidi kusoma utasoma kuelewa ndo shughuli inaanzia hapo,
ndio maana hata waarabu wenywe baadhi hawaijuwi Qur'an.
Kama hujuwi Qur'an na ukakosa wa kukuelekeza tafsiri ime maanisha nini huwezi kuelewa abadani.
 
Back
Top Bottom