Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Aaamen barikiwa zaidi [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Hiyo elimu inajulikana kitaalamu kama Negromancy au Necromancy.Kibongo bongo inajulikana kama Ritifaa .Binafsi ninamjua Mganga mmoja tu hapa Tz mwenye elimu hii.Hata Shariff Ibrahim, anaetajwa kama bingwa wa visomo Afrika hana elimu hii ya kuongea moja kwa moja na wafu.Al marhum Juma Njemba wa Ujiji Kigoma ambae yeye alikuwa amespecialize kwenye kuua watu kichawi alifariki akiwa hajahitimu darsa la namna ya kuwasiliana na wafu..Hata Yule mzee wa kidendeule aliyekuwa akiishi porini karibu na mbuga za Selous hakuwa na elimu hii hadi mauti yalipo mkuta..Kwa utafiti wangu ili mganga aweze kuwa na uwezo wa kuwasiliana na wafu moja kwa moja lazima kwanza awe mkonikoni.Kuwa mkoni koni pekee hakukupi uwezo wa kuzungumza na wafu moja kwa moja ila ni daraja kueleke uwezo wa kuzungumza na wafu.Sasa basi katika ulimwengu wa wakonikoni hakuna kitu kinacho itwa " kifo" katika mantiki inayo julikana na wengine.Kwao kifo ni uwepo wa uhai wa roho ya mauti .Kwao kuzungumza na wafu maana yake ni kuzungumza na roho iipayo mauti uhai
 
Uhakika upi zaidi ya Maandiko ambayo yanatuambia aliamshwa Samweli? Hayo mengine ni maoni mawazo na uchambambuzi tu ambayo yanaruhusiwa lakini maandiko yanasema aliamshwa Samweli na akasema yatayotokea kwa Sauli.
 
Ama kweli wahenga walinena "Elimu haina mwisho"
Yaani huu uzi naurudia mwanzo mwisho.
Kuna mengi ya kujifunza
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Uhakika upi zaidi ya Maandiko ambayo yanatuambia aliamshwa Samweli? Hayo mengine ni maoni mawazo na uchambambuzi tu ambayo yanaruhusiwa lakini maandiko yanasema aliamshwa Samweli na akasema yatayotokea kwa Sauli.
Mkuu uko sahihi unaweza sema ni mawazo ila yanasupport ya maandiko,nitakuja baadaye ngoja na wengine watoe mchango wao,ila jiulize Sauli aliwau wenye pepo la utambuzi unajua ni kwanini?Hata alipoenda kwa yule mama,yule mama alisema hicho kitu ya kwamba mbona unahatarisha maisha yangu?Jiulize wale ambao mwanzo aliwau kwa sababu ambazo nilitegemea utazijua,leo baada ya kuona Mungu hamjibu kwa njia ya manabii na njia zingine zilizoandikwa,Sauli huyo huyo anaenda kuwaomba msaada.Nilipo post nilibold neno pepo la utambuzi ili nikupe wepezi lakini umefail kutumia muda kuchunguza,mkuu usiwe na haraka taratibu utanielewa nitarudi.
Alichokifanya Sauli ndicho wanakifanya watu wengi baada ya kuona Mungu anachelewa kuwajibu kwa mtazamo wao,huenda kwa waganga wa kienyeji ambao in a nutshell ni shetani yuleyule ila akitumia watu.Si unaona hapa kuna mtu amesema kuna mganga anamjua anauwezo wa kuamusha wafu,nitakuja huko kote just be cool,nikusihi tu si lazima unjibu muda huu,take your time.
 
na kuna wengine kama marehemu mkewe alichangia kifo chake dhakari husimama mpaka mkewe ajichomeke tena ndio ilale naye azikwe salama.
 
Hivi nini tofaut kati ya nafsi Na roho
 
Njoo newala, nitakupeleka ng'ambo ya mto ruvuma katika kijiji cha namatili yupo bibi mmoja anauwezo mkubwa wa kuongea na wafu! na kupitia yeye anaweza kukwambia marehemu ambae mlimzika miaka hata kama ni 20 au 40 anasema nini na anahitaji nini, huyu bibi kwa kufanya huduma hiyo haitaji pesa yoyote zaidi ya kukwambia katoe sadaka ktk nyumba za ibada, au kwa yatima na wajane.
 
Sijakuelewa kabisa
One more QN
So baada ya kufa kuna maisha mengine even katika mwili au kiumbe kingine
Ili uweze kuwa wewe I mean kwa utambulisho wa majina yako unahitaji vitu viwili ambavyo ni mwili na roho... Muunganiko wa hivi vitu viwili ndio hutengeneza nafsi, nje ya muunganiko huu hakuna nafsi
Baada ya kifo (mchakato unaotokana na mwili kujitenga na roho) mwili huharibika na kuoza... Roho hubaki hai
 
Kwa hakika nitakuja nikiwa tayari nitakuambia most likely this July
 
Marehemu waliokufa kwa ugonjwa gani hao ambao huwa wanasikia?

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Dunia hii wapumbavu "hatuishi"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…