Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Idadi ya wanajeshi
Kwa mujibu wa taarifa zilizomo mtandaoni zinaonesha kwamba Tanzania ipo na idadi ya wanajeshi 27,000. Basi ninaweza nikaamua kuongezea mara tatu ya idadi hii iliyoandikwa kwenye mitandao maana huenda wametuhujumu.

27,000 x 3 = 81,000
Tunaweza kusema sasa tupo na askari 81,000.
Hebu sasa tuangalie kwenye nchi zingine
Zifuatazo ni nchi kumi zenye askari wengi duniani mwaka 2020

  1. China: 2,185,000
  2. India: 1,455,550
  3. United States: 1,388,100
  4. North Korea: 1,280,000
  5. Russia: 1,014,000
  6. Pakistan: 654,000
  7. Iran: 610,000
  8. South Korea: 599,000
  9. Vietnam: 482,000
  10. Egypt: 438,500
Labda wanachukua na namba ya mujibu wa sheria
 
Yaani bajet ya nchi nzima kama ndo ingekuwa ya jeshi peke ake tungekuwa angalau top 50
 
Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers

Hao ni Makomandoo

Na value ya Komandoo nadhani unaijua

Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200

Sasa hapo ni swala la hesabu
Mbona VDV na Spetnaz wa Russia walishindwa teka Hostomel pamoja na kwenda na mdege 4 iliyosheheni zaidi ya wanajeshi 1000?
 
Ningekuwa kamanda wa hizi mbuzi, ningewachapa bakora wote, pumbavu kabisa
1693484879669.png
 
Mbona VDV na Spetnaz wa Russia walishindwa teka Hostomel pamoja na kwenda na mdege 4 iliyosheheni zaidi ya wanajeshi 1000?
Hapo umeongea kiufundi sana

VDV na Spetnaz ndio wakina nani hao?
 

Top 10 Largest Navies in the World (by total number of warships and submarines - 2020):

  1. China - 777
  2. Russia - 603
  3. North Korea - 492
  4. United States - 490
  5. Colombia - 453
  6. Iran - 398
  7. Egypt - 316
  8. Thailand - 292
  9. India - 285
  10. Indonesia - 282
Ukifika pale Kigamboni utacheka Navy yetu ina meli mbovuuuuuu
 

Top 10 Largest Air Forces in the World (by number of Military Aircraft) - Flight International 2022:

  1. United States Air Force - 5,217
  2. Russian Air Force - 3,863
  3. People's Liberation Army Air Force (China) - 1991
  4. Indian Air Force - 1,715
  5. Egyptian Air Force - 1,062
  6. Korean People's Army Air Force (North Korea) - 946
  7. South Korean Air Force - 898
  8. Pakistan Air Force - 810
  9. Japan Air Self-Defense Force - 746
  10. Royal Saudi Air Force - 690
Tanzania hata ndege 100 hatuna
 

Top 10 Countries with the Largest Military Submarine Fleets (Global Firepower 2021):

  1. China - 79
  2. United States - 68
  3. Russia - 64
  4. North Korea - 36
  5. Iran - 29
  6. South Korea - 22
  7. Japan - 20
  8. India - 17
  9. Turkey - 12
  10. Colombia, Greece, United Kingdom (tie) - 11
Tanzania haina hata moja wala haifikirii
 
Here are the top 10 countries with most military satellites

  1. United States: 239 [emoji631]
  2. China: 140 [emoji630]
  3. Russia: 105 [emoji635]
  4. France: 18 [emoji632]
  5. Italy: 13 [emoji634]
  6. Israel: 11 [emoji1134]
  7. India: 9 [emoji1128]
  8. Germany: 7 [emoji629]
  9. United Kingdom: 6 [emoji636]
  10. Spain: 6 [emoji633]
Russia na satellite zote hizo bado hawezi mziki wa Ukraine
 
Hapo umeongea kiufundi sana

VDV na Spetnaz ndio wakina nani hao?
Ndo makomando wenyewe hao, sasa jiulize kama hapo Hostomel ni 15km kutoka Kyiv ila walipigwa kipigo kibaya ndani ya mwezi wakakimbia
 
View attachment 2734303

Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
T14 Armata ....
 
Back
Top Bottom