Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Uwepo wa Mungu unadhihirika kwa alama zake na viumbe vyake

Hujawahi kuwa na hoja zaidi ya kuandika stori.

Ujuaji mwingi ila hili linaonyesha una tofauti na Allah wako.

Amekutoa ignore list, pole ulikuwa unapitia wakati mgumu dogo.

Enjoy sasa
Huenda hujui maana hoja, lakini kusema kwako kuwa Sina hoja haimaanishi kwamba kweli Sina hoja.

Kilichoandikwa kimeandikwa na watu wanasoma na wenye akili timamu wanaona.

Hapa hakuna cha ujuaji, nilishawapa nafasi mlete hata hoja zenu za Kisayansi au za kimantiki mtetee madai yenu lakini wapi mnaruka ruka, mnakimbilia katika mambo ambayo hamuyajui. Nastaajabu sana.

Huyo mwenzenu hawezi kujenga hoja mbele yangu hasa kuhusu haya mambo sababu ni mweupe sana na mtu wa ghishi, ndio maana nikawa namjibu hali ya kuwa haoni ninacho kiandika.
 
Hapa naona kuna tatizo la uelewa, najibu anachokiandika kuonyesha anayo yaandika yameshajadiliwa zaidi ya mara moja na hakufua dafu.

Kwa mfano muda huu au Leo hii, siwezi kujadiliana nae sababu hana uwezo huo, zaidi ya kupoteza muda. Kwahiyo lengo langu mimi ni nyinyi muone ndio sichoki kufanya hivyo.

Mimi nipo kwenye "reply" zake kwa munasaba ili mtu akisoma ajue nimegusia nukta gani, ili msomaji asipate shida.

Mimi lengo langu ni kutoa elimu na kuweka wazi mambo, ndio maana simzingatii anae andika bali kile kilicho andikwa.
Acha uongo mdogo wangu kisai,

Kuwepo kwa nyuzi hizi inaonyesha huna unaloweza kuconvice stori zako za kuletewa na waarabu.

Uwepo wa watu kuendelea kuhoji kunaonyesha ni jinsi gani watu wanafunguka na kuendelea ku question stori za kwenye biblia na Quran.

Hujawahi kuwa na hoja hata moja huwezi kumueleza hata tahira akaelewa.

Wewe endelea kuamini unachoamini mkuu.
 
Acha uongo mdogo wangu kisai,

Kuwepo kwa nyuzi hizi inaonyesha huna unaloweza kuconvice stori zako za kuletewa na waarabu.

Uwepo wa watu kuendelea kuhoji kunaonyesha ni jinsi gani watu wanafunguka na kuendelea ku question stori za kwenye biblia na Quran.

Hujawahi kuwa na hoja hata moja huwezi kumueleza hata tahira akaelewa.

Wewe endelea kuamini unachoamini mkuu.
Hata kuwepo kwa dini nyingi ni kuwa watu wamevamia tu kwa makusudi kuacha hali.

Kwani nani hajui ya kuwa wizi una madhara au uzinzi una madhara ? Jibu watu wanajua lakini kila uchwao watu wanazini, wanaona na mfano wa hayo. Ndio kama hivi watu hawasikii na wanafata matamanio yao ya nafasi ndio maana hizi nyuzi haziishi na zitaendelea mpaka Kiama kijana, hili lisikushughulishe kabisa.
 
Tatizo haliko kwa wasiyoamini kwamba yupo au hayupo shida ipo kwa walio amini lakin wanashaka na uweza wake ,Shaka juu ya uweza wake ndo unafanya watu wasitii maelekezo yake wakiamini hatafatilia kile alichosema
 
Hata kuwepo kwa dini nyingi ni kuwa watu wamevamia tu kwa makusudi kuacha hali.

Kwani nani hajui ya kuwa wizi una madhara au uzinzi una madhara ? Jibu watu wanajua lakini kila uchwao watu wanazini, wanaona na mfano wa hayo. Ndio kama hivi watu hawasikii na wanafata matamanio yao ya nafasi ndio maana hizi nyuzi haziishi na zitaendelea mpaka Kiama kijana, hili lisikushughulishe kabisa.
Unajua kinachokutofautisha wewe ni mapenzi tu ya DINI na mungu mfu ambaye hawezi kujitetea umekaa unamtetea wewe.

Ulipelekwa ignore list sababu utaki kuelewa unachofundishwa dogo.
Kiranga si wa level zako ila tumekuombea msamaha.

Katika watu ambao hawajawi kuwa na hoja ni wewe mbali na Quran huwezi kujenga hoja.

Tumeamua kukupuuza tu, ila taratibu usije ukavaa mabomu.
 
Unajua kinachokutofautisha wewe ni mapenzi tu ya DINI na mungu mfu ambaye hawezi kujitetea umekaa unamtetea wewe.

Ulipelekwa ignore list sababu utaki kuelewa unachofundishwa dogo.
Kiranga si wa level zako ila tumekuombea msamaha.

Katika watu ambao hawajawi kuwa na hoja ni wewe mbali na Quran huwezi kujenga hoja.

Tumeamua kukupuuza tu, ila taratibu usije ukavaa mabomu.
Nilikwambia hata hizo hoja zenu za Kisayansi njooni nazo huyo mwenzako nilimalizana nae kwenye Logic, mnafikiri sisi kama nyinyi mashabiki, tuliamua kuacha kazi tukafanya kazi.

Wewe njoo hata na hoja za Kisayansi uone kama hujaukimbia huu uzi, mwenzako shughuli anaijua, na kwenye Qur'an ndio hapagusi sababu haijui Qur'an zaidi ya ku copy na ku paste toka kwa watu wasio jua, halafu mnasema sio level yangu, basi bora angekuwa anajua. Hiyo logic yenyewe misingi yake haijui.

Hiyo Sayansi yenyewe tu vituko, juzi Kuna kituko alikiweka hapa kwa wasio hoji kama wewe mtaona ni hoja, aliullizwa maji yamepatikana vipi kwenye nazi, akaingia mtandaoni na kuweka lini, Sasa ukiona majibu ya hiyo link ni ubahatishaji na hayana ukweli wowote sababu Kuna maswali mengi kuliko majibu, na majibu yenyewe hayakuzingatia hatua za Kisayansi kufikia hitimisho.

Sasa sijui mtakuja na hoja gani, kutuzidi sisi, sababu mlipo lala nyinyi Leo sisi tumeamka Jana.
 
Nilikwambia hata hizo hoja zenu za Kisayansi njooni nazo huyo mwenzako nilimalizana nae kwenye Logic, mnafikiri sisi kama nyinyi mashabiki, tuliamua kuacha kazi tukafanya kazi.

Wewe njoo hata na hoja za Kisayansi uone kama hujaukimbia huu uzi, mwenzako shughuli anaijua, na kwenye Qur'an ndio hapagusi sababu haijui Qur'an zaidi ya ku copy na ku paste toka kwa watu wasio jua, halafu mnasema sio level yangu, basi bora angekuwa anajua. Hiyo logic yenyewe misingi yake haijui.

Hiyo Sayansi yenyewe tu vituko, juzi Kuna kituko alikiweka hapa kwa wasio hoji kama wewe mtaona ni hoja, aliullizwa maji yamepatikana vipi kwenye nazi, akaingia mtandaoni na kuweka lini, Sasa ukiona majibu ya hiyo link ni ubahatishaji na hayana ukweli wowote sababu Kuna maswali mengi kuliko majibu, na majibu yenyewe hayakuzingatia hatua za Kisayansi kufikia hitimisho.

Sasa sijui mtakuja na hoja gani, kutuzidi sisi, sababu mlipo lala nyinyi Leo sisi tumeamka Jana.
Kuingia mtandaoni kuweka link sio sawa ila wewe kutumia Kitabu kilichotungwa na watu ni sawa?

Anayefatilia hii mijadala tulishaona unapwaya wapi, jitafute mdogo wangu.

Kiranga yupo level za dr mambo Amp, nyani ngabu, mama amon, robert heriel,

Ndugu bado sana mweupe na hiyo ni sababu ya kuendekeza udini unatatizika sana.

Pumzika ndugu. Allah asije kukasirika.(joking)

Peace mkuu.
 
Hili neno mungu, ni nani alilitunga ni watu TU waliamua kulitumia Kwa sabàbu Fulani.

Kuna watu wakisikia neno mungu wanaogopa ,
Je mungu angeitwa mfano kijiko.

Mungu ni neno TU ambalo tumejitungia SS wenyewe, wala hakuna kitu chochote nje ya Ss binadamu katuambia tusema hivyo.

God in English in Swahili ni mungu
God rivese Dog, mungu reverse ngumu
Akili TU MTU wangu.

Haya mambo n SS TU binadamu wa mwanzo ndio walianzisha na SS tukafata utaratibu .
 
Sitaki kujua kama yupo ama hayupo! Nina mambo mengi yakufikiria ya muhimu zaidi ya kufikiria vitu ambavyo havina udhihirisho
 
Thibitisha amekusaidia aje
Mkuu imani ni personal issues,so kama unaamini yupo then fuata imani ya unapoamini kama huamini uwepo wake,fanya kila imani yako unaamini,kuanza kuhitaji uthibitisho can't work out...... kwasababu tayari una upande unaoamini
 
Kuingia mtandaoni kuweka link sio sawa ila wewe kutumia Kitabu kilichotungwa na watu ni sawa?
Aya nyingine sitakujibu sababu hazina maana.

Kitu ambacho kinafanya mijadala hii isiwe na maana ni nyinyi kuandika maneno ya uongo kama haya, kiasi ambacho tukiwaomba ushahidi mnashindwa kutoa, Sasa huwa najiuliza lengo lenu kushiriki mijadala kama hii ni nini ?

Sababu kutokana na hichi ulichoandika Kuna maswali nikikuuliza huwezi kujibu, Sasa nini maana yake ?
 
Kuingia mtandaoni kuweka link sio sawa ila wewe kutumia Kitabu kilichotungwa na watu ni sawa?
Sasa si muwe mnasoma walau mkiandika mambo tutegemee kupata majibu. Lakini kwenu hali ni kinyume.
 
Aya nyingine sitakujibu sababu hazina maana.

Kitu ambacho kinafanya mijadala hii isiwe na maana ni nyinyi kuandika maneno ya uongo kama haya, kiasi ambacho tukiwaomba ushahidi mnashindwa kutoa, Sasa huwa najiuliza lengo lenu kushiriki mijadala kama hii ni nini ?

Sababu kutokana na hichi ulichoandika Kuna maswali nikikuuliza huwezi kujibu, Sasa nini maana yake ?
Dogo kisai,
Wewe level zako ni kula tunda kimasihara.

Yaani ulishashindikana kwa ubishi.
Ni kumkosea heshima kiranga kujifananisha naye.

Unaweza kuhoji ila kinachokutoa mchezoni ni mahaba kwa mungu kiziwi, kiwete, asiyejiweza kulazimisha awe mungu sahihi.

Mimi nimekuambia tu hufikii level hata ya aliyeleta uzi wa kula tunda kimasihara achana na kiranga, nyani ngabu, kina mama amon, robert heriel, dr mambo Amp, mshana jr.

Wahi sasa upumzike kabla ya kesho saa10 alfajiri allah ajaja kukuamsha na maspika shuka yako ndo sanda yako.

Tuwe peace mkuu.
 
Quran-2:256: There is no Compulsion in religion…. ( hakuna kulazimishana)





Quran-9:29: Fight those who do not profess the true faith (Islam) till they pay the polltax (jiziya) with the hand of humility.
Quran-9:5: Then, when the sacred months have passed, slay the idolaters wherever ye find them and take them captive, and besiege them and prepare for them each ambush….
Quran-47:4: When you meet the unbelievers in the Jihad strike off their heads….
Quran-2:191: And slay (kill) them wherever ye catch them, and turn them out from where they have turned you out such is the reward of those who suppress faith.
Quran-8: 65: O Apostle! Rouse the believers to the fight…(against) unbelievers.

Ondoa contradiction.
Nimejiukiza sana kwa nini hatuelewani katika mambo rahisi na ya msingi kabisa.

Hawa watu wengine unawaambia waondoe contradiction wakati hawajui hata contradiction ni nini.

Yani contradiction ikijiweka chini ya pua zao hawataigundua kuwa hii ni contradiction.

Kwa sababu wanaamini Mungu wa miujiza to begin with, what makes you think they will see a contradiction as a big deal?
 
Dogo kisai,
Wewe level zako ni kula tunda kimasihara.

Yaani ulishashindikana kwa ubishi.
Ni kumkosea heshima kiranga kujifananisha naye.

Unaweza kuhoji ila kinachokutoa mchezoni ni mahaba kwa mungu kiziwi, kiwete, asiyejiweza kulazimisha awe mungu sahihi.

Mimi nimekuambia tu hufikii level hata ya aliyeleta uzi wa kula tunda kimasihara achana na kiranga, nyani ngabu, kina mama amon, robert heriel, dr mambo Amp, mshana jr.

Wahi sasa upumzike kabla ya kesho saa10 alfajiri allah ajaja kukuamsha na maspika shuka yako ndo sanda yako.

Tuwe peace mkuu.
Ubishi utakuwa na maana mpya Sasa.

Haya mengine uliyo yaandika ni katika muendelezo wa kutapatapa. Yaani hamna hoja.

Kwangu sijapata kuona watu wajinga, wavivu wa kufikiri kuzidi wakana Mungu, yaani weupe mno.

Hamsomi, hamuohoji mambo mnaishi kwa mujibu wa fikra za wajinga fulani walio watangulia.
 
Ubishi utakuwa na maana mpya Sasa.

Haya mengine uliyo yaandika ni katika muendelezo wa kutapatapa. Yaani hamna hoja.

Kwangu sijapata kuona watu wajinga, wavivu wa kufikiri kuzidi wakana Mungu, yaani weupe mno.

Hamsomi, hamuohoji mambo mnaishi kwa mujibu wa fikra za wajinga fulani walio watangulia.
Hongera wewe usiyeishi kwa fikra za waarabu waliotunga stori zao wakakuletea wewe mtu mweusi.

Huna hata ulichogundua unaita wenzako ni wavivu wa kufikiri, Mimi nimekuambia tu punguza mahaba kwa kitu kisichokuwepo.

allah Ana tofauti na kinda la ndege linasubiri kisai aamke aje kumtetea, na still bado unajiita una akili!
 
Back
Top Bottom