[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3]Nishai hilo libibi Magufuli alivyokuwa mkali na lenyewe likawa likali .Samia kaja na upole limeshabadili rangi lifatilie linajifanya poleee kumbe tapeli la madaraka.
Anabebwa na Gendar tu
Kabisaa dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mganga wake atakua anaagiza ng'ombe sio hawa wetu wa kuku [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatareee sanaaa.Akiwa kanisani pale Matogoro Songea siti yake ni ya mbele kabisa na kabla ya misa kuisha lazima apite mbele anapiga blaa blaa zake, so akitoka hapo anaenda kilingeni kujiimarisha[emoji3][emoji3] maana wangoni ni mafundi siyo mchezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Nishai hilo libibi Magufuli alivyokuwa mkali na lenyewe likawa likali .Samia kaja na upole limeshabadili rangi lifatilie linajifanya poleee kumbe tapeli la madaraka.
Kaz mnayo sanaaNi mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,
Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
NyumbiiNi mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,
Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.
Duh kumbe ndio maana Mwigulu amewaambia wajadili uganga mambo ya fedha waachane nayoMsumbiji useme dear. Malawi mbna cha mtoto.
Kitu msumbiji hapooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Issue ya gender imebeba vilaza wengi mno badala ya kwenda mbele tunarudi nyuma.Anabebwa na Gendar tu
Siku nyingi huyu Jenista ameonekana hana upeo wa uongozi.Kuna mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa wilaya yanayofabyika Dodoma leo ambapo mgeni rasmi ni Mh. Makamu wa Rais Philip Mpango.
Mafunzo hayo yatatolewa kwa siku sita ambapo yanajumuisha wakuu wa wilaya wapya na wale wa zamani.
Akitoa salam za ofisi yake Mhagama amewaagiza wakuu wa wilaya wakasimamie nidhamu kazini, kupandishwa madaraja kwa watumishi wa umma na kushuhulikia malimbikizo.
Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?
Nimemchekiiiiiii kisha nikajisemea hivi huyu mwanasiasa anachukuliaje watanzania wenzie?
Taifa la watu weupe hiliSiku nyingi huyu Jenista ameonekana hana upeo wa uongozi.
Hata vetting ya wakuu wa wilaya alishindwa kufuatilia, wengine walikataa uteuzi.
Hii inaashiria kushindwa kazi.
Alitoa kafara ya kumuua Mme wake ndo maana anaendelea kuaminiwa kichawiMkuu ndumba nitazipataje Ili niwe mbunge wa kupitia bila kupingwa?
Nasikia huyu mama ni mloz ile mbaya.Kila anayejitokeza jimboni kwake ,analiwa kichwa.Ni Mwalimu wa shule ya msingi tu .Hana chochote cha zaidi.Huyu Jenista ni Mwanasiasa na wala sio mtendaji sijui hata watu wa jimbo lake wanamchuaje mtu kama huyu. Alitoa maagizo ya kushughulikia wale waliogoma kuwa wakui wa Wilaya nikajisemea huyu JM ni tatizo.
Anachokiweza Jenista ni kuvaa vilemba na kuweka kitenge begani, sijui kwanini asikishonelezee hapo begani kiwe cha kudumu maana anatumia muda mwingi kukiweka sawa kuliko muda wa kazi, na creativity ni 0Hivi Mhagama anaona watanzania wanaomsikiliza nimazuzuz? Hao wakuu wa wilaya watapandishaje mishahara wakati bajeti mnatengeneza nyie? Malimbikizo unawatuma wakuu wa wilaya wakati unakutana na waziri wa fedha kila wakati. Kwanini usiwaambie hazina?
Mlongo wenu akipita huu uzi anaweza Zimia.Ni mbunge wangu huyu, miaka 20 ya ubunge lakini hakuna anachofanyaa yeye mda wa uchaguzi kugawa tsheti na khanga na kofia,
Yaan songea vijijini, jimbo "peramiho" ni hovyoo tyuuh. Wananchi wanavyo muelewa sasa sijui hata kawapa nn, tena wamemuambia agombee hadi atakapochoka yeye ndo atafute wa kumuachia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wangoni tumepatwaa mbona.