Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Watu wanajisahau hawajui Jeshi ni neno lenye wigo mpana.Kuna jeshi la sungu sungu pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanajisahau hawajui Jeshi ni neno lenye wigo mpana.Kuna jeshi la sungu sungu pia
Also TISS siyo lazima awe mwanajeshi kutoka JWTZ. Upo sahihi.Watu wanajisahau hawajui Jeshi ni neno lenye wigo mpana.
Labda wanachukua na namba ya mujibu wa sheriaIdadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.
27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020
- China: 2,185,000
- India: 1,455,550
- United States: 1,388,100
- North Korea: 1,280,000
- Russia: 1,014,000
- Pakistan: 654,000
- Iran: 610,000
- South Korea: 599,000
- Vietnam: 482,000
- Egypt: 438,500
Unariabisa geshi ra vananchwiHapa tunaongelea idadi ya vifaa hizi hapa nchi kumi zenye vifaa vingi vya kijeshi duniani mwaka 2018 (Bunduki nyingi)
View attachment 2734266
Mbona VDV na Spetnaz wa Russia walishindwa teka Hostomel pamoja na kwenda na mdege 4 iliyosheheni zaidi ya wanajeshi 1000?Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers
Hao ni Makomandoo
Na value ya Komandoo nadhani unaijua
Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200
Sasa hapo ni swala la hesabu
Muongo huyohapo inakuwaje Komandoo mmoja kuwa sawa na wanajeshi wa kawaida 200 mkuu, ebu fafanua kidogo kama unaichanganya [emoji43][emoji94]🫨🫨
Hapo umeongea kiufundi sanaMbona VDV na Spetnaz wa Russia walishindwa teka Hostomel pamoja na kwenda na mdege 4 iliyosheheni zaidi ya wanajeshi 1000?
Unariabisa geshiTunapoongelea Electromagnetic Warfare lazima tuanzie na issue za satellite. Hizi hapa zente satellite nyingi duniani
View attachment 2734282
Hii pia bila kuwa komando huiwezi
Ukifika pale Kigamboni utacheka Navy yetu ina meli mbovuuuuuuTop 10 Largest Navies in the World (by total number of warships and submarines - 2020):
- China - 777
- Russia - 603
- North Korea - 492
- United States - 490
- Colombia - 453
- Iran - 398
- Egypt - 316
- Thailand - 292
- India - 285
- Indonesia - 282
Tanzania hata ndege 100 hatunaTop 10 Largest Air Forces in the World (by number of Military Aircraft) - Flight International 2022:
- United States Air Force - 5,217
- Russian Air Force - 3,863
- People's Liberation Army Air Force (China) - 1991
- Indian Air Force - 1,715
- Egyptian Air Force - 1,062
- Korean People's Army Air Force (North Korea) - 946
- South Korean Air Force - 898
- Pakistan Air Force - 810
- Japan Air Self-Defense Force - 746
- Royal Saudi Air Force - 690
Huyo ni mrusi wa buzaMkuu hii ni statistic ya lini?
Ni baada ya vita au kabla?
Maana Russia kupitia vita ya Ukraine imeelezwa kuwa kapoteza tanks 4,000
View attachment 2734304
Tanzania haina hata moja wala haifikiriiTop 10 Countries with the Largest Military Submarine Fleets (Global Firepower 2021):
- China - 79
- United States - 68
- Russia - 64
- North Korea - 36
- Iran - 29
- South Korea - 22
- Japan - 20
- India - 17
- Turkey - 12
- Colombia, Greece, United Kingdom (tie) - 11
Russia na satellite zote hizo bado hawezi mziki wa UkraineHere are the top 10 countries with most military satellites
- United States: 239 [emoji631]
- China: 140 [emoji630]
- Russia: 105 [emoji635]
- France: 18 [emoji632]
- Italy: 13 [emoji634]
- Israel: 11 [emoji1134]
- India: 9 [emoji1128]
- Germany: 7 [emoji629]
- United Kingdom: 6 [emoji636]
- Spain: 6 [emoji633]
Ndo makomando wenyewe hao, sasa jiulize kama hapo Hostomel ni 15km kutoka Kyiv ila walipigwa kipigo kibaya ndani ya mwezi wakakimbiaHapo umeongea kiufundi sana
VDV na Spetnaz ndio wakina nani hao?
Wanajitahidi lakini bado sanaUkifika pale Kigamboni utacheka Navy yetu ina meli mbovuuuuuu
DuhUkifika pale Kigamboni utacheka Navy yetu ina meli mbovuuuuuu
T14 Armata ....View attachment 2734303
Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali
Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.
Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020
- The United States — $778 billion
- China — $252 billion
- India — $72.9 billion
- Russia — $61.7 billion
- United Kingdom — $59.2 billion
- Saudi Arabia — $57.5 billion
- Germany — $52.8 billion
- France — $52.7 billion
- Japan — $49.1 billion
- South Korea — $45.7 billion
Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea