Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billional
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Jeshi la CCM
 
Dunia ya sasa kuwa komando sio manguvu, ni kuwa na akiili sana, haya nambie Komando wa USA na Tz nani mwenye akili na uzoefu? Actually hata mafunzo ya ngumi am sure wa USA wanamafunzo zaidi
Vile vile kuna utofauti kati ya Komando wa US na Komando wa Kiafrika

Kutokana na nature ya watu wa Africa kuwa ni watu wenye nguvu basi usitegemee kumuona Komando wa US amzidi Komando wa Kiafrika
 
Tunapoongelea Electromagnetic Warfare lazima tuanzie na issue za satellite. Hizi hapa zente satellite nyingi duniani

1693463908292.png
 
Vile vile kuna utofauti kati ya Komando wa US na Komando wa Kiafrika

Kutokana na nature ya watu wa Africa kuwa ni watu wenye nguvu basi usitegemee kumuona Komando wa US amzidi Komando wa Kiafrika
Kwaiyo jeshi letu lipo nafasi ya ngapi kwa ubora duniani na kwa vigezo vipi?
 

Which Countries Have Nuclear Weapons?

  1. Russia — 6,257 (1,458 active, 3039 available, 1,760 retired)
  2. United States — 5,550 (1,389 active, 2,361 available, 1,800 retired)
  3. China — 350 available (actively expanding nuclear arsenal)
  4. France — 290 available
  5. United Kingdom — 225 available
  6. Pakistan — 165 available
  7. India — 156 available
  8. Israel — 90 available
  9. North Korea — 40-50 available (estimated)
 
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Tunaomba upunguze nchi za dunia ya kwanza uweke za Afrika kwanza ambazo ziko mbele yetu kama zisipotosha ndiyo ndiyo ujazie hizo
 
Dunia ya sasa kuwa komando sio manguvu, ni kuwa na akiili sana, haya nambie Komando wa USA na Tz nani mwenye akili na uzoefu? Actually hata mafunzo ya ngumi am sure wa USA wanamafunzo zaidi
Role ya kwana ya Komando ni nguvu

Akili ni kitu cha ziada tu

Ebu fikiria tu mwenyewe akili ya kazi gani?

Kwamba awe na uwezo wa ku calculate speed ya ngumi kwa vipimo vya nyuzi ili ajue perfect time ya kuikwepa?
 

Top 10 Largest Navies in the World (by total number of warships and submarines - 2020):

  1. China - 777
  2. Russia - 603
  3. North Korea - 492
  4. United States - 490
  5. Colombia - 453
  6. Iran - 398
  7. Egypt - 316
  8. Thailand - 292
  9. India - 285
  10. Indonesia - 282
 
Kama komandoo wa Tanzania ni Sawa na wanajeshi 200 wa Marekani si atakuwa Sawa na wanajeshi 200,000?
Ndo hapo tutarudi kwenye asili yetu ambayo hata mtoa mada alikuwa sharp kugundua

Ni kwamba hiyo 27,000 ilikuwa ni ku minimize tu ila ukweli ni kwamba ni beyond na ndio maana hata mleta mada akaamua kuzidisha mara 3
 
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
Uwezo wetu ni huu:
1693464281001.png


Kuwaonea wanachi, kisa nguo za jeshi
 

Attachments

  • nguo za jeshi.mp4
    3.4 MB

Top 10 Largest Air Forces in the World (by number of Military Aircraft) - Flight International 2022:

  1. United States Air Force - 5,217
  2. Russian Air Force - 3,863
  3. People's Liberation Army Air Force (China) - 1991
  4. Indian Air Force - 1,715
  5. Egyptian Air Force - 1,062
  6. Korean People's Army Air Force (North Korea) - 946
  7. South Korean Air Force - 898
  8. Pakistan Air Force - 810
  9. Japan Air Self-Defense Force - 746
  10. Royal Saudi Air Force - 690
 
Back
Top Bottom