Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Uwezo wa Jeshi la Tanzania (JWTZ) Kulinganisha na majeshi mengine duniani

Screenshot_20230825-182059_WhatsApp.jpg
 
View attachment 2734303

Kutokana na taarifa rasmi za JWTZ kwamba jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani. Katika uzi huu nitajikita katika kuchambua kwa kina uwezo wa majeshi mengine hapa duniani. Nitatumia statistics zilizopo kwenye mitandao mbalimbali na kuonesha picha za vifaa vinavyotumika.
Nitajikita zaidi katika kuongelea mambo:-
1. Bajeti ya Jeshi
2. Idadi ya wanajeshi
3. Vifaa vya kijeshi
4. Operation zilizofanyika
5. Uwezo katika electronic warfare
6. Umilki wa silaha vya nuclear
7. Uwezo wa Jeshi la anga
8. Uwezo wa Jeshi la Majini
9. Mitambo ya kiulinzi
10. Idadi ya Majenerali

Upande wa Bajeti
Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania ni USD 18.4 billion. Yaani ndani ya hiyo bajeti kuna bajeti ya jeshi, wizara zingine nk.

Zifuatazo ni bajeti ya majeshi tu katika nchi kumi duniani ya mwaka 2020

  1. The United States — $778 billion
  2. China — $252 billion
  3. India — $72.9 billion
  4. Russia — $61.7 billion
  5. United Kingdom — $59.2 billion
  6. Saudi Arabia — $57.5 billion
  7. Germany — $52.8 billion
  8. France — $52.7 billion
  9. Japan — $49.1 billion
  10. South Korea — $45.7 billion

Tanzania haimo kwenye top 10 kwenye upande wa Budget..... Tunaendelea
We kenge kafanye mambo yako, huna unachoelewa kuhusu jeshi.
 
Hao wanajeshi 27,000 ulioambiwa unatakiwa ujue kuwa hao sio regular soldiers

Hao ni Makomandoo

Na value ya Komandoo nadhani unaijua

Komandoo mmoja ni sawa na wanajeshi wakawaida 200

Sasa hapo ni swala la hesabu
upuuz mtupu unajua watumishi wote wa umma nchi hii au unajiropokea tu kama hujui nchi hii inawatumishi wasiozidi 600000 wanajeshi wakiwemo sasa wewe kwa akili yako unaposema komandoo mmoja sawa na wanajeshi 200 hio umeitoa wapi? kwa hio kwa akili yaka makomandoo 27000 kuzidisha 200 ndio idadi ya wanajeahi wa nchi hii? akili za mafisadi na makuwadi ya warabu ndio zimewajaa wajinga nyinyi mnatakiwa kuondolewa madarakan kama yule mshenz wa Gabon.
 
Saa zingine ni kuwaacha wafurahishe kadamnasi; uhalisia ilipo nchi kwenye rank za kiuchumi duniani na jeshi letu lipo huko huko.

Unafanya masiala na maswala ya ulinzi wanaisikia tu hiyo ‘F-35B’ inakuja hizo radar zako aioni kitu jamaa wanaweza twanga popote hizo ‘surface to air missiles’ za kuitafuta huko angani hatuna zenye speed hizo.

Kwa mabeberu kuja kuitwanga nchi kama Tanzania ni uonevu, sanctions tu zinatutosha.

Mafuta yenyewe hatuna matanki ya kuhifadhi kwa miezi 3 tu kama IEA inavyoshauri kiusalama. Uwezo wetu ni wa mwezi na nusu; halafu hifadhi zenye zipo wazi. Jamaa wakitwanga matanki wamesimamisha nchi wote twafaa njaa.

Ni kauli ya kujitekenya na kucheka wenyewe; huko tulipoenda kusaidia miaka hiyo kulikuwa hakuna stable government, properly trained armies na majeshi yao vifaa hawana.

Nchi yeyote makini mtu hawezi chepusha mafuta bandarini jeshi likaa kimya hakuna weakness kubwa ya usalama duniani kama hiyo.

Bora u-hack pentagon, MI5 systems huko ulipo wanaweza bembeleza nchi yako ikupeleke kwao kujibu mashtaka kuliko uthubutu kuingilia miundombinu ya mafuta; salaleeh watakufuata bila ya maombi. That’s how sensitive infrastructure ya mafuta na gas ilivyo kwao huku kwetu mitambo inapita nyumba ya mtu halafu unasema wewe kwenye ulinzi hupo imara; hujui ata weaknesses ulizo expose mbele ya dunia.
 
Back
Top Bottom